Kwaresma na Pasaka Special Thread

Kwaresma na Pasaka Special Thread

Ndugu yangu walokole akili zao ni ngumu kuzielewa

Wanapinga sana kwaresma lakini wanasherekea pasaka ambayo mwanzo wake ni kwaresma na wakati huo wana sherekea pentecoste ambayo mwanzo wake ni kwaresma pia

Sisi tunaazimisha pasaka kama fumbo la mateso, kifo na kufufuka kwa BWANA wao wanaazimisha pasaka kama kufufuka kwa KRISTO pekee mateso ya YESU wao hawaoni nayo kama ni kitu cha kutukuza
 
Zambi hatufungi bali zambi tunaziacha kabisa

Huwezi kuwa mkristo unafunga zambi afu ikifika jion unazirudia unaanza kuvuta sigara na ugoro
 
Tukiwa bado tunaendelea na kipindi cha toba

Tukumbuke kuwa kesho ni ijumaa ya njia ya msalaba
 
Kesho st Joseph hakutakuwa na njia ya msalaba kwa sababu kutakuwa na msiba na Cardinal pem
 
Back
Top Bottom