haha
JF-Expert Member
- Apr 21, 2013
- 1,400
- 1,628
Kuna wakati maamuzi mengine yanashangaza kidogo au Sana!! Sijajua basata Huwa inawaogopa Bongo favour au vipi!?
Juzi Wizara ya Elimu imekuja na azimio la kukataza nyimbo zisizo na maadili kupigwa kwenye mabasi ya shule!! Amaa!!!, kumbe mnajua kuna nyimbo zisizo na maadali? Kwanini, msizifungie zisisikike popote?
Je, Mwanafunzi atanyimwa tu kuzisikiliza kwenye school basi lakini siku akipanda daladala azisikie?, Je, Vipi sisi watoto wetu wasiopanda school basi wao ruksa kusikia?
Kwanini msiweke Sheria Kali msanii alazimike kupeleka nyimbo Basata kabla ya kuiachia kwenye media ili kama Ina kasoro zirekebishwe!!! Kwa kweli Basata hapa mmefeli.
Kwanini Kuna kubembelezana kuliko pitiliza kati ya Serikali/Basata na wasanii wanaoimba upuuzi?
Juzi Wizara ya Elimu imekuja na azimio la kukataza nyimbo zisizo na maadili kupigwa kwenye mabasi ya shule!! Amaa!!!, kumbe mnajua kuna nyimbo zisizo na maadali? Kwanini, msizifungie zisisikike popote?
Je, Mwanafunzi atanyimwa tu kuzisikiliza kwenye school basi lakini siku akipanda daladala azisikie?, Je, Vipi sisi watoto wetu wasiopanda school basi wao ruksa kusikia?
Kwanini msiweke Sheria Kali msanii alazimike kupeleka nyimbo Basata kabla ya kuiachia kwenye media ili kama Ina kasoro zirekebishwe!!! Kwa kweli Basata hapa mmefeli.
Kwanini Kuna kubembelezana kuliko pitiliza kati ya Serikali/Basata na wasanii wanaoimba upuuzi?