ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,579
- 44,826
Hivi BASATA haisikilizi hizi nyimbo zinazoimbwa matusi, ila BASATA ipo kwa ajili ya kusikiliza nyimbo za Ney wa Mitego tu jamani tusaidizane hapa au BASATA ni kwajili ya kuchambua wasanii baadhi.
Hii Tanzania kuna unyanyaasaji sana eti mtu akiimba uhalisia anakuwa mchochezi hivi mtu mchochezi na anayeharibu maaadili ya vijana /watoto wadogo ambao wanakuja kuwa taifa la kesho maana sasa hivi wasanii wanaimba matusi sana vitoto na vyenyewe vinaimba swali taifa la kesho kuna kizazi kipi kijacho.
Wasanii wanaropoka utumbo kisa tu kuendana na soko la muziki na hutasikia wameitwa na BASATA. Hii nchi tunahitaji kiongozi mmoja aje atokee afanye mapinduzi makubwa ya kiutendaji kuanzia polisi, BASATA na kwenye maofisi yote ya Serikali maana hali inatisha sana mpaka unaogopa bora uhuni wa kenya huko wa live live ila sisi huku chini kumeoza kumeoza mitaani watoto wanadatishwa na nyimbo mpaka wanatinduliwa kimasihara..ooh Tanzania yangu
Hii Tanzania kuna unyanyaasaji sana eti mtu akiimba uhalisia anakuwa mchochezi hivi mtu mchochezi na anayeharibu maaadili ya vijana /watoto wadogo ambao wanakuja kuwa taifa la kesho maana sasa hivi wasanii wanaimba matusi sana vitoto na vyenyewe vinaimba swali taifa la kesho kuna kizazi kipi kijacho.
Wasanii wanaropoka utumbo kisa tu kuendana na soko la muziki na hutasikia wameitwa na BASATA. Hii nchi tunahitaji kiongozi mmoja aje atokee afanye mapinduzi makubwa ya kiutendaji kuanzia polisi, BASATA na kwenye maofisi yote ya Serikali maana hali inatisha sana mpaka unaogopa bora uhuni wa kenya huko wa live live ila sisi huku chini kumeoza kumeoza mitaani watoto wanadatishwa na nyimbo mpaka wanatinduliwa kimasihara..ooh Tanzania yangu