Kwasababu CCM wanapenda uongo na magoli ya mikono, COVID-19 haipendi uongo itawaondoa madarakani!

Utaratibu wa ccm kutawala nchi yetu umekuwa ukigubikwa na usiri mwingi, uchakachuaji wa data, uongo, propaganda na magoli ya mikono! Vyote hivyo ni adui namba moja pale inapokuja kwenye corona virus 🦠

Hivyo ccm lazima ipoteze hata wakiwapa wanachama wao barakoa za bure badala ya kofia ama t-shirts.

Lakini kwa haya yanayoendelea, baadaye mtakuja kusema labda rais alifanya makusudi ili aendelee kutawala. Kwanza ikifika wakati wa uchaguzi hali inaweza kuwa mbaya zaidi na minamba ikawekwa kujustify uchaguzi kufutwa indefinitely. Pamoja na campaign. Pesa itasemekana zinaenda kwenye corona.

Hii corona bila shaka itaondoka na serikali nyingi sana, maana gonjwa limekuja karibia na uchaguzi mkuu hata Marekani Trump naye ka panic hivyo hivyo anasema watu wajipige sindano za bleach na pia wajianike juani watapona corona!🤦🏾‍♂️

Kiongozi wa ukweli anapimwa wakati wa mgogoro kama huu. Kabla hata ya corona, huu mwaka ulikuwa wa changamoto kubwa sana kwa ccm. Sasa corona imeingia, kama hakuna hatua madhubuti, ni bora wapinzani nao waanze kuja na mawazo mbadala ya namna tutakayokabiliana na corona, maana ni wazi litakuwepo kwa muda. Lakini kwa hali hii ya sasa, tutaenda kuuzika uchumi wetu!

Kwamfano hata hao watalii tunaowategemea, wakati huko kwao kukiwa sawa, unadhani serikali zao zita recommend raia wake waje nchini? Kwasababu hao watu wanakwenda na statistics, halafu pia wanafahamu yanayoendelea. Hata ufiche vipi kwanza now days kuna satellites mnaonekana uchi tu.

Mods tafadhali musiichinjie baharini hii ni angalizo tu kwa uchaguzi mkuu ujao. Wananchi wanahitaji wasikie alternative ideas. Tuuachie usambae ambayo ni mode ya “The fittest survive”, ama tuende na partial lockdowns huku tukiongeza uwezo wa kupima.

Siyo ajabu wananchi tukajazuiwa kupiga kura kama kina Pasco wamekuwa wakisema hakuna haja ya uchaguzi bali Maghufuli kisha amkabidhi Makonda.
Inaondolewa na nani sasa?
 
Sasa nchi yetu uchumi kwanza corona iwepo tu maana mpaka Sasa hamna mipango yoyote ya kuokoa uchumi hasa kipindi hichi Cha corona I thought juzi Mr. President angeongelea hatua gani ambazo wamejiandaa ili ku boost uchumi, hasa sector binafsi ambayo imepata madhara, utalii ambao ni chanzo Kikuu Cha mapato na feza za kigeni, maana hatuna lockdown Ila vitu na biashara nyingi zimepata madhara.

Pia serikali nayo hatua za kudhibiti guidelines ni Kama imepuuza guidelines za WHO Sasa huku nchi nyingine zikifanikiwa kudhibiti corona sisi si ndo tutapigwa stop kabisa Mana tutaonekana ni supplier wacorona, nafikiria serikali ifikirie future zaidi, maana serikali watenda maamuzi akili zimegoma wanawaza uchaguzi mkuu zaidi, kuliko hata kudhibiti hii corona.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nchi gani ya Africa imedhibiti corona mkuu!!?
Eti tutakua supplier wa corona dah yamefikia hadi huko....
we are on the right track
 
Aisee hiki kiumbe kimezid na kwa umri wake ule lolote linawezekana
Pascal Mayalla ndiye aliyesema hayo mkuu.

Kuhusu Ngabu, hata kumtag siwezi labda alishani block who knows? Hata hivyo nimemuulizia sana sijapata jibu. Yeye yuko Atalanta ambapo hali ilikuwa mbaya huko na yeye ni mtu mzima. Tuendelee kumuombea pengine ni quarantine tu ya kawaida! Pamoja na kwamba sijui inawezekana vipi kwenye hii lockdown apotee? Sana sana ilitakiwa awe more available if anything.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa nchi yetu uchumi kwanza corona iwepo tu maana mpaka Sasa hamna mipango yoyote ya kuokoa uchumi hasa kipindi hichi Cha corona I thought juzi Mr. President angeongelea hatua gani ambazo wamejiandaa ili ku boost uchumi, hasa sector binafsi ambayo imepata madhara, utalii ambao ni chanzo Kikuu Cha mapato na feza za kigeni, maana hatuna lockdown Ila vitu na biashara nyingi zimepata madhara.

Pia serikali nayo hatua za kudhibiti guidelines ni Kama imepuuza guidelines za WHO Sasa huku nchi nyingine zikifanikiwa kudhibiti corona sisi si ndo tutapigwa stop kabisa Mana tutaonekana ni supplier wacorona, nafikiria serikali ifikirie future zaidi, maana serikali watenda maamuzi akili zimegoma wanawaza uchaguzi mkuu zaidi, kuliko hata kudhibiti hii corona.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo maana ni lazima wananchi wapewe haki ya kusikiliza mawazo mbadala!

Ni kweli kabisa hakuna mpango wowote as if hili janga litapotea kimuujiza!

Sidhani kama kuna mwananchi atakubalina na mawazo haya ya ccm na ukichanganya na usiri wao, kuna uwezekano ikifikia uchaguzi wakafanya makusudi kuzuia watu majumbani. Nimejiuliza sana nia ya mwenyekiti wao sijaijuwa.

Kuna uwezekano mkubwa kabisa kuwa mawazo tofauti na haya yakatusaidia kupunguza maambukizi, kuokoa maisha ya watanzania wenzetu na pia uchumi vile vile.

A do nothing policy won’t help. Haswa ukizingatia mwenyekiti wao kajificha chattle.
 
Watumie njia mubadala waandike proposal huko kwenye mashirika makubwa jinsi wanavokabiliana na corona, pia njia za ku boost uchumi, mbona Kuna nchi ka Msumbiji, Malawi zimefutiwa madeni na kupewa msaada wa kupambana na covid, Sasa sie tukijfanya donor country tutaumia

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna plan yoyote iliyoko mezani. Hata ile siku nadhani mwenyekiti wa chadema alitaka kuzungumza akazuliwa, na yeye ndo akaja akasema Chlorine haiuwi virusi wa corona, kwamba kujifukiza kunatosha. Halafu pia ile ethyl ethanol si pombe tu. Sasa watu wanafakamia K-Vant na konyagi na kunawa nazo kama sanitizers.

Sasa sijui hawaruhusiwi kuongea kwasababu gani? Wapinzani waje na mawazo mbadala hili gonjwa liko na sisi kwa muda na kwa style iliyopo na ccm ilivyo, tutamalizwa!

Nashangazwa sana na wale wafia chama wanaodai eti mbona huko kwengine wanakufa na hatua wamechukuwa? Kwa taarifa yao, kama hatua zozote zisingechukuliwa kama sisi, wangekufa malaki kama siyo mamilioni ya wananchi wao!

Hakuna mpango wowote ama mkakati wa jinsi tutakavyojikwamuwa na kuurudusha uchumi wetu kwenye hali ya kawaida ama nzuri.
 
Utaratibu wa ccm kutawala nchi yetu umekuwa ukigubikwa na usiri mwingi, uchakachuaji wa data, uongo, propaganda na magoli ya mikono! Vyote hivyo ni adui namba moja pale inapokuja kwenye corona virus 🦠

Hivyo ccm lazima ipoteze hata wakiwapa wanachama wao barakoa za bure badala ya kofia ama t-shirts.

Lakini kwa haya yanayoendelea, baadaye mtakuja kusema labda rais alifanya makusudi ili aendelee kutawala. Kwanza ikifika wakati wa uchaguzi hali inaweza kuwa mbaya zaidi na minamba ikawekwa kujustify uchaguzi kufutwa indefinitely. Pamoja na campaign. Pesa itasemekana zinaenda kwenye corona.

Hii corona bila shaka itaondoka na serikali nyingi sana, maana gonjwa limekuja karibia na uchaguzi mkuu hata Marekani Trump naye ka panic hivyo hivyo anasema watu wajipige sindano za bleach na pia wajianike juani watapona corona!🤦🏾‍♂️

Kiongozi wa ukweli anapimwa wakati wa mgogoro kama huu. Kabla hata ya corona, huu mwaka ulikuwa wa changamoto kubwa sana kwa ccm. Sasa corona imeingia, kama hakuna hatua madhubuti, ni bora wapinzani nao waanze kuja na mawazo mbadala ya namna tutakayokabiliana na corona, maana ni wazi litakuwepo kwa muda. Lakini kwa hali hii ya sasa, tutaenda kuuzika uchumi wetu!

Kwamfano hata hao watalii tunaowategemea, wakati huko kwao kukiwa sawa, unadhani serikali zao zita recommend raia wake waje nchini? Kwasababu hao watu wanakwenda na statistics, halafu pia wanafahamu yanayoendelea. Hata ufiche vipi kwanza now days kuna satellites mnaonekana uchi tu.

Mods tafadhali musiichinjie baharini hii ni angalizo tu kwa uchaguzi mkuu ujao. Wananchi wanahitaji wasikie alternative ideas. Tuuachie usambae ambayo ni mode ya “The fittest survive”, ama tuende na partial lockdowns huku tukiongeza uwezo wa kupima.

Siyo ajabu wananchi tukajazuiwa kupiga kura kama kina Pasco wamekuwa wakisema hakuna haja ya uchaguzi bali Maghufuli kisha amkabidhi Makonda.
Uko sahihi kiongozi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mm nadhani hili gonjwa litatumaliza unless no 1 abadili msimamo. Na msimamo haiwezi kubadilishwa. Nadhan kuna mahesabu (raman) yamepigwa mezani ndo yameleta haya tunayoyaona. Lkn mm nasema Mungu wetu hawezi kufumba macho na masikio kwa vilio vya mamilioni ya watu kwa faida ya kikundi.

Mara nyingi falme mbalimbali zilifutika uso wa dunia kwa mistake ndogo ambayo yalizaa kaburi lao.

Muda ni jaji mzuri utasema.
 
Hata bila Covid-19.....kwani wtz wanachaguaga ccm? Goli la mkono, Dolla, na wakurugenzi kuamriwa kutotangaza wapulinzani ndio sababu ya ushindi wanccm
Uchaguzi ukiwa huru na haki hawa mbwa kwa miakabmitano wamefanya kazi ya kuharibu uchumi wa nchi....

HAKUJA MKULIMA, MFANYAKAZI,MFANYABIASHARA AU MWANAFUNZI ANAYEWEZA KUICHAGUA CCM MAANA WOTE NI WAHANGA WA AWAMU HII CHAFU NA DOUBLE STANDARDS....
 
Hata bila Covid-19.....kwani wtz wanachaguaga ccm? Goli la mkono, Dolla, na wakurugenzi kuamriwa kutotangaza wapulinzani ndio sababu ya ushindi wanccm
Uchaguzi ukiwa huru na haki hawa mbwa kwa miakabmitano wamefanya kazi ya kuharibu uchumi wa nchi....

HAKUJA MKULIMA, MFANYAKAZI,MFANYABIASHARA AU MWANAFUNZI ANAYEWEZA KUICHAGUA CCM MAANA WOTE NI WAHANGA WA AWAMU HII CHAFU NA DOUBLE STANDARDS....
Wale waliokuwa hawaamini kuwa ccm ni waongo, wale waliobakia, wengine wanalalamika ndugu zao kuzikwa na huku taarifa ni watu kumi tu ccm wametoa.
 
Anguko la ccm litakuwa ni tukio muhimu sana kwenye kalenda yetu

Yaani litakuwa kama vlle Nchi yetu imepata uhuru kwa mara ya pili tukio muhimu pengine kuliko matukio yote yaliyopita

Wajukuu watakuwa wakihadithiwa lkwamba baada ya kuupata uhuru kutoka kwa mkoloni lilikuja genge ambalo liliiteka nchi yetu nyara

Genge hilo liliitwa ccm liliuza kila kitu na lilituingiza kwenye madeni yasiyolipika liliharibu uchumi na kuuwa watu kwa sumu na kwa risasi


Freedom is coming
 
Utaratibu wa ccm kutawala nchi yetu umekuwa ukigubikwa na usiri mwingi, uchakachuaji wa data, uongo uongo, propaganda, wasiojulikana na magoli ya mikono! Vyote hivyo ni adui namba moja pale inapokuja kwenye corona virus

Hivyo ccm lazima ipoteze hata wakiwapa wanachama wao barakoa za bure badala ya kofia, t-shirts ama pilau!

Lakini kwa haya yanayoendelea, baadaye mtakuja kusema labda rais alifanya makusudi ili aendelee kutawala. Kwanza ikifika wakati wa uchaguzi hali inaweza kuwa mbaya zaidi na minamba ikawekwa kujustify uchaguzi kufutwa indefinitely. Pamoja na campaign. Pesa itasemekana zinaenda kwenye corona. Kwasababu hata sasa namba zinatolewa kwa kauli kutoka juu!

Hii corona bila shaka itaondoka na serikali nyingi sana, maana gonjwa limekuja karibia na uchaguzi mkuu hata Marekani Trump naye ka panic hivyo hivyo anasema watu wajipige sindano za bleach na pia wajianike juani watapona corona!

Kiongozi wa ukweli anapimwa wakati wa mgogoro kama huu. Kabla hata ya corona, huu mwaka ulikuwa wa changamoto kubwa sana kwa ccm. Sasa corona imeingia, kama hakuna hatua madhubuti, ni bora wapinzani nao waanze kuja na mawazo mbadala ya namna tutakayokabiliana na corona, maana ni wazi litakuwepo kwa muda. Lakini kwa hali hii ya sasa, tutaenda kuuzika uchumi wetu!

Kwamfano hata hao watalii tunaowategemea, wakati huko kwao kukiwa sawa, unadhani serikali zao zita recommend raia wake waje nchini? Kwasababu hao watu wanakwenda na statistics, halafu pia wanafahamu yanayoendelea. Hata ufiche vipi kwanza now days kuna satellites mnaonekana wazi tu huko makaburini hata kama ni usiku wa manane kama wananchi wanavyodai.

Mods tafadhali musiichinjie baharini hii ni angalizo tu kwa uchaguzi mkuu ujao. Wananchi wanahitaji wasikie alternative ideas. Tuuachie usambae ambayo ni mode ya “The fittest survive”, ama tuende na partial lockdowns huku tukiongeza uwezo wa kupima.

Siyo ajabu wananchi tukajazuiwa kupiga kura kama kina Pasco wamekuwa wakisema hakuna haja ya uchaguzi bali Maghufuli kisha amkabidhi Makonda.
Subiri mavuvuzela wakujibu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wale waliokuwa hawaamini kuwa ccm ni waongo, wale waliobakia, wengine wanalalamika ndugu zao kuzikwa na huku taarifa ni watu kumi tu ccm wametoa.

Sema ndugu zako wamekufa wangapi na hawajatangazwa au wanaumwa na sio kila siku kuwasemea watu ambao hawajulikani walipo, na kama wapo acha waseme wenyewe kuwa ndugu zao wanakufa ila hawatangazwi, na sio wewe, maana huna ushahidi, na kama unao weka hapa tuuone.
 
Back
Top Bottom