Kwasababu ya Kwampalange na kwenye mtaro mimi Naungana na BASATA

Miaka 14 acha utani Mkuu, alafu si kwa watoto tu hii ni kwa jamii nzima amini usiamini vijana wengi hasa wa kike wanaingia kwenye huo mchezo kupitia ushawishi wa hawa ma star.

Sasa fikiria tu mdada yupo gheto na mhuni wake wanakulana huku hio nyimbo inaimba kwenye boofer siku ya kwanza, ya pili mara wiki kwanini asi apply?

Pitia pitia maeneo wanayokaa wanachuo au vijiwe vya vijana hautaamini hizi story za yule analiwa ndogo mara yule anapenda ndogo. Mkuu hizi nyimbo sio zikifuatiwa na Movie za njee sasa hivi nyingi zinasambaza itikadi ya mapenzi ya jinsia moja.

Unakuta shoga ni askari au mtu mwenye kitu cha kipekee kwenye movie husika na haoneshi kabisa kuwa shoga kwa nje unafikiri jamii inajifunza nini hapo?, jamii inaona Ah!, kumbe unaweza kuwa shoga na ukafanya mambo yako fresh tu. Matokeo yake ni janga kwa kizazi kijacho
Yesu alisema acha magugu na ngano vikue pamoja...utafanyaje sasa?? hata ukifungia wasanii wasiimbe kabisa kuna muvi za nje.....kuna Internet ambayo upo huru kuangalia uchafu unaoutaka...cha muhimu kila abiria achunge mzigo wake...baba linda familia yako mama walinde watoto wako...pia amua kushikamana na Mungu kweli kweli wewe na familia yako maana huyo pekee ndiye anaweza kuokoa kizazi na si BASATA wala SERIKALI kwa ujumla
 
Yesu alisema acha magugu na ngano vikue pamoja...utafanyaje sasa?? hata ukifungia wasanii wasiimbe kabisa kuna muvi za nje.....kuna Internet ambayo upo huru kuangalia uchafu unaoutaka...cha muhimu kila abiria achunge mzigo wake...baba linda familia yako mama walinde watoto wako...pia amua kushikamana na Mungu kweli kweli wewe na familia yako maana huyo pekee ndiye anaweza kuokoa kizazi na si BASATA wala SERIKALI kwa ujumla

Ni kweli ila mamlaka za duniani nazo zisikae kimya.
 
Ukitaka kuokoa kizazi na kulinda maadili njia ni kufuta GLOBALIZATION.....can you?
Tena angalau hata nchi yetu bado wasanii wanatumia tasfida....nchi zilizoendelea ambazo unalilia kwenda...ambazo ndani ya majukwaa humu JF kila siku wanaulizana kwa hali na mali namna/mbinu za kufika huko...kitu kinatamkwa kilivyo
 
Ni kweli ila mamlaka za duniani nazo zisikae kimya.
Mkuu MAMLAKA hazijawahi kukaa kimyaa..tena sio mamla tu...taasisi za kidini tokea enz zinafunga na kuomba...vyombo vya habari vinakemei mnoo....lakini DEMOKRASIA inasemaje?? "wengi wape"
 
Ndio maana sisikilizi radio station hamna cha ziada zaidi ya hayo madudu lakini tutegemee cha ziada kipi kama role model ndio kama Diamond anayebadilisha mabinti kila siku? Inabidi kama kioo cha jamii kuwa na responsibilities na restrictions kadhaa na ilo ni jukumu la Basata lasivo watoto wataona ni sawa kubadilisha wanawake vile vile.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
Duuh msanii sio mwanasiasa aisee. Hajachaguliwa na nyie wananchi kua pale ni juhudi zake, sasa mnataka kumuwekea restrictions hadi kwenye maisha yake binafsi, uliona wapi hiyo ndugu yangu??.

Wawabane kwenye kazi zao huko ndiko wanakotolea jeuri na kuviishi vile wanavyoviimba. Ila sio kumpangia aishi vipi
 
Pia nikukumbushe SODOMA na GOMORA kulikuwa hakuna social media,wala internet,...wala wasanii watumiaji wa maneno ya TIGO,KWA MPARANGE,MTARO,....lakini watu walifanya walichokifanya....njia pekee ya wewe kuwa salama ni kujisalimisha mzima mzima kwa YESU KRISTO au kwa ALLAH na sio kuwa katikati,....lazivyo tulizana uone dunia inavyowaka kama kuni kavu🔥🔥🔥
 
Kama shabiki wa mziki nakiri na kukubaliana na wewe kuwa kuna baadhi ya nyimbo inabidi hata kujifikiria mara mbili kuusikiliza hasa uwapo mbele ya mnaoheshimiana na watoto. Unakosa raha kabisa utakuta wimbo safi ila maneno yake humo ndani ni balaa kubwa. Sifikiri kama wasanii kunaulazima sana wa kutumia maneno makali na kufedhehesha katika nyimbo zenu. Naamini mtaweza kubadilika kulingana na wakati.
 
Kama shabiki wa mziki nakiri na kukubaliana na wewe kuwa kuna baadhi ya nyimbo inabidi hata kujifikiria mara mbili kuusikiliza hasa uwapo mbele ya mnaoheshimiana na watoto. Unakosa raha kabisa utakuta wimbo safi ila maneno yake humo ndani ni balaa kubwa. Sifikiri kama wasanii kunaulazima sana wa kutumia maneno makali na kufedhehesha katika nyimbo zenu. Naamini mtaweza kubadilika kulingana na wakati.
Dunia ni chafu....uchafu ukiutazama...that is the real meaning of secular buddy
Mchongoma licha ya kwamba unaanza kama mmea wa kawaida ila mwisho wa siku utatoa MIBA tu iwe isiwee...
 
Duuh msanii sio mwanasiasa aisee. Hajachaguliwa na nyie wananchi kua pale ni juhudi zake, sasa mnataka kumuwekea restrictions hadi kwenye maisha yake binafsi, uliona wapi hiyo ndugu yangu??.

Wawabane kwenye kazi zao huko ndiko wanakotolea jeuri na kuviishi vile wanavyoviimba. Ila sio kumpangia aishi vipi
Hujaelewa jinsi ya industry inavyo fanya kazi bado, ukiwauliza wakina Jayz kwanini wako lowkey japokuwa na hela zote zile ndio utaelewa kuna watu wana wapin point na wana observe each moves ata wanachoongea, Kanye aliongelea kuhusu ushoga story ghafla zikaja anamatatizo ya akili. Wengi sana kwa maoni tu juu ya ushoga wanauza mikate kwao. Do not play with the system, hatujaamua kuweka mkazo tu kwenye ilo lakini ndio mda huu wakuanza.

Nachosema ni kuna some certain restrictions zipo kwenye industry na zinalindwa ni mda na sisi tuweke zetu.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
 
Hujaelewa jinsi ya industry inavyo fanya kazi bado, ukiwauliza wakina Jayz kwanini wako lowkey japokuwa na hela zote zile ndio utaelewa kuna watu wana wapin point na wana observe each moves ata wanachoongea, Kanye aliongelea kuhusu ushoga story ghafla zikaja anamatatizo ya akili. Wengi sana kwa maoni tu juu ya ushoga wanauza mikate kwao. Do not play with the system, hatujaamua kuweka mkazo tu kwenye ilo lakini ndio mda huu wakuanza.

Nachosema ni kuna some certain restrictions zipo kwenye industry na zinalindwa ni mda na sisi tuweke zetu.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
Hao wanalinda brand zao mzee hakuna cha system wala nini. Wanachokiongea au kufanya kinawaathiri wao na biashara zao ndio maana wanaplay lowkey ila sio mambo ya kiserikali na kisiasa kama unavyotuaminisha hapa. Na kama huyo diamond sijaona hilo tishio mnalojaribu kulikuza, kua na mwanamke na mkaachana kisha kua na mwingine ni maisha ya wengi huku mitaani.
Wabongo mnakuza sana mambo.
 
Kuna wimbo wa Dogo mmoja anaitwa Whuzu sijui na wimbo wake unaitwa PWAA yaani ni PWAA kweli.

BASATA nao hawajielewi kabisa...
 
Bora zirud nyimbo za akina mlisho mpoto na wale waswahili wazee wa rumba na miziki ya maadili,,kizaz hiki si kwenye gospel si kwenye bongofleva kote kumejawa uchafuu mtupu....ili kufikia matumain ya maadil n bota kuwaongoza kidikteta eeh ilmlad tu kulinda kizaz kijacho kisiaribike kama awa watot wa kileo
 
Hao wanalinda brand zao mzee hakuna cha system wala nini. Wanachokiongea au kufanya kinawaathiri wao na biashara zao ndio maana wanaplay lowkey ila sio mambo ya kiserikali na kisiasa kama unavyotuaminisha hapa. Na kama huyo diamond sijaona hilo tishio mnalojaribu kulikuza, kua na mwanamke na mkaachana kisha kua na mwingine ni maisha ya wengi huku mitaani.
Wabongo mnakuza sana mambo.
Unaelewa unachokizungumza shekh? Yule ni kioo cha jamii sio kama wewe ndio maana anakuwa na managers, unafikiri Mziki wa marekani serikali yake haina mkono pale? Brother your lost umejiuliza kisa alizokuwa anapambana nazo 2pac nani anaziplant? Mpaka kufa kwake adi leo hamna kinachoeleweka.

Kwa kifupi sana Marekani kama serikali wanarun every show,fatilia story ya Rick Ross sio huyo bonge alienda akatoa testimony kuwa alikuwa anapewa madawa na CIA kusambaza mtaani acha huyo Big meech naye the same ndio akawa pioneer mkubwa tu kwenye mziki wasanii wengi unaowajua jamaa ndio alikuwa anawafund, wakina Jeez, Fabulous, na wengine. Kwaiyo nachosema jamaa wanacontrol every industry legal or illegal.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
 
Bora zirud nyimbo za akina mlisho mpoto na wale waswahili wazee wa rumba na miziki ya maadili,,kizaz hiki si kwenye gospel si kwenye bongofleva kote kumejawa uchafuu mtupu....ili kufikia matumain ya maadil n bota kuwaongoza kidikteta eeh ilmlad tu kulinda kizaz kijacho kisiaribike kama awa watot wa kileo
Mbona kizazi cha nyuma kililinda maadili ya watoto ambao ndo taifa tunaloona leo....vp ikawaje maadili yakavurugika? West mzee... shida ni west uchafu wote unatengenezwa+unasimamiwa+unapigiwa promo huko....sisi kwa asilimia kubwa tunapokea na kuendeleza tu
BASATA hata serikali kwa ujumla hawana uwezo wa kukomesha hii kitu....ni sawa na wewe kutaka kubadili au kuzui kitu fulani INSTAGRAM wakati mwenye ALGORITHM yupo West
 
Mbona kizazi cha nyuma kililinda maadili ya watoto ambao ndo taifa tunaloona leo....vp ikawaje maadili yakavurugika? West mzee... shida ni west uchafu wote unatengenezwa+unasimamiwa+unapigiwa promo huko....sisi kwa asilimia kubwa tunapokea na kuendeleza tu
BASATA hata serikali kwa ujumla hawana uwezo wa kukomesha hii kitu....ni sawa na wewe kutaka kubadili au kuzui kitu fulani INSTAGRAM wakati mwenye ALGORITHM yupo West
Kama ni hivyo bas hatuwez kuzuia ila cha msingi ni kuzid kupamba na uovu japo maadil lazma yavunjike iwe isiwe lakn tuendelee kupamban
 
Back
Top Bottom