Kwasababu ya Kwampalange na kwenye mtaro mimi Naungana na BASATA

Hili tatizo la wasanii kuimba lugha zinazotafsiriwa kuwa ni matusi na watu kushangilia ni kiashiria cha jinsi gani jamii yetu ilivyo katika mmonyoko mkubwa wa maadili......vile vile hii hatua ya BASATA inatuonyesha ni jinsi gani waTanzania tulivyo wanafiki na tunaishi maisha ya kinafiki........wale waliokuwa wakiwashutumu wasanii kwa kuimba nyimbo zisizo na maadili ndio hao hao wanawashutumu BASATA......
 
Wimbo kama Nyama ya bata ni tamu,muhogo wa jangombe,naodha kukaa nyuma,mdudu kaingiaje kwenye kokwa la embe,ziliimbwa miaka ya 90,
Huwezi kumuhukumu mtu kwa tafsiri unayoitengeneza wewe,
Nyegezi,Jicho,kwa mparange,Tigo, hayo maneno yote ni ya kawaida kabisa.
Ila mtu akiimba ,"we dada nipe Tigo"Basata watasema katukana,cha ajabu hapa nchini kuna kampuni inaitwa Tigo,mbona haiambiwi imeandika tusi kwenye bango lao.
Walifanya uzembe wazee wetu ndioamana mpaka Leo sisi kusifia Mapenzi ya kinyume na maumbile imekua kawaida and now na sisi tunafanya makosa Yale Yale vip watoto zetu baadae watakuja na sifa zipi kama baba zao tumesha sifia mitaro ya wanawake usishangae na wao wakaja kusifia mitaro ya mashoga
 
Kumbe una akili kichwani eeh... acha nikupake mate iteleze kama nyoka pangoni. Nikupachike na rungu la komredi kipepe.
Unajribu kujenga hoja ipi, haueleweke.

Ni wazi BASATA imejaa watu wa aina kama yako.

Huwezi kuhukumu watu kwa kutumia tafsiri za mtaani. Kwa mfano neno ikulu kuna watu wanatumia ku'refer nyeti za mwanamke, je..ni sahihi kupiga marufuku matumizi ya neno ikulu kisa tu kikundi kidogo kinalitafsiri ndivyo sivyo?.
 
Unajribu kujenga hoja ipi, haueleweke.

Ni wazi BASATA imejaa watu wa aina kama yako.

Huwezi kuhukumu watu kwa kutumia tafsiri za mtaani. Kwa mfano neno ikulu kuna watu wanatumia ku'refer nyeti za mwanamke, je..ni sahihi kupiga marufuku matumizi ya neno ikulu kisa tu kikundi kidogo kinalitafsiri ndivyo sivyo?.
Tafsida za namna io sio Mbaya ila zile za matope na mitaro ni ujinga
 
Msanii bora ni Alikiba, anaimba mapenzi lakini hutasikia lugha Kama hizo.
Diamond ndo kinara wa nyimbo zenye lugha ya ukakasi na ndio role model wa wasanii wengi.

Inashangaza kuchuja nyimbo mpya zinazotoka wakati za zamani zenye matusi zinaendelea kuwepo.
Mzee Wa kulilia msambwanda Wa buku jero
 
Kumbuka ujinga huu haukuanza jana maneno ya hivyo yalikuwepo kitambo ila hawa wa sasa wamezidi ifike mahala tuchukue hatua sasa.

Maneno hayo yatumike mahala husika unaposema dada akupe tigo kwani yeye ni muhudumu wa tigo shop?. Sio siri wanatuharibia watoto sana hawa hata nyimbo hizo huwezi sikiliza ukiwa hata n wazazi au watu wa heshima Basata msikubali kabisa ujinga huu kuacha wapigeni faini kubwa juuu wakaimbie watoto wao makwao Pumbavu kabisa!
 
Nikweli kabisa wasanii lazima warudishwe kwenye reli wanapovuka mipaka na kutumia lugha isiyofaa kwenye kazi zao...lakin wimbo huo wa ney mbona mimi sijaona tatizo hapo??..sijaona neno lenye utata hata moja..tena katumia maneno mazuri tu.. nilichogundua..wenye mamlaka wanawasiwasi endapo wakuu wao watatafsiri kama wao.
 
Habari wadau hivi Watanzania alie turoga nani hasa wasanii kwa sababu ya vitu wanavyo Fanya vya tofaut ila kwa kua wanajua wanaweza kusema na mambo yakafika mbali Basi hawaogop kufanya ujinga

Basata Hatua ilochukua ni Hatua nzur Sana kwanza kwa maadil ya kitanzania pia hata kufuta ujinga ambao wasanii kama tungewachekea wangeharibu watoto zetu

Fikiria Wasanii wa Leo katika mashair yao ili wafikishe ujumbe kwa wasikilizaji kua Wapenzi wao wanajua Mapenzi basi ni lazima waseme kua Wapenzi wao Wana michezo ya kuwapa kwa mpalange, kwenye mtaro, jicho au kwenye tope na wakisema hayo wote Hua Tunaelewa ni Nini wanazungumzia

Sasa naomba tujiulize wenyewe maswal ivi kizazi chetu Kiki kua na kukuta jamii nzima inaimba Mapenzi ya kinyume na Maumbile kama Mapenzi ya kawaida na yenye thamani Zaid kwa Wapenzi mnafikir ni Nini watafanya ili kuwaridhisha Wapenzi wao ili wasije kujiskia unyonge pale wenzao wanapo Imba kaamisha pale nilipo zowea anataka aweke kwenye Mtaro,
Au kutaka na yeye kumpitisha mpenzi wake kunduchi juu?????

Vip akiona ushaur wa kua kama atapata bwana mzungu akimpa kwa mpalange hato muacha

Pia wasanii wamekua wanaharibu Taswira ya Maeneo husika mfano Kwa Mpalange mpaka sasaiv kwenye mawazo ya watu tayar wanaamin kwa Mpalange ni sehem ilio jaa ujinga wakat si kweli


Wasanii wa sasaivi wanaubil Mapenzi ya kinyume na Maumbile kwa wingu na tungo za namna io zimesha kua nyingi Sana

Basata haikutakiwa ku dael na nyimbo ambazo haijatoka tu wangewapiga hata fain baadh ya wasanii kwa sababu ya nyimbo zao za kishetan.


Pia Basata isiziwie Msanii kutumia Tafsida ila iwe inachuja Baadhi ya Tafsida zenye ukakasi kama kwa mpalange, mtaro. Jicho, na mengine mengi yanayo husu ujinga
Wimbo wa Hamonaizi waedit yale maneno "anahamisha alipozea anataka kwenye mtaro" hayafai kabisa kuruka hewani ni maneno yenye ukakasi kusikika kwenye jamii.
 
Sio siri hii ndio jamii tulioitengeneza, haya yanaakisi mambo yanayoendelea kwenye jamii yetu kwa sasa. Wasanii wanaimba Kile kinachokuwepo kwenye jamii yetu kwa sasa. Picha za makalio ndio mpango mzima kwa wadada zetu huko instagram na kwingineko unategemea wasanii waimbe nini?
 
Kwani ukisema kwa Mpalange ama kwenye mtaro mtoto mdogo wa 0-14 ataelewa nini? mtoto atajua kwa Mparange ni kwa mzee mmoja mnoko mnoko sana anayechapa watoto wanaopita karibu na nyumba yake....

Na kwenye mtaro wa matope si yajulikana wazi namna mtoto ukichezea mitaroni mamake anakuchapa sababu anachafuka - sasa tatizo wapi basata? Kwa watu wazima utajua mweyewe tafsiri yako.

Basata acheni watu wafanye usanii.... Kazi iendelee !!
 
Kwani ukisema kwa Mpalange ama kwenye mtaro mtoto mdogo wa 0-14 ataelewa nini? mtoto atajua kwa Mparange ni kwa mzee mmoja mnoko mnoko sana anayechapa watoto wanaopita karibu na nyumba yake....

Na kwenye mtaro wa matope si yajulikana wazi namna mtoto ukichezea mitaroni mamake anakuchapa sababu anachafuka - sasa tatizo wapi basata? Kwa watu wazima utajua mweyewe tafsiri yako.

Basata acheni watu wafanye usanii.... Kazi iendelee !!
Tatizo sio kupaelewa tu tatizo ni kuelewa matumizi tofaut mfano harmonize alivyo kua na kajala alafu akatoa wimbo wake ule kua mpenzi wake aliamisha alipo zowea akaweka kwenye mtaro mtoto mjinga mjinga ataelewa vip juu ya kajala na Harmonize
 
Tatizo sio kupaelewa tu tatizo ni kuelewa matumizi tofaut mfano harmonize alivyo kua na kajala alafu akatoa wimbo wake ule kua mpenzi wake aliamisha alipo zowea akaweka kwenye mtaro mtoto mjinga mjinga ataelewa vip juu ya kajala na Harmonize
Kajala kumbe anapenda mchezo wa matopeni eeee - ha ha ha

Unaweza kushangaa mtoto akakuuliza namna hii.

mtoto: hivi mtaro ndiyo nini baba?
Baba: Ni sehemu ambayo maji na matope yaliyochanganyikana yanapopita kwa pamoja.
Mtoto: Sasa mbona Harmonise akasema akaweza kwenye mtaro,ndiyo nini?
Baba: Mjinga wewe, kafanye Homework yako huko toka hapa.
Mtoto: Na kwa Mzee Mpalange ndiyo wapi eti?
Baba: Shwaini subiri nije hapo nikutoe shingo.
 
Kwani ukisema kwa Mpalange ama kwenye mtaro mtoto mdogo wa 0-14 ataelewa nini? mtoto atajua kwa Mparange ni kwa mzee mmoja mnoko mnoko sana anayechapa watoto wanaopita karibu na nyumba yake....

Na kwenye mtaro wa matope si yajulikana wazi namna mtoto ukichezea mitaroni mamake anakuchapa sababu anachafuka - sasa tatizo wapi basata? Kwa watu wazima utajua mweyewe tafsiri yako.

Basata acheni watu wafanye usanii.... Kazi iendelee !!

Miaka 14 acha utani Mkuu, alafu si kwa watoto tu hii ni kwa jamii nzima amini usiamini vijana wengi hasa wa kike wanaingia kwenye huo mchezo kupitia ushawishi wa hawa ma star.

Sasa fikiria tu mdada yupo gheto na mhuni wake wanakulana huku hio nyimbo inaimba kwenye boofer siku ya kwanza, ya pili mara wiki kwanini asi apply?

Pitia pitia maeneo wanayokaa wanachuo au vijiwe vya vijana hautaamini hizi story za yule analiwa ndogo mara yule anapenda ndogo. Mkuu hizi nyimbo sio zikifuatiwa na Movie za njee sasa hivi nyingi zinasambaza itikadi ya mapenzi ya jinsia moja.

Unakuta shoga ni askari au mtu mwenye kitu cha kipekee kwenye movie husika na haoneshi kabisa kuwa shoga kwa nje unafikiri jamii inajifunza nini hapo?, jamii inaona Ah!, kumbe unaweza kuwa shoga na ukafanya mambo yako fresh tu. Matokeo yake ni janga kwa kizazi kijacho
 
Kumbuka ujinga huu haukuanza jana maneno ya hivyo yalikuwepo kitambo ila hawa wa sasa wamezidi ifike mahala tuchukue hatua sasa.

Maneno hayo yatumike mahala husika unaposema dada akupe tigo kwani yeye ni muhudumu wa tigo shop?. Sio siri wanatuharibia watoto sana hawa hata nyimbo hizo huwezi sikiliza ukiwa hata n wazazi au watu wa heshima Basata msikubali kabisa ujinga huu kuacha wapigeni faini kubwa juuu wakaimbie watoto wao makwao Pumbavu kabisa!
Dunia ni chafu...uchafu ukiutazama by fid Q
Kwanini uangalie hizo nyimbo akati gospel na kaswida zimejaa....
 
Back
Top Bottom