Kweli CHADEMA wanapendwa hivi au Macho yangu!?

Kweli CHADEMA wanapendwa hivi au Macho yangu!?

Haya twende twende ccm eeeeeee ccm ni namba one.mbona huu wimbo umechuja au wanaogopa kupigwa waimbaji,usishangae kusikia wanakwaya wa tot wamejivua gamba na kumuacha captain home alone!
 
Mchana huu wakati tunapata chakula,wanamama na baba mmoja wanafanya kazi ofisi ya umma wanalalamika kuwa diwani waliye naye anawatendea uhuni wa kuwafunikia mchanga na vumbi kwenye barabara yao, na kutoa mfano wa kata ya diwani wa cdm, kuwa wao mambo yao sasa safi lakini wao wanajuta.Hitimisho wakasema wao sasa wameamua kujiunga na cdm na uchaguzi ujao imekula kwao.Nikawaambia nyie sio ni wale walochukua kanga na kitambaa?"Aka hatufanyi ujinga huo tena",walisema.Na wakamsifia Tundu Lissu kwa hoja zake bungeni.Kwa hiyo mabadiliko yana kuja kama unaona hata kina mama wanashituka.
 
tatizo lenu Vinega wa Cdm mnafarijiana sana hamuambiani hali harisi.


Relax Judi, hata James Ole Millya alikuwa mbishi zaidi yako lakini baada ya kuchanganya na zake amekata shauri na kujiunga na vuguvugu la ukombozi-Chadema.

Btw, we wa poti poti nini? hiyo harisi ni halisi au halisia?
 
Relax Judi, hata James Ole Millya alikuwa mbishi zaidi yako lakini baada ya kuchanganya na zake amekata shauri na kujiunga na vuguvugu la ukombozi-Chadema.

Btw, we wa poti poti nini? hiyo harisi ni halisi au halisia?

Millya kaja kumaliza mchezo,ili tupumzike na kelele..


Mie Mchaga kama muhasi wenu.
 

  • MemberArray


    Join Date : 15th April 2012
    Posts : 50
    Rep Power : 311
    Likes Received2
    Likes Given0


    [h=2]
    icon1.png
    [/h]

    Millya kaja kumaliza mchezo,ili tupumzike na kelele..






    Mie Mchaga kama muhasi wenu.​






    mmarking the red!!!!
 
Back
Top Bottom