Planett
JF-Expert Member
- Mar 20, 2014
- 10,404
- 15,873
Wakuu hivi wale wanaobet hua wanawezaje kua na utulivu wa akili? Maana hapa nimebet game 38 na mpaka sasa zimeshacheza game 26 na zote nimetoboa.
Ila shida inakuja kwenye kusubiri matokeo sasa. yaani akili haitulii kabisa moyo unaenda mbio hatari. Anyway ngoja niendelee kuisubiri 30M yangu kama mambo yakienda vizuri.
Kweli kamali ngumu mweeh!
Ila shida inakuja kwenye kusubiri matokeo sasa. yaani akili haitulii kabisa moyo unaenda mbio hatari. Anyway ngoja niendelee kuisubiri 30M yangu kama mambo yakienda vizuri.
Kweli kamali ngumu mweeh!