Kwao hawanitaki kisa mkurya.

Mmmhu we bhujibhuji hayo inayosema yanaweza kuwa sahihi, wasiwasi wangu ni hii kizazi ya div5 kama itaweza kuedit ushauri huo au kitauchukulia kama ulivyo na madada zetu wakaishia kumegwa na kuzalishwa tuuuu bila kuolewa.
 
Amang'ana,kama kweli umempenda fuata ushauri wa @maxishizo
 
Mkuu fuata ushauri wa Mwita Maranya na kisha ufanye kweli. Kila la heri kwenye ndoa yenu. Watakuja wenyewe pale watakapomuona binti ana furaha ndani ya ndoa yake na maisha yenu yanasonga mbele tena kwa raha zenu. Kila la heri Mkuu.

 
Last edited by a moderator:
Naona wakabila wamevamia hïi siredi. Ushauri wangu ni tia mimba, wenyewe watakufuata kuja kubembeleza japo wapewe hata mbuzi. Kwa hili huwaga napenda utaratibu wa zamani ambapo walikuwa wanakamata binti anafungiwa wiki nzima huki 'itelekha' aafu ndo wanakuja kutoa taarifa. Mtaona aibu wenyewe maana utamu ushaliwa wiki nzima.
 
Da napata wasi wasi hapo,mhehe hapendi kunyanyasika na kudharauliwa japo huwa wavumilivu na hujua kupenda au kupendwa,ila linapokuja suala la jambo limemtatiza mda mrf na uvumilivu mwingi'atapofikia kusema swela ela;hapo hakuna kuludi nyuma na pengine maamuzi ya mwisho huwa mabaya sana,na kwa upande wa hawa wenzetu wa mara mmh!sisemi mengi,nishayaona sasa hapo sasa?
 
Na nyie wakurya mmezidi bana badilikeni mkubalike
Hata kwenye maBar mnasumbua na fujo za kijinga
 


Ndugu yangu Molembe nadhani ungetafuta mkurya mwenzio tu uone na uachane na huyo mnyalukolo
 
Last edited by a moderator:
Hawa kina kamwene wa ajabu sana. Sisi wachaga tunawaolea sana dada dada zao ila kaka zao awaowi kabisa dada zetu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…