Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,574
- 188,785
Tuendelee kujihadhari
Kwani watanzania wenzako siyo ndugu na hauwajali? Kwa taarifa yako, model hii inayofuatwa, lazima ukufikie. We endeleza kejeli.Sema ndugu zako wamekufa wangapi na hawajatangazwa au wanaumwa na sio kila siku kuwasemea watu ambao hawajulikani walipo, na kama wapo acha waseme wenyewe kuwa ndugu zao wanakufa ila hawatangazwi, na sio wewe, maana huna ushahidi, na kama unao weka hapa tuuone.
😆😆😆Waongo wengine afya zao mgogoro,wamekimbia mji. wanajua wakionjwa kidogo na corona wanakwenda na maji
Yupi huyo ticha au pank , nimechek clip moja ya mkongolee anasema tayari ticha ubwabwa unaliwa.Kuna tetesi operation ya moyo aliyofanyiwa imeenda vibaya.
Itaondoka na madikteta mengine yamejifichaCorona ni balaa.
wenye nchi, raia wa Tanzania!Ccm iondolewe madarakani na nani?
Chadema
Vijana acheni mbege za marangu zinaharibu ubongo
Na iende vibaya kabisa,nasikia kiduku naye chali wenye taarifa huko duniani mtujuzeKuna tetesi operation ya moyo aliyofanyiwa imeenda vibaya.
Kuna watu wanajipa stress za kujitakia tu yani wanamchukia mtu ambaye hawawezi kumfanya kitu.Nasikiaga hivi, mtu ukimchukia zaidi hafi mapema, Ila mwenye chuki hufa ghafla!!
Hakuna anayemchukia pasipo na sababu. Kwa namna ambavyo vilio vya Watanzania vimepamba moto kona zote za nchi, mwambieni nduli makufuli asitoke kabisa huko chato. Siku atakapojaribu kutoka tu, corona itaondoka naye fasta.Kuna watu wanajipa stress za kujitakia tu yani wanamchukia mtu ambaye hawawezi kumfanya kitu.
Nadhani ameondika corona na si chadema. Those are two different entities. Politic and science dont share parents.Ccm iondolewe madarakani na nani?
Chadema
Vijana acheni mbege za marangu zinaharibu ubongo
Mh..stay insideNaomba Mungu Hali isiwe mbaya na kutosha hadii tiba ipatikane watu tuwe huru.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo sio sababu hakuna kisicho na sababu ila tatizo unampomchukia mtu ile kupitiliza yani umemtilia X kabisa halafu huyo mtu mwenyewe huwezi kumfanya kitu hapo ndipo stress zinapo wapata watu,kuna watu unaona kabisa hawapo sawa.Hakuna anayemchukia pasipo na sababu. Kwa namna ambavyo vilio vya Watanzania vimepamba moto kona zote za nchi, mwambieni nduli makufuli asitoke kabisa huko chato. Siku atakapojaribu kutoka tu, corona itaondoka naye fasta.
CHADEMA kwa sasa hivi wanachama wake wamepukutika na ni nadra kufika laki nne Tanzania nzima! Kama unabisha tumia statistics za viongozi wa CHADEMA waliohama.Mkuu kwanini unasahau kuwa nchi hii ina watu zaidi ya milioni 55? Unadhani miaka yote watu hawa wataendelea kupelekeshwa na kikundi cha watu wasiozidi milioni kumi kinachoitwa ccm? Wanao shiriki maigizo yenu ya uchaguzi ni wajinga wenzenu wanaccm na wanachama na mashabiki wachache wa vyama ambao jumla yao hata haifiki 20 milioni sasa tell me hawa wengine zaidi ya milioni 40 wako wapi na wanafikiria Nini kuhusu siasa uchwara mnazoendesha hapa Tanzania
Nyinyi uchaguzi mmeisha kata tamaa? Basi jipange 2025.Sasa nchi yetu uchumi kwanza corona iwepo tu maana mpaka Sasa hamna mipango yoyote ya kuokoa uchumi hasa kipindi hichi Cha corona I thought juzi Mr. President angeongelea hatua gani ambazo wamejiandaa ili ku boost uchumi, hasa sector binafsi ambayo imepata madhara, utalii ambao ni chanzo Kikuu Cha mapato na feza za kigeni, maana hatuna lockdown Ila vitu na biashara nyingi zimepata madhara.
Pia serikali nayo hatua za kudhibiti guidelines ni Kama imepuuza guidelines za WHO Sasa huku nchi nyingine zikifanikiwa kudhibiti corona sisi si ndo tutapigwa stop kabisa Mana tutaonekana ni supplier wacorona, nafikiria serikali ifikirie future zaidi, maana serikali watenda maamuzi akili zimegoma wanawaza uchaguzi mkuu zaidi, kuliko hata kudhibiti hii corona.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na ccm sasa hivi Ina wanachama milioni 55 si ndiyo mkuu?CHADEMA kwa sasa hivi wanachama wake wamepukutika na ni nadra kufika laki nne Tanzania nzima! Kama unabisha tumia statistics za viongozi wa CHADEMA waliohama.
Muda si mrefu tunaendakuongoe lugha moja.....sidhani kua wanaccm wanaweza kufika hata 10% watakaompigia kura magufuli...THE FAILED AND INCOMPETENT PRESIDENTWale waliokuwa hawaamini kuwa ccm ni waongo, wale waliobakia, wengine wanalalamika ndugu zao kuzikwa na huku taarifa ni watu kumi tu ccm wametoa.
Mkuu mtu ambaye haoni huyu mtu alivyofanya damage kubwa kwenye nchi hii,mtu ambaye haoni huyu mtu alivyovunja na kusambaratisha protocol za nchi hii,mtu ambaye haoni kiwango cha double standards alizoasisi mtu huyu,mtu ambaye haoni mtu huyu alivyosusha morali ya watu wengi kulitumikia taifa hili,mtu ambaye haoni mtu huyu alivyoharibu sector ya utumishi wa umma,mtu ambaye haoni mtu huyu alivyoharibu sector ya kilimo ya nchi hii hususani mazao ya biashara Kama korosho,kahawa na tumbaku,mtu ambaye haoni mtu huyu alivyoharibu sector ya fedha Tanzania,mtu ambaye haoni mtu huyu alivyoharibu sector binafsi ya nchi hii,mtu ambaye haoni mtu huyu alivyoasasi ufujaji wa pesa ya umma kwa kiwango cha SGR,mtu ambaye haoni uhovuo wa namna mtu huyu anavyoshughulikia majanga yanayoishia kugharimu maisha ya watanzania,mtu ambaye haoni mtu huyu alivyoharibu mahusiano ya nchi yetu na nchi mbalimbali na mashirika ya kimataifa,mtu ambaye haoni mtu huyu alivyoharibu mshikamano na utengamano miongoni mwa watanzania mtu huyo Kama si agent wa shetani ni nani basiTatizo sio sababu hakuna kisicho na sababu ila tatizo unampomchukia mtu ile kupitiliza yani umemtilia X kabisa halafu huyo mtu mwenyewe huwezi kumfanya kitu hapo ndipo stress zinapo wapata watu,kuna watu unaona kabisa hawapo sawa.