Kamugy T
JF-Expert Member
- Sep 17, 2018
- 1,112
- 1,226
Kampuni gani hii aisee hapa unawin hii
Mimi pia na game nimeshaziselect fladhscoreTunaofwatilia mkeka wa jamaa kama wetu tujuane..hopefully jamaa atapata hizo 30m.
Labda kubet mpira, mbona kwa yule demu ulibet na mkeka ukachanika?Sijawahi na sitowahi kuja ku bet...
Jenga mazoea ya kupitia comments zote kabla ya kuandika comment yakoUlipata hiyo 30M boss
Kila la kheri mpambanaji japo kungekuwa na option ya kutoa mapema ningekushauri uutoe tu mpunga ulipofika sio pabaya sana na wala sio pazur sana hawa jamaa dk za mwisho unaweza sema wanavisa na wewe....ila kosa jingine la kiufundi ni kuuweka huo mkeka kabla ya kushinda au kushindwa humu jukwaani kuna watu wana macho mabaya sana, binafsi nakuombea ushinde maana hawa watu wa kamari wanatka kurudisha watu vijijini kwa nguvu so mmoja ukimpiga angalau na wao wapate maumivu kidogo.Wakuu hivi wale wanaobet hua wanawezaje kua na utulivu wa akili? Maana hapa nimebet game 38 na mpaka sasa zimeshacheza game 26 na zote nimetoboa. Ila shida inakuja kwenye kusubiri matokeo sasa.... yaani akili haitulii kabisa moyo unaenda mbio hatari. Anyway ngoja niendelee kuisubiri 30M yangu kama mambo yakienda vizuri...
Kweli kamali ngumu mweeh!
Jenga mazoea ya kupitia comments zote kabla ya kuandika comment yako
mkuu mbona unanikatisha tamaa sasaView attachment 1961541View attachment 1961542
Kweli kazi nguhu hapa nilikosa milion 20
Mechi 45 won 43
Hamna mkuu stage ulofika unamlamkuu mbona unanikatisha tamaa sasa