Kwanini wazazi huwa na upendeleo kwa baadhi ya watoto na wengine hubaguliwa?

chamaclotus

JF-Expert Member
Apr 19, 2019
971
1,969
Kwema WanaJF,

Huwa najiuliza kwa nini inatokeaga hivi, mfano kwenye familia yetu hii ipo sana kuna watoto pendwa hawawezi lala njaa hata kama hawana hela wanapewa na ni watu wazima na familia zao ila kwa wengine hata ukiomba elfu tano tu hupewi, unashinda njaa daily, mwenzio anaweza pewa mpaka laki tano akitaka.

Najiuliza jinsi ya kukabiliana na haya Ni njia ipi itumike.
 
Kama umeshakuwa mtu mzima pambana tu na maisha yako, wazazi wengine hulogwa na watoto wao ili wapoteze upendo kwa wengine.

Achana na wachawi
Kwema WanaJF,

Huwa najiuliza kwa nini inatokeaga hivi, mfano kwenye familia yetu hii ipo Sana Kuna watoto pendwa hawawezi lala njaa hata kama hawana hela wanapewa na ni watu wazima na familia zao ila kwa wengine hata ukiomba elfu tano tu hupewi, unashinda njaa daily, mwenzio anaweza pewa mpaka laki tano akitaka.

Najiuliza jinsi ya kukabiliana na haya Ni njia ipi itumike.
 
Yes, hujafanya lolote na hupendwi tu na mzazi yeyote .

Mf. Mimi baba ndio alikuwa anapretend kunipenda maana yeye anapenda ndugu zake sana kushinda sisi,mama hafichi ni ndugu zake na dada zangu wawili na kaka yangu mmoja .

Hata umpe moyo Wala hakuoni ishi maisha Yako Tena wewe wasikutawale usiwaonyeshe fanya mambo Yako ya msingi .

Pretend kama wanavyopretend ila usiwe mstari wa mbele kuonekana unajua
 
Yes, hujafanya lolote na hupendwi tu na mzazi yeyote .

Mf. Mimi baba ndio alikuwa anapretend kunipenda maana yeye anapenda ndugu zake sana kushinda sisi,mama hafichi ni ndugu zake na dada zangu wawili na kaka yangu mmoja .

Hata umpe moyo Wala hakuoni ishi maisha Yako Tena wewe wasikutawale usiwaonyeshe fanya mambo Yako ya msingi .

Pretend kama wanavyopretend ila usiwe mstari wa mbele kuonekana unajua
Sawa kabisa
 
Usipende kulalamika sana mkuu. Kama wazazi wamekutunza na kukupa mahitaji yote muhimu mpaka umekuwa mtu mzima basi washukuru sana.

Na usipende kuchunguza sana kuhusu wamefanya nini Kwa ndugu zako wengine, hiyo tabia itajenga chuki na uadui kwenye familia.

Pambania kombe lako.
Sijalalamika mkuu ila hii situation sometimes sio poa
 
Ni kawaida tu, mimi mwenyewe katika wazazi wangu mmoja sina time nae na hata familia nzima inajua
 
Chunguza makuzi yako tu,kwenye familia yetu ndugu zangu wanasema mimi napendelewa.ila ukweli ni kuwa toka niko mdogo sikuwa na mambo mengi,hadi leo Bmkubwa anasema katika watoto wangu huyu jamaa hakuwahi kunisumbua kabisa ukizingatia shuleni pia sikuwa vibaya.Mpaka nimekuwa mtu mzima nakumbuka wakati nafanya kaujenzi kangu nikaona Bmkubwa ananitumia ongezea nguvu mwanangu.
 
Chunguza makuzi yako tu,kwenye familia yetu ndugu zangu wanasema mimi napendelewa.ila ukweli ni kuwa toka niko mdogo sikuwa na mambo mengi,hadi leo Bmkubwa anasema katika watoto wangu huyu jamaa hakuwahi kunisumbua kabisa ukizingatia shuleni pia sikuwa vibaya.Mpaka nimekuwa mtu mzima nakumbuka wakati nafanya kaujenzi kangu nikaona Bmkubwa ananitumia ongezea nguvu mwanangu.
Ahah unaweza kuwa mpole na hupendwi tu.
 
Kwa nini mkuu?
Binadamu hana uwezo wa kupenda kwa moyo moja watu zaidi ya wawili hiyo ni nature tu. Hata ukioa wake wanne, mmoja ndio unayempeda zaidi. Hata mademu wakiwa na wanaume hata 10, aliyepo moyoni mwake ni mmoja tu. Hiyo ni nature tumeumbwa hivyo binadamu.
 
Mama yangu anapenda watoto wanne zaidi
Bibi alipenda wajukuu wa kiume,tukienda sie hana habari anaona kawaida tu hata kama hajatuona siku nyingi ila akisikia wanakuja wajukuu wa kiume weee zitachinjwa kuku,Litapikwa pilau,juis weee utasikiia akiwahug hao
 
Back
Top Bottom