secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 15,387
- 28,805
Asante na uzidi kuniombea.Hongera
Asante na uzidi kuniombea.Hongera
Swali la “nani aliyeumba uovu kwa mara ya kwanza” hutokana na kudhani kuwa uovu ni kitu kilichoumbwa kama vilivyoumbwa mbingu, ardhi au viumbe hai. Lakini kwa uhalisia, uovu si kiumbe wala kitu kinachojitegemea; uovu ni matokeo ya kuacha haki au kutumia vibaya uwezo ambao viumbe wamepewa. Mwenyezi Mungu ameumba viumbe na kuwapa akili, uwezo wa kuchagua, na njia mbili, njia ya mema na njia ya mabaya.Ni nani aliyeumba uovu kwa mara ya kwanza kabisa?
Kwa sababu hekima ya Mungu ni kubwa kuliko uwezo wa akili ya mwanadamu kuielewa kikamilifuKwanini mtu asihoji ?
Kosa lipo wap
Sawa kakaKwa sababu hekima ya Mungu ni kubwa kuliko uwezo wa akili ya mwanadamu kuielewa kikamilifu
Kama mepesi mbona wewe huna majibu yake?Sawa kaka
Lakini maswali mengine ni mepesi tu
Ila sawa😌
Ukisema uovu unatokana na dhuruma, tamaa, chuki na udhalimu unamaanisha nin?, kwasababu hayo matendo ndiyo uovu wenyewe.Swali la “nani aliyeumba uovu kwa mara ya kwanza” hutokana na kudhani kuwa uovu ni kitu kilichoumbwa kama vilivyoumbwa mbingu, ardhi au viumbe hai. Lakini kwa uhalisia, uovu si kiumbe wala kitu kinachojitegemea; uovu ni matokeo ya kuacha haki au kutumia vibaya uwezo ambao viumbe wamepewa. Mwenyezi Mungu ameumba viumbe na kuwapa akili, uwezo wa kuchagua, na njia mbili, njia ya mema na njia ya mabaya.
Hivyo, Mwenyezi Mungu ameumba uwezo wa kuchagua, lakini hakumlazimisha kiumbe kuchagua uovu. Uovu hutokea pale kiumbe kinapotumia vibaya uhuru huo. Ni sawa na mwanga na giza: mwanga unapokosekana ndipo giza linaonekana. Vivyo hivyo, mema yanapokosekana katika matendo ya viumbe ndipo uovu hujitokeza.
Kwa hiyo kusema Mwenyezi Mungu ndiye aliyeumba uovu kama kitu cha kwanza si sahihi. Mwenyezi Mungu ameumba uhai, akili, na uwezo wa kuchagua; lakini uovu unatokana na maamuzi ya viumbe wanapotoka kwenye haki. Ndiyo maana historia inaonyesha kuwa uovu mwingi duniani unatokana na matendo ya viumbe wenyewe, dhuluma, tamaa, chuki na udhalimu.
YESU kufa kwa ajili yetu ni kama alikuja wakati hakimu anakukuhumu kifo, YESU akasema usimuue huyo jamaa, niue mimi.Na kama Yesu Kristo alikufa kwa ajili ya dhambi za wanadamu kama inavyoelezwa katika Yohana 3:16, kwa nini bado kuna mafundisho ya hukumu na adhabu ya milele kama katika Mathayo 25:46?
MUNGU aliingia hapa duniani unajua watu walichomfanya? ? ?Kiufupi Mungu wa hizi dini anaenjoy sana kuona watu wakiteseka,
Sio kila kitu mimi najua hata wewe pia kama hujui wengine wanajuaKama mepesi mbona wewe huna majibu yake?
Sio kila kitu mimi najua hata wewe pia kama hujui wengine wanaKama mepesi mbona wewe huna majibu yake?
Yeye si anajua mwanzo na mwisho kwa hiyo alijua kuna kundi la watu watakaomkataaYESU kufa kwa ajili yetu ni kama alikuja wakati hakimu anakukuhumu kifo, YESU akasema usimuue huyo jamaa, niue mimi.
Au hakimu alisema hukumu yako ni kulipa Bilioni moja, YESU akaja akasema usimdai nitalipa mimi.
Sasa ukikataa ukasema mimi sitaki sitamtambui huyo jamaa, sitaki msaada wake, what do you expect? ?
MUNGU anataka ushirika wa hiari.
By the way, ukichunguza vizuri maandiko, ni kwamba wasiomtaka MUNGU wataondolewa wasiwepo milele. Sio kuwa watakaa wanachomwe milele kama mishkaki isiyoiva.
Yes alijua kuna watu wangemkataa pamoja na yote mazuri aliyoahidi kuwapa: uhai wa milele wenye furaha milele!Sio kila kitu mimi najua hata wewe pia kama hujui wengine wana
Yeye si anajua mwanzo na mwisho kwa hiyo alijua kuna kundi la watu watakaomkataa
Then awageuze mishikaki🙌
Kwanza tufikiri kwa utulivu.Ukisema uovu unatokana na dhuruma, tamaa, chuki na udhalimu unamaanisha nin?, kwasababu hayo matendo ndiyo uovu wenyewe.
Kama Mungu hajaumba uovu sasa hiyo akili ya kutenda uovu shetani aliitoa wapi?
Ukisema Mungu ametupa uhuru wa kuchagua kati ya wema na ubaya halafu bado unadai ubaya hajauumba yeye, sasa kwanini ameuweka kwenye machaguo?
Sawaa🙏Yes alijua kuna watu wangemkataa pamoja na yote mazuri aliyoahidi kuwapa: uhai wa milele wenye furaha milele!
So wataondolewa! ! !
Ni kama mwansume amuahidi mwanamke atampa kila kitu anachotaka maishani mwake, akikubali kuolewa naye. Mwanamke akakataa.
Basi! Offer imepita!
Ndomana kanisa linaitwa Bibi harusi. Ni wale waliokubali offer.
Kwanini usikubali tu offer uka enjoy life forever?
Kwanini uchague kulalamika, kulaumu? Kwanini uchague mabaya?
Si uchague mazuri, ya raha ! !
It's literally in your hands! ! !
Elimu ya Geography inapingana na ulichokiandika.Elimu ya Geography kuhusu soil formation haipingani na kumtukuza Mwenyezi Mungu. Sayansi inaeleza jinsi mambo yanavyotokea, lakini mara nyingi haiwezi kueleza kwa nini mfumo huo upo au nani aliweka kanuni zake. Soil formation inaeleza mchakato wa kuvunjika kwa miamba, hali ya hewa, na viumbe hai kuunda udongo kwa muda mrefu. Lakini kuwepo kwa sheria hizo za asili na mpangilio wake bado ni swali la kina zaidi kuhusu chanzo chake.
Kwa hiyo kusoma soil formation hakumwondolei mtu uwezo wa kumtukuza Mungu; badala yake kwa wengine huongeza mshangao kuhusu mpangilio wa ulimwengu. Sayansi inaeleza taratibu za asili, lakini watu wengi wanaona taratibu hizo pia kama sehemu ya hekima ya Muumba.
Holy skankaKama viumbe wenye UTASHI tunapaswa kutumia AKILI zetu vizuri tulizopewa na Mama-Asili kusahihisha yale yanayosababisha Maumivu, na Kutengeneza yale yanayosababisha Furaha na Amani....
Itakua bado ngoja tumsubiriNon sequitur logical fallacy bado hajafika? 😅
Hakuna kitu kama hiko kila kitu kina tafsiriKwa sababu hekima ya Mungu ni kubwa kuliko uwezo wa akili ya mwanadamu kuielewa kikamilifu