Ajaribu hivyo, akiulizwa na mumewe amjibu kuwa anajifunza baada ya kuona kwenye simu ya rafiki yake wa jirani....!haha hahaa ntamwambia bana ila sjawahi kumuuliza kama huwa ni mpenzi wa kupiga vuvuzela
Yes! This is it.... gud idea....Naye ajaribu kupiga vuvuzela, halafu naye alundike mdomoni, then ampelekee na kumlazimisha ameze....! By doing so, nadhani itamsaidia kufikisha uhalisia wa linalomtesa...!
chumvin ndo wapi.....ni kama wameniacha vile
Ajaribu hivyo, akiulizwa na mumewe amjibu kuwa anajifunza baada ya kuona kwenye simu ya rafiki yake wa jirani....!
Haya mambo si tungeyamaliza nyumbani? Kulikoni kunianika
ni mwanamama ambaye ameolewa na kuachika mara moja na sasa yupo ndani ya ndoa kwa miaka miwili na ushee,kwa mumewe wa kwanza kulikuwa hakuna hayo matatizo sasa ndio anaona mapenzi ni udhia na uchafu.alipoolewa na mumewe wa pili hakukuwa na tatizo lolote mpaka walipofikisha mwaka mmoja na nusu ndio kasoro zimeanza kujitokeza ni kwamba,
mumewe ameanzisha tabia ya kwenda chumvini wakati hawakuwahi kufanya hicho kitu hata siku moja!
mkewe amemuuliza umejulia wapi akamwambia ameangalia kwenye simu ya rafiki yake ambaye amehifadhi filamu za ngono sasa akaona hiyo staili akaipenda ndio akaanza kuifanyia mazoezi kwa mkewe.kikubwa na chakushangaza zaidi ni kero kubwa kwa mkewe akienda chumvini yale mate yanamwangika kwenye shuka hadi linalowa na yanayobakia mdomoni humlazimisha denda na kumtemea yote mdomoni na mkewe huyameza kwa kuogopa kumkasirisha mumewe, amevumilia ameshoka ikabidi avunje ukimya na kumueleza hicho kitendo ni bora tukiache kwa kuwa hatukiwezi mumewe amekataa na akampiga sana na kumwambia kishapa jemba ingine.mumewe anampenda na kumuacha hawezi na hicho kitendo cha kunyweshwa mate pia hawezi.afanyaje ili kuinusuru ndoa yake na kuepukana na mvua ya mate?
mumewe ni dactari wa meno na ni muhdzabe.
ushauri wangu ni kwamba aachane nae kasema ataolewa mara ngapi na umri umeshapita?kweli mapenzi kizaizai yanaumiza moyo
ushauri wenu unahitajika wadau
cc:wanajamvi wote wa mmu
Dawa yake huyo mama asiwe anaoga maeneo ya nyanda za juu kusini ili akitaka kuchimba chumvi ashindwe mwenyewe.
Nakushauri tafuta mume wa kikurya yeye akifika ni rara nikurarie hawana hayo mambo ya kuingia chumvini na kula mate....!!!
mbona "sisi" wanaume wengine tunaombwa na kulia mtu analia anataka, sometime tunagoma wapi mtu analia anataka, nahisi ni ufundi tu umekosekana hapo.
Tatizo lipo kwa huyo muwekezaji anashindwa kufuata taratibu za uchimbaji sahihi wa chumvi, mwenye mgodi wa uvinza hana kosa lolote.
Tatizo huyo mwekezaji ni mgeni wa mambo kwani ameona wale vichaa wa Porno na kushindwa kuelewa vizuri namna sahihi ya uchimbaji bila kumwaga maji taka yenye Mercury kwenye mazingira ya 6 X 6.
ha ha ha anadai eti hataki ndoa za toilet paper
mumewe anampenda ila hapendi hayo mate
Tusiende mbali.. vipi wewe ummu kulthum...... ungefanyiwa wewe ungejisikiaje.
Anunue kitaulo kidogo,then,amwekee mdomoni pindi anapotaka kumnywesha!!