kwa wazee bado kazi kubwa inabidi ifanyike...mimi nina wazee wangu huko huwa tunasumbuana sana na hawataki kabisa kusikia habari ya chadema...!hata wazee nao wanakipenda cdm ni waganga tu wakienyeji ndio hawakipendi cdm.
Mkuu niko nje ya Mza mkutano huo wa GEITA nimeukosa. Uchungu!!!Preta Njoo Geita kesho viwanja vya Magereza...Tunapandisha bendera za heshima za Chadema.Watahamasika wengi....
jamani naomba maana ya m4c nimekuwa nikikutana nayo mara nyingi bila kujua maana.
kamanda ukija arusha utaanguka kwa mshtuko,huku ndio full makamanda,kwa taarifa yako hata ukivaa shati la ccm hupandi dala dala na kuzomewa juu.Imetokea jana kwenye Dala dala la Kutoka Airport kwenda Buhongwa (MWANZA), Kama kawaida ya konda ndani ya dala dala anadai chake (Nauli), kabla hajamaliza kudai nauli gali likakata mafuata kiaina (likawa linazimika zimika), ikabidi dereva aingie sheli kuongeza mafuta.
Hatujajua kinachoendelea akainuka mama mmoja kwa asila na kumkoromea konda na dereva, akisema: Mambo ya kutembea na Mafuta ya vidumu mnatuchelewesha kwenye vikao na ntaenda kupigwa faini kwa kuchelewa Tsh. 5,000/=: Mara jirani yake akadakia, Kikao cha nini? Mama akajibu: Kikao cha chama, kwa mshangao wa wengi, kila mmoja alidhani labda kikao cha wakinamama au SACCOS: Mama akadakia tena: Kwenye kikao cha chama cha CHADEMA!
Nkiwa bado nashangaa abiria wote wakadakia: Kama ni kikao cha CHADEMA, tutakuchangia iyo faini, nilidhani kama utani! Kwanza yule konda akamwambia yule mama: wewe ni mjanja, akamrudishaia nauli yake, nkiwa naendelea kushangaa, konda akaanza kukusanya michango kwa ajili ya yule mama. Amini usiamini alichangiwa Tsh. 32,500/=. Chakushangaza zaidi hata watoto wa shule walimchangia yule mama.Nilibaki kushangaa mwanzo mwisho!
Naanza kuisi mabadiliko, kweli hapa Mwanza si mchezo.
Ni mimi nisiyekuwa mwanachama wa chama chochote kwa sasa.
kama mnafikiri mnakubalika kafanyeni mkutano jangwani au k/ndege(moro) hapo muone aibu yake..mnafikiri kila sehemu ni Arusha au Moshi.
hata wazee nao wanakipenda cdm ni waganga tu wakienyeji ndio hawakipendi cdm.
jamani naomba maana ya m4c nimekuwa nikikutana nayo mara nyingi bila kujua maana.