Naomba niwafahamishe naona watu wanakurupukia Kuran na kutoa contradictions kwa wanasayansi hizo sio contradictions ni Contradistinctions. Ni mada ndefu lakini nitawaelimisha na wale wenye elimu watkubalina na hili. kauli zile zote ziko sawa kwa ufupi(1) imekuja kugundulika hivi kalibuli kwamba components zote zilizopo ndani ya mwili wa binadamu zinapatikana kwenye soils which concludes binadamu alitokana na udongo/Vumbi arabic word used in the same. (2) Imekuja kugundulika kuwa ndani ya cell ya binadamu kuna cytoplsam ambayo 70% made of water without it no life (3) binadamu kaumbwa kutokana na tone la damu hii sieelezi zaidi kwani wataalamu wote wa cells wamekubalina nalo (4) binadamu katoka kusikojulina ni arabic context haimaniishi hivyo ila ni tatizo la translations nitafute nikuelimishe...
Mkuu unatufanya kama watoto. Mimi naamini Mungu aliumba binadam katika hali ya miujiza, habari ya kusema eti alichukua damu, akachukua maji, akachukua sperm ni utata mtupu. Hiyo damu aliitoa wapi?, hiyo sperm aliitoa wapi?. Hizi ni evidence kuwa QURAN ni man made, yaani makanjanja waliona kuwa mtu ana mabonge ya damu wakasema Mungu kaumba kwa mambonge ya damu, wakaona mtu anatoka jasho, wakasema kaumbwa kwa maji, wakaona mtu anamwaga sperm, wakasema Mtu kaubwa kwa sperm. Wangeendelea wangesema kaumbwa kwa utumbo.
Hizo ni contradiction za Quran, ziko nyingi tu, ninazo nyingi sana, hizi ni baadhi tu
Hii nyingine inaonesha Miungu wako wengi, yaani Mungu si mmoja
How many gods are there?
Mungu mmoja
Such is Allah, your Lord. There is no God save Him, the Creator of all things, so worship Him. And He taketh care of all things.
Qur'an 40:62
Wengi-Ona pekundu hapo-inaonesha miungu inayoumba ni mingi
Then fashioned We the drop a clot, then fashioned We the clot a little lump, then fashioned We the little lump bones, then clothed the bones with flesh, and then produced it as another creation. So blessed be Allah,
the Best of creators!
Qur'an 23:14
Wengi
One day shall We gather them all together. Then shall We say to those who joined
gods (with Us): "To your place! ye and those ye joined as 'partners'" We shall separate them, and their
Partners shall say: "It was not us that ye worshipped!"
Qur'an 10:28-29
Wengi
More than 1 (note plural WE)
And We sent not (as Our messengers) before thee other than men, whom We inspired. Ask the followers of the Reminder if ye know not?
Qur'an 21:7