Kwanini Zitto nisikuite msaliti?


Zitto anatembea na Fuko la hela kuwa Nunuwa Makada mashuhuri wa Chadema. then ajiita Mzalendo.
 
Hivi dj mbowe alisoma chuo kikuu kipi? Naomba kujuzwa wadungu

Mada humu ni usaliti wa zito juu ya elimu na maisha ya watu hatujadili humu. Tunajadili kibaraka mmoja anayetumia tumbo kufikiri na kutumia kichwa kufugia nywele kulisaliti taifa la watu zaidi ya milion 45 kwa njaa zake.
 

thats post mind comrade, bakupa heko.
 
Msaliti zitto baada ys kula hela ya wakubwa aiue CHADEMA ikashindikana wakampiga mkwara kuwa maisha yako yako hati hati ndo akaamua kujiokoa kwa kuendeleza ambition ya wakubwa ili walau hawapunguzie hasira.. By the way kutupiliwa mbali kwa kesi yake mahakamani ndo ilikuwa hatua ya kwanza kuchukuliwa na Magamba, sa asipofanikiwa kupitia ACT sijui tena hatima yake
 

Attachments

  • 1428578637108.jpg
    67.4 KB · Views: 429

Naunga mkono hoja katika hicho kibandiko
 

hao kuhamia ACT ni kama kwenda kwa shangazi. dugu moja hao
 
Kwenye magezeti ya leo jamaa anasema anategemea kupata wabunge 50 kutoka CCM na CHADEMA.Hao wabunge wana hati miliki na majimbo yao,anatakiwa kusoma alama za nyakati.Kupata hao wajumbe hakumaanishi kwamba watarudi kuwa wabunge next time,itategemea na jinsi vyama husika vilivyojipanga.Na hata hao wabunge anaowatarajia nao wanasoma upepo kwanza.
 

Kama watanzania wataeleweshwa vizuri kazi ambayo mimi nimeianza leo, chama hiki hakitapata hata mbunge mmoja.
Kama zito unakubalika kisiasa kagombee ubunge chalinze au kagombee ilala tuone.
 
Nia yako uturudishe huku zito
 

Attachments

  • 1428581298545.jpg
    11 KB · Views: 450
Kama watanzania wataeleweshwa vizuri kazi ambayo mimi nimeianza leo, chama hiki hakitapata hata mbunge mmoja.
Kama zito unakubalika kisiasa kagombee ubunge chalinze au kagombee ilala tuone.

Mkuu punguza pressure,kama wewe huna imani na ACT wazalendo wapo wengi wenye iman nacho hiyo saccos yenu ya wachaga mpaka sasa ishabuma kwa sasa tumaini lipo ACT wazalendo na inaaminiwa na watanzania wengi
 
Mkuu punguza pressure,kama wewe huna imani na ACT wazalendo wapo wengi wenye iman nacho hiyo saccos yenu ya wachaga mpaka sasa ishabuma kwa sasa tumaini lipo ACT wazalendo na inaaminiwa na watanzania wengi

Huku morogoro vijijini ukimuuliza mtu ACT ni nini atakutumbulia mimacho tu. Hakijulikani ni kitu gani
 

wewe acha wehu huyo sultani wenu ni msaliti mkubwa na tapeli wa kisiasa hafai kabisa.
 
Mkuu punguza pressure,kama wewe huna imani na ACT wazalendo wapo wengi wenye iman nacho hiyo saccos yenu ya wachaga mpaka sasa ishabuma kwa sasa tumaini lipo ACT wazalendo na inaaminiwa na watanzania wengi

Hakuna watanzania wenye akiri wanaoweza kujiunga na genge lenu la wasaliti ACT labda kgm halafu huyo dogo ZZK anajiita mzalendo nawakati huku kgm amewagawa wanchi kidini sawa so ZZK ni mdini sana na dini yake ndo wanampigia chapuo sana baada ya kuwahonga.
 
Hakuna mtu atakyekujibu uhuo uharo wako, msaliti padre slaa aliyelelewa na ccm sa ivi na yeye anautaka URAHISI, au hujui hilo

Wewe punguza mahaba ZZK anamademu wengi so uwe mvumilivu mpaka itakapofika zamu yako.
 
hizo ni tabia za machagadema

Halafu na ninyi tabia yenu hii ya ubaguzi, Chadema mnaiita ya wachaga wakati mnajua kabisa mnawabunge kule. Ni bora mwaka wachaga waka delete chama chenu ili ijulikane moja kuwa ni chama cha wachaga.

Mbona kuna mikoa mingi tu chadema haina hata diwani na hiyo mikoa haiitwi kwa jina la chama chenu.... Tumbafu kabisa.
 
Tuache utani yani mtu anaanzisha chama akiwa ndani ya chama halafu tumwache hilo halitawezekana ndani ya CHADEMA .

Mkuu ema huoni kumfukuza ndio mbaya zaidi kuliko angeachwa tu akawa kama shibuda.
 
Niliwahi kusema miaka minne iliyopita, humu ndani ya JF, kuwa ipo sababu ya Zitto Zuberi Kabwe kuwa kibaraka wa CCM na TISS. Kipindi kile maongezi ya Zitto na TISS yalikuwa yamewekwa hadharani, kupitia gazeti la -----------.
Kama kawaida, wafuasi wake walijibu kwa matusi.
Mzazi wa Zitto (Mungu aiweke roho yake mahali pema peponi), alikuwa Mrundi pasipo na chembe yoyote ya mashaka.
Mjomba wake Zitto, mstaafu wa Umoja wa Mataifa, yupo Dar ni Mrundi asiyekana utaifa wake.
(Zitto anamjua mjomba wake huyo, maarufu kwa kazi yake ya zamani, Mwalimu)
Katika mazingira hayo, TISS kum-turn Zitto ili yasimpate yale yaliyowapata wenzake kama yeye (wanaishi kwa uraia wa karatasi), siyo jambo la ajabu.
Kazi aliyotumwa ilikuwa kudhoofisha CHADEMA. Bahati mbaya CHADEMA wakamgundua na kumtenga, na baadaye wakamfukuza.
Bahati nzuri kwake Zitto, mazingira ya siasa yakabadilika, baada ya Vyama kadhaa kuunda UKAWA.
Sasa analipwa na kulelewa kwa kazi moja tu, KUPAMBANA NA UKAWA.
Matamshi ya vijana wake, kama Mwigamba, yamethibitisha hilo.
Hivyo kwa Zitto, hii ni kazi ya kufa na kupona, maana UKAWA wakipata uongozi wa nchi, Zitto lazima aombe uraia Wizara ya Mambo ya Ndani.
Bahati nzuri kwake, ana chanzo cha pesa kisichokauka, hata kama Walimu hawalipwi, makandarasi mbalimbali wa Serikali hawalipwi, Shule hazina madawati, "Mzalendo" Zitto ataendelea kuonyesha uzalendo wake kwa kula kodi za walala hoi wa Tanzania, wenye uraia halali wa nchi yao!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…