Tulimumu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 14,395
- 13,266
Mwache ajibu maswali yake. Si ndiyo raha ya ukubwa?Aisee jamani tumeshachoka sasa, zito mmefukuza kaondoka bado maneno hayaishi?
Hivi mfano umempa talaka mke wako alafu akaondoka ww uliyetoa talaka unalalamika tuu, mara oohh ulikuwa unanisaliti, maara oohh mwananmke gani wewe? sasa talaka umeshatoa na mtalaka kaondoka wewe bado unalalamika nini?
Nyie Chadema acheni upuuzi tumeshawachoka na kulialia kwenu haaa