Kwasababu ya Kwampalange na kwenye mtaro mimi Naungana na BASATA

Mbona kizazi cha nyuma kililinda maadili ya watoto ambao ndo taifa tunaloona leo....vp ikawaje maadili yakavurugika? West mzee... shida ni west uchafu wote unatengenezwa+unasimamiwa+unapigiwa promo huko....sisi kwa asilimia kubwa tunapokea na kuendeleza tu
BASATA hata serikali kwa ujumla hawana uwezo wa kukomesha hii kitu....ni sawa na wewe kutaka kubadili au kuzui kitu fulani INSTAGRAM wakati mwenye ALGORITHM yupo West
Weak justification.

Kitu ambacho unajua ni kibovu kwanini unakipokea?
Kukipokea ni evidence tosha kwamba hakuna maadili.

Mtu mwenye maadili asingepokea wala kuendeleza vitu vibovu.
 
Habari wadau hivi Watanzania alie turoga nani hasa wasanii kwa sababu ya vitu wanavyo Fanya vya tofaut ila kwa kua wanajua wanaweza kusema na mambo yakafika mbali Basi hawaogop kufanya ujinga

Basata Hatua ilochukua ni Hatua nzur Sana kwanza kwa maadil ya kitanzania pia hata kufuta ujinga ambao wasanii kama tungewachekea wangeharibu watoto zetu

Fikiria Wasanii wa Leo katika mashair yao ili wafikishe ujumbe kwa wasikilizaji kua Wapenzi wao wanajua Mapenzi basi ni lazima waseme kua Wapenzi wao Wana michezo ya kuwapa kwa mpalange, kwenye mtaro, jicho au kwenye tope na wakisema hayo wote Hua Tunaelewa ni Nini wanazungumzia

Sasa naomba tujiulize wenyewe maswal ivi kizazi chetu Kiki kua na kukuta jamii nzima inaimba Mapenzi ya kinyume na Maumbile kama Mapenzi ya kawaida na yenye thamani Zaid kwa Wapenzi mnafikir ni Nini watafanya ili kuwaridhisha Wapenzi wao ili wasije kujiskia unyonge pale wenzao wanapo Imba kaamisha pale nilipo zowea anataka aweke kwenye Mtaro,
Au kutaka na yeye kumpitisha mpenzi wake kunduchi juu?????

Vip akiona ushaur wa kua kama atapata bwana mzungu akimpa kwa mpalange hato muacha

Pia wasanii wamekua wanaharibu Taswira ya Maeneo husika mfano Kwa Mpalange mpaka sasaiv kwenye mawazo ya watu tayar wanaamin kwa Mpalange ni sehem ilio jaa ujinga wakat si kweli


Wasanii wa sasaivi wanaubil Mapenzi ya kinyume na Maumbile kwa wingu na tungo za namna io zimesha kua nyingi Sana

Basata haikutakiwa ku dael na nyimbo ambazo haijatoka tu wangewapiga hata fain baadh ya wasanii kwa sababu ya nyimbo zao za kishetan.


Pia Basata isiziwie Msanii kutumia Tafsida ila iwe inachuja Baadhi ya Tafsida zenye ukakasi kama kwa mpalange, mtaro. Jicho, na mengine mengi yanayo husu ujinga
Tatizo basata hawafungii nyimbo zenye matusi, wanafungia nyimbo zinazoikosoa/kuishauri serikali
 
Weak justification.

Kitu ambacho unajua ni kibovu kwanini unakipokea?
Kukipokea ni evidence tosha kwamba hakuna maadili.

Mtu mwenye maadili asingepokea wala kuendeleza vitu vibovu.
Unaweza usikipokee mfano nyimbo ila tambua maboda boda wanapiga kwenye vyombo vya usafir pia mfano kariakoo na Bugurun kwa ushaid uo sio Rais kukwepa kusikiliza hata kama hutak
 
Kama ni hivyo bas hatuwez kuzuia ila cha msingi ni kuzid kupamba na uovu japo maadil lazma yavunjike iwe isiwe lakn tuendelee kupamban
Kinachofanywa na BASATA ni kuilinda hadhi ya serikali kwenye uso wa jamii kuonyesha kuwa hairuhusu izo mambo ila hata wao wanajua kuwa haitakaa itokee kuzuia izo mambo....BASATA haina tofauti na TAKUKURU...rushwa imeisha?? itaisha??? wote tunajua kuwa haitakaa itokee...traffic wanakula rushwa kweupeee...ko ni kulinda tu heshima ya serikali kuonyesha kuwa hairuhusu hivo vitu
 
Unaweza usikipokee mfano nyimbo ila tambua maboda boda wanapiga kwenye vyombo vya usafir pia mfano kariakoo na Bugurun kwa ushaid uo sio Rais kukwepa kusikiliza hata kama hutak
Unaamisha kila mtu anayepita maeneo hayo anaharibikiwa??
yan we utakua huna tofauti na wale waliosema kuwa boda boda zifutwe sababu zinasababisha ajali sanaa...kuharibikiwa kwa watu hakutokani na nyimbo tu mkuu.............ingekua hivo marekani yote ingekua imeharibikiwa....maana staki kuamini kuwa hayo maeneo uliyoyataja hakuna masheikh, na wachungaji wanaopita lakini imani yao iko pale pale...
 
Weak justification.

Kitu ambacho unajua ni kibovu kwanini unakipokea?
Kukipokea ni evidence tosha kwamba hakuna maadili.

Mtu mwenye maadili asingepokea wala kuendeleza vitu vibovu.
Its called business buddy....marekani ndiyo ina control soko la dunia...hivo watu wanafata trend...nini kinaongelewa sana na kinafatiliwa sana west?....angalia movie...angalia muziki utaniambia...hata kwenye siasa pia
Hivo ili uuze itabidi ukipokee tu....na biashara ya sekta ya burudani kwa sasa imelalia kwenye mapenzi...
 
Wimbo kama Nyama ya bata ni tamu,muhogo wa jangombe,naodha kukaa nyuma,mdudu kaingiaje kwenye kokwa la embe,ziliimbwa miaka ya 90

Huwezi kumuhukumu mtu kwa tafsiri unayoitengeneza wewe,

Nyegezi,Jicho,kwa mparange,Tigo, hayo maneno yote ni ya kawaida kabisa.

Ila mtu akiimba ,"we dada nipe Tigo"Basata watasema katukana,cha ajabu hapa nchini kuna kampuni inaitwa Tigo,mbona haiambiwi imeandika tusi kwenye bango lao.
Pasipo kuisahau taarab moja inaitwa "mkuna na mkunaji muona raha ni nani" na "bustan njema"
 
Hao watu wa BASATA wenyewe walitakiwa wawe wamefungiwa kitambo sana. Sijui walikuwa likizo?
 
Unaelewa unachokizungumza shekh? Yule ni kioo cha jamii sio kama wewe ndio maana anakuwa na managers, unafikiri Mziki wa marekani serikali yake haina mkono pale? Brother your lost umejiuliza kisa alizokuwa anapambana nazo 2pac nani anaziplant? Mpaka kufa kwake adi leo hamna kinachoeleweka.

Kwa kifupi sana Marekani kama serikali wanarun every show,fatilia story ya Rick Ross sio huyo bonge alienda akatoa testimony kuwa alikuwa anapewa madawa na CIA kusambaza mtaani acha huyo Big meech naye the same ndio akawa pioneer mkubwa tu kwenye mziki wasanii wengi unaowajua jamaa ndio alikuwa anawafund, wakina Jeez, Fabulous, na wengine. Kwaiyo nachosema jamaa wanacontrol every industry legal or illegal.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
Ndio ni kioo cha jamii na ana maisha yake nje ya muziki. Nje ya kuimba izo mambo za kwa mapalange na vitu kama hivyo kwa maisha binafsi ya jamaa sioni anachoiharibu hiyo jamii ni vile tu hiyo jamii ishaharibika.

Hajafika iyo level ya kufanya upuuzi hadi kua controled na serikali kama mifano yako ya hao wa uko mbele.

Bado industry inaendelea kukua mbona haya ya bongo ni madogo mno kulinganisha na wanayofanya wasanii wa nje, tunajipanikisha tu.
 
Changamoto ni kubwa sana kwakweli...mamlaka zinajitahidi kuhakikisha wasanii wanaweka sokoni kazi ambazo hazina utata ..lakini kuna kazi za wasanii wa nje ya nchi mashairi yao tu hata ukisikiliza unahisi kama vile wewe ndo umenena hayo maneno ....kwamfano wimbo wa HIGH SCHOOL...nicki minaj na ril wayne wametamka maneno hatari kabisa..lakin kazi zao tunazipata vizuri tu.
 
Habari wadau hivi Watanzania alie turoga nani hasa wasanii kwa sababu ya vitu wanavyo Fanya vya tofaut ila kwa kua wanajua wanaweza kusema na mambo yakafika mbali Basi hawaogop kufanya ujinga

Basata Hatua ilochukua ni Hatua nzur Sana kwanza kwa maadil ya kitanzania pia hata kufuta ujinga ambao wasanii kama tungewachekea wangeharibu watoto zetu

Fikiria Wasanii wa Leo katika mashair yao ili wafikishe ujumbe kwa wasikilizaji kua Wapenzi wao wanajua Mapenzi basi ni lazima waseme kua Wapenzi wao Wana michezo ya kuwapa kwa mpalange, kwenye mtaro, jicho au kwenye tope na wakisema hayo wote Hua Tunaelewa ni Nini wanazungumzia

Sasa naomba tujiulize wenyewe maswal ivi kizazi chetu Kiki kua na kukuta jamii nzima inaimba Mapenzi ya kinyume na Maumbile kama Mapenzi ya kawaida na yenye thamani Zaid kwa Wapenzi mnafikir ni Nini watafanya ili kuwaridhisha Wapenzi wao ili wasije kujiskia unyonge pale wenzao wanapo Imba kaamisha pale nilipo zowea anataka aweke kwenye Mtaro,
Au kutaka na yeye kumpitisha mpenzi wake kunduchi juu?????

Vip akiona ushaur wa kua kama atapata bwana mzungu akimpa kwa mpalange hato muacha

Pia wasanii wamekua wanaharibu Taswira ya Maeneo husika mfano Kwa Mpalange mpaka sasaiv kwenye mawazo ya watu tayar wanaamin kwa Mpalange ni sehem ilio jaa ujinga wakat si kweli


Wasanii wa sasaivi wanaubil Mapenzi ya kinyume na Maumbile kwa wingu na tungo za namna io zimesha kua nyingi Sana

Basata haikutakiwa ku dael na nyimbo ambazo haijatoka tu wangewapiga hata fain baadh ya wasanii kwa sababu ya nyimbo zao za kishetan.


Pia Basata isiziwie Msanii kutumia Tafsida ila iwe inachuja Baadhi ya Tafsida zenye ukakasi kama kwa mpalange, mtaro. Jicho, na mengine mengi yanayo husu ujinga
Umemaliza?
 
Too late... Ukiona wewe mzazi umeshapajua kwampalange ujue watoto wako wamekwisha paelewa tayari.
Tatizo ni Hakuna wasimamizi wema wa maadili.
Wote tumekuwa watu wa kulalamika na kusingiziana ili kujastifai kasoro na mapungufu yetu.
"MAVUNO NI MENGI WATENDA KAZI NI WACHACHE'
 
Ndio ni kioo cha jamii na ana maisha yake nje ya muziki. Nje ya kuimba izo mambo za kwa mapalange na vitu kama hivyo kwa maisha binafsi ya jamaa sioni anachoiharibu hiyo jamii ni vile tu hiyo jamii ishaharibika.

Hajafika iyo level ya kufanya upuuzi hadi kua controled na serikali kama mifano yako ya hao wa uko mbele.

Bado industry inaendelea kukua mbona haya ya bongo ni madogo mno kulinganisha na wanayofanya wasanii wa nje, tunajipanikisha tu.
Utajisikiaje ukimkuta mtoto wako anaimba sijui kahamisha kwenye mtaro?!

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom