BROKE BOYS
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,218
- 39,052
Ni betting site gan unaweza kuturbo?
Kajitahidi sana kufanya chaguzi nzuri za mechi. Naamini jamaa ana mbutua muhindi
Mpaka sasa jamaa anakaribia kupata mil 30. Kuna zaidi ya asilimia 85 ya ku win hili treni lakeDah jamaa kajitahidi sana ila ingekuwa ni mimi nafanya cash out huo mkeka hauko salama
Tena 90% kabisa maana chelsea kashashinda muda mfupi uliopita ambayo yeye ndio alikuwa na wasiwasi nayo sanaMpaka sasa jamaa anakaribia kupata mil 30. Kuna zaidi ya asilimia 85 ya ku win hili treni lake
Patience always paysDuniani kazi rahisi na nyepesi ni ile ya kuuza utu wako, nyingine zote ni ngumu tena sana
Ikimalizika hii game ya leo ya RB Leipzg basi huu mkeka ushatoboa
Wakuu hivi wale wanaobet hua wanawezaje kua na utulivu wa akili? Maana hapa nimebet game 38 na mpaka sasa zimeshacheza game 26 na zote nimetoboa. Ila shida inakuja kwenye kusubiri matokeo sasa.... yaani akili haitulii kabisa moyo unaenda mbio hatari. Anyway ngoja niendelee kuisubiri 30M yangu kama mambo yakienda vizuri...
Kweli kamali ngumu mweeh!
Kama hivimkuu mimi mara ya kwanza kubet (2017) nilistake 1000 ili nishinde million 8,
mchanganuo wangu kabla ya game kuanza
pikipiki used .1,200,000
simu kali 800,000
getto kali la kutafunia totoz:kodi 1,000,000 (kwa mwaka)
kiwanja:1,000,000
biashara : 2,000,000
million 2 iliyobakia ni ya kulia BATA
LAKINI
leo 2021 natafuta odd 2.0 (timu mbili) nastake 10k nakula 20k (sio siku zote lakini)
nadhani wanasaikolojia mtaniambia nilikuwa n hali gani baada ya kukosa hiyo million 8
nadhan wazee wa kuweka mzigo mtakuwa mnajua 2017-2020 nimekuwa mtu wa aina gani
2021 mwendo wangu ni odd 2 tu (lakin sio uhakika 100 asilimia,ila unapunguza uwezekano wa kuliwa na uwezekano wa kuutesa moyo kwa presha )
Leipzg kashinda tatu sioni tena mchawi kwenye huu mkekaIkimalizika hii game ya leo ya RB Leipzg basi huu mkeka ushatoboa
Bayer leverkusen.Leipzg kashinda tatu sioni tena mchawi kwenye huu mkeka
ila nawasiwasi chelsea atanichania mkeka wehu wale tar 2/10
Bayern Leverkusen ni wa moto mkuu.
Mkuu kauchukue hela yako kwa hizo timu zilizoshinda. UtanikumbukaWakuu hivi wale wanaobet hua wanawezaje kua na utulivu wa akili? Maana hapa nimebet game 38 na mpaka sasa zimeshacheza game 26 na zote nimetoboa. Ila shida inakuja kwenye kusubiri matokeo sasa.... yaani akili haitulii kabisa moyo unaenda mbio hatari. Anyway ngoja niendelee kuisubiri 30M yangu kama mambo yakienda vizuri...
Kweli kamali ngumu mweeh!
Nakuungaa mkono nimewahi bet timu 32 zikatembea mpka ya 28 ya 29 ikachana na ya 31 ikachana sitasahau na mkwanja ulikuwa 30+ M bettingMkuu kauchukue hela yako kwa hizo timu zilizoshinda. Utanikumbuka