Gambamala
JF-Expert Member
- May 13, 2014
- 1,045
- 766
- Thread starter
- #161
Mungu haabudiwi kwa miujiza, mjumbe wa Mungu pia hapimwi kwa miujiza ndugu, Muujiza mkubwa kuliko yote ni undisputed scripture revealed to al-ummiyyiina(mjumbe asiye jua kusoma wala kuandika) Al-qur'an.Huwezi tenganisha Modern Science na Qur'an kwa namna yeyote ile iwayo,huwezi kuta Contradictions wala improbabilities ndani ya kitabu alichokuja nacho al-ummiyyiiina.
Amini usiamini utukufu wa mjumbe si miujiza, hapajapotokea kushuka kwa mwezi na kupasuka katikati na kuandika jina mtu isipokuwa kwa mtume Muhammad(SAW),je muujiza huu wafikirika???
Yesu alifanya miujiza mingi tena mikubwa kama ilivyoada kwa wajumbe wengine wa Mwenyezimungu(SW) i.e Mussa, Ibrahim, Nuuh, Daud, Suleiman, Ismail na imebainishwa wazi kwenye Qur'an.
Soma kitabu hiki ukipata muda mkuu, THE BIBLE, THE QUR'AN and Science by Dr Maurice Bucaille.
Mkuu Yesu kaja kabla ya Mohammad, Pia Yesu alikuwa anajua kusoma bila kwenda darasani (Luka 4:16-22). Unajua hilo?. Muujiza mkubwa ni kuzaliwa na mzazi mmoja. Yaani mwanadamu ana chromosome 46, 23 kutoka kwa baba na 23 kutoka kwa mama, lakini Yesu hajulikani alikuwa na ngapi. Muujiza mwingine mkubwa pia ni kufufua wafu. Jesus is above all (Sura 3:55), hata quran inakubali kuwa yeye ni masihi na atakuja kuhukumu siku ya mwisho. Lakini Mohamed bado hajui hatma yake hapa anasema "Ingawa mimi ni mtume wa Mungu lakini sijui hatma yangu" 'The Prophet said, '''By Allah, though I am the Apostle of Allah, yet I do not know what Allah will do to me''' (Hadith 5: 266)