kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Zitto ni mwepesi sana kutetea na kukosoa uvunjwaji wa Katiba. Ni mchambuzi wa siasa na hoja za maendeleo, Ni mchambuzi wa masuala ya uchumi.
Suala la akina mdee linagusa engo zote ambazo Zitto ni mbobezi Kama ifuatavyo;
Kwanza, linakosa usimamizi na utetezi wa kisiasa kwa sababu mfumo wa nchi umejengwa kwa wanasiasa kuwa wanachama wa vyama vya siasa kwa kuzingatia Katiba ya nchi, sheria za vyama vya siasa pamoja na Katiba za vyama vya siasa. Hawa wabunge 19 hawana chama Cha siasa kwa mujibu wa Katiba
Pili, Wapo bungeni kinyume kabisa na Katiba ya nchi kwa sababu hawakupitishwa na chama Cha siasa na hata baada yakuapishwa walivuliwa uanachama kwa mujibu wa sheria. Wamevunja Katiba ya nchi na katiba na taratibu za kibunge
Tatu, hawakupitishwa kihalali na tume ya uchaguzi kwa sababu tume upokea majina kutoka kwenye chama Cha siasa. Haikufanyika hivyo na tume haijawahi kutoa ushahidi wa wahusika kuteuliwa na chama Cha siasa
Nne, watu Hawa wanalipwa mishahara na posho hewa. Si wabunge lakini wanalipwa Kama wabunge. Hapa nilitegemea Zito ajadili kuhusu ubadhirifu wa Mali za umma lakini yupo kimya
Tano, Bunge limejiwekea utaratibu wa kuingiza watu bungeni wakianza na yule Mbunge wa Mtwara aliyefukuzwa Chadema akakosa sifa ya ubunge lakini akiwa zake nyumbani Spika akamwita na kumwambie aendelee kuwa Mbunge nakumlipa maslahi yote ya kibunge kinyume na sheria, hapa Zitto anasemaje
Kwa discripacy hizi najiuliza kwanini hii hoja siyo yamsingi kwa Zitto? Au anasubiri awasajili? Au atapiga kelele akitendewa wa chama chake?
Suala la akina mdee linagusa engo zote ambazo Zitto ni mbobezi Kama ifuatavyo;
Kwanza, linakosa usimamizi na utetezi wa kisiasa kwa sababu mfumo wa nchi umejengwa kwa wanasiasa kuwa wanachama wa vyama vya siasa kwa kuzingatia Katiba ya nchi, sheria za vyama vya siasa pamoja na Katiba za vyama vya siasa. Hawa wabunge 19 hawana chama Cha siasa kwa mujibu wa Katiba
Pili, Wapo bungeni kinyume kabisa na Katiba ya nchi kwa sababu hawakupitishwa na chama Cha siasa na hata baada yakuapishwa walivuliwa uanachama kwa mujibu wa sheria. Wamevunja Katiba ya nchi na katiba na taratibu za kibunge
Tatu, hawakupitishwa kihalali na tume ya uchaguzi kwa sababu tume upokea majina kutoka kwenye chama Cha siasa. Haikufanyika hivyo na tume haijawahi kutoa ushahidi wa wahusika kuteuliwa na chama Cha siasa
Nne, watu Hawa wanalipwa mishahara na posho hewa. Si wabunge lakini wanalipwa Kama wabunge. Hapa nilitegemea Zito ajadili kuhusu ubadhirifu wa Mali za umma lakini yupo kimya
Tano, Bunge limejiwekea utaratibu wa kuingiza watu bungeni wakianza na yule Mbunge wa Mtwara aliyefukuzwa Chadema akakosa sifa ya ubunge lakini akiwa zake nyumbani Spika akamwita na kumwambie aendelee kuwa Mbunge nakumlipa maslahi yote ya kibunge kinyume na sheria, hapa Zitto anasemaje
Kwa discripacy hizi najiuliza kwanini hii hoja siyo yamsingi kwa Zitto? Au anasubiri awasajili? Au atapiga kelele akitendewa wa chama chake?