Kwaresma na Pasaka Special Thread

Kwaresma na Pasaka Special Thread

Tuendelee kuyaombea mataifa yaliyopo kwenye vita kama Iran na Israel na America
 
Naendelea kuwaombea watumishi wa MUNGU

Mfanikiwe katika saum zenu
 
Ukristo hauwez kukamilika kama bado unaendelea kutenda dhambi

Lazima tufanye toba kwa nguvu zote na matendo yetu yaoneshe wazi kuwa tumeziacha dhambi na hatuzirudii
 
Back
Top Bottom