Kwanini Yesu hakuwahi kuombea Mgonjwa?

Kwanini Yesu hakuwahi kuombea Mgonjwa?

MSEZA MKULU

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2011
Posts
3,820
Reaction score
5,822
Ukiangalia katika biblia hakuna tukio la Yesu amefumba macho anaomba eti mtu flani apone.

Mara nyingi alitamka tu neno katika mazungumzo yake sio maombi na kitu kikatokea.
Au akakemea tu hali ikakaa sawa.

Hii imekaaje na maombezi mengi ya kisasa?
 
Ukiangalia katika biblia hakuna tukio la Yesu amefumba macho anaomba eti mtu flani apone.

Mara nyingi alitamka tu neno katika mazungumzo yake sio maombi na kitu kikatokea.
Au akakemea tu hali ikakaa sawa.

Hii imekaaje na maombezi mengi ya kisasa?
Unashangaa kuombea wagonjwa!

Siku hizi mpaka utajili watu wanaombewa waupate

Na wanaenda mpaka kwenye kazi/ajira.

Uko kote ni mwendo wa maombi tu.

NB:
Ili uombewe lazima uende na pesa bure bure utapata huduma za kawaida sana.
 
Sema wewe huo ukweli, sio unaandika nusu nusu kama mjinga.
Kati ya yesu anayesema yeye ni mtu na wewe guluguja kutoka kazuramimba nani tumsikilize?
Screenshot_20260803-210138_Chrome.jpg
 
Ukiangalia katika biblia hakuna tukio la Yesu amefumba macho anaomba eti mtu flani apone.

Mara nyingi alitamka tu neno katika mazungumzo yake sio maombi na kitu kikatokea.
Au akakemea tu hali ikakaa sawa.

Hii imekaaje na maombezi mengi ya kisasa?
Amuombe Nani. Yeye ni Mungu aliyekuja kujionesha kibinadamu kuwa yupo ni wa kweli.
 
Kati ya yesu anayesema yeye ni mtu na wewe guluguja kutoka kazuramimba nani tumsikilize?
View attachment 3642683
Sijakosea kabisa kukuita wewe ni mjinga.
Hiyo mistari ya Yesu kusema Yeye ni binadamu/mwana wa binadamu inajulikana sana, na haitaji akili kubwa kujua alikuwa katika umbo la nyama. Lakini ukisoma mistari hiyo hiyo, huyo mtu anasema: 'Mimi na Baba tu mmoja' au 'Aliyeniona mimi amemwona Baba.

Yani kwa akili yako ndogo unaona suala la Mungu kuwa na mtoto ni logical sense? Uwe unasoma na kuelewa kwanza.
 
Sijakosea kabisa kukuita wewe ni mjinga.
Hiyo mistari ya Yesu kusema Yeye ni binadamu/mwana wa binadamu inajulikana sana, na haitaji akili kubwa kujua alikuwa katika umbo la nyama. Lakini ukisoma mistari hiyo hiyo, huyo mtu anasema: 'Mimi na Baba tu mmoja' au 'Aliyeniona mimi amemwona Baba.

Yani kwa akili yako ndogo unaona suala la Mungu kuwa na mtoto ni logical sense? Uwe unasoma na kuelewa kwanza.
We mpumbavu.

Kama yesu ni Mungu baada ya kufa zile siku tatu, je dunia na ulimwengu ulikosa mungu kwa siku tatu?
Screenshot_20260803-211319_Chrome.jpg


Halafu ebu niambue hapa Mungu ni nani na Yesu aliyeketi kulia kwa Mungu ni nani?Hivi nyie wagalatia mnajielewa kweli?

Au ndio mmerogwa mpaka ufahamu umetoka wote mmekua kama mazuzu?
 
na akina Seta¡ wako wapi leo... Lakini YESU YU HAI...
we mpumbavu kweli, thibitisha kama Yesu yuko hai! Yuko wapi huyo jamaa kama kweli yupo hai? Acha ulokole wa mkumbo fikirisha akili na uelewa wako. Kondoo wewe.
 
We mpumbavu.

Kama yesu ni Mungu baada ya kufa zile siku tatu, je dunia na ulimwengu ulikosa mungu kwa siku tatu?
View attachment 3642686

Halafu ebu niambue hapa Mungu ni nani na Yesu aliyeketi kulia kwa Mungu ni nani?Hivi nyie wagalatia mnajielewa kweli?

Au ndio mmerogwa mpaka ufahamu umetoka wote mmekua kama mazuzu?
Bado nitaendelea kukuita mjinga na usiye jua kusoma na kuelewa.

Ngoja nikueleweshe kidogo labda utaelewa kwa akili yako ndogo hiyo, iko hivi Mungu hafi, bali mwili wa kibinadamu aliovaa ndio uliokufa. Uungu wa Yesu haukufungwa ndani ya kaburi. Wakati ule mwili wa nyama ukiwa kaburini, roho yake na Uungu wake ulikuwa hai kabisa, soma 1 Petro 3 ili uelewe vizuri, na ukumbuke Mungu yuko kila mahali .

Ulimwengu haukuwahi kukosa Mungu hata kwa dakika moja kwa sababu Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu ni Mungu mmoja katika nafsi tatu. Mwil ndio ulikufa, Uungu ukabaki kazini kama kawaida, jifunze kuyaelewa maandiko kwanza, maana haujui lolote.
 
Yeye ndiye neno, ulitazamia amuombe nani sasa? Ila tulia nikwambie, HUYO YESU KWELI ALIKUWEPO ILA ALIKUWA ANAIHUSU JAMII YA KIYAHUDI KAMA SISI WASUKUMA NA MWANAMALUNDI WETU,PUNGUZENI KUJIPENDEKEZA. PENDENI JAMII YENU. soma vizuri maandika
aliwanenea wakapona na wafu wakafufuka soma biblia vizuri
 
Halafu ebu niambue hapa Mungu ni nani na Yesu aliyeketi kulia kwa Mungu ni nani?Hivi nyie wagalatia mnajielewa kweli?
Kijana unatafsiri Biblia kama unasoma hadithi za Alfu Lela Ulela!

Kwenye lugha ya kitheolojia na kiutamaduni wa Mashariki ya Kati, kuketi mkono wa kuume maana yake ni kuwa na mamlaka sawa, nguvu sawa, na utukufu mmoja.

Tafuta mtumishi yoyote mtaani kwako akueleweshe kuhusu hili, ili utoe ujinga kichwani kwako.
 
Back
Top Bottom