Unajua lini mikakati yake ya usaliti ilianza? Unajua lini alianza kuchukiwa na chama chake na chanzo kilikuwa nini? Kwa mawazo yake na mikakati ya chama chake ingeingilianaje na chama chake cha zamani? Ni lini alikuwa na maono ya kujenga chama cha 'ujamaa'? Wewe! Watch out....we are serious for our nation and its liberation for the second time.
Tatizo la wanamapinduzi wa tanzania na tunaojiita wanamapinduzi wa kweli;usaliti kwetu ni mtu anapopishana mawazo na ww;hata kama alianza mipango zamani wakati ule na wakina prof mkumbo na mwigamba kwa ninachokijua mm;ambacho kipo wazi na kwangu mm bado ule c usaliti ni mawazo tu ambapo wangekaa kama chama na kuyamaliza.
Baada ya hapo ndo zito akaona kabisa kiama chake hakipo mbali;ndo akajipanga strategically kukabiliana na hali halisi na mpaka sasa maisha yanaendelea.
Sitetei usaliti ila usaliti wa zito kwangu mm hadi sasa naona ni simba na yanga;ni mawazo yangu lakini na sio lazima yawe sahihi