wanawake na watoto wanakufaga sababu ni kawaida ya vikundi kama hezbulla na hamas kurusha rockets kutokea maeneo ya raia mfano vyuoni.,wanafanya hivi ili ku attract pitty from international community..je
lengo la hezbulla lilitimia manake wao waliteka
wanajeshi wa 5 kwa nia Israel iwaachilie
wafungwa wakilebanoni?
Kitendo cha Yesu kuuawa ilikuwa ni ishara ya Upendo kwetu kutoka kwa Mungu ingawa sisi ni watenda dhambi. Wakati ule kwa dhambi zetu Mungu alitakiwa achome moto wanadamu watenda dhambi kama ilivyokuwa kwa Sodoma na Gomala, Pia gharika kuu. Lakini badala ya kuwaadhibu wanadamu akahamua Yesu abebe mzigo huo, ateswe kwa ajili yetu, kwa hiyo Yesu alikufa kwa ajili yetu vinginevyo tungeadhibiwa sisi.
Pia kitendo cha Yesu kufa na Kufufuka ilikuwa ni ishara tosha kuwa ulimwengu umekombolewa, watu wakaamini sana mafundisho yake mpaka hapo baadhi walipouawa kwa upanga ili waachane na mafundisho ya Yesu kama kutopiga wanawake mawe nk.
Lakini ufufuko wa Yesu uko hadi kwenye Quran>> Sura 19:33: Yesu anasema "Amani iwe nami siku ya kuzaliwa kwangu, kufa kwangu na pale ambapo nitakapofufuliwa na kuwa mzima. AU
And peace is on me [Jesus] the day I was born and the day I will die and the day I am raised alive.
MUNGU aliweka mwenyewe adhabu hiyo ya kuteketeza wanadamu wote kwani ilikua lazima atolewe yesu asulubiwe ili hiyo adnabu isiwepo aiomdoe TUJIULIZE hivi katika maandiko mengi ya kiroho afrika haipo inamaana wakati wa nuhu kulikua hamna wa Afrika enzi za sodoma na gomora afrika ilikua wapi?au kulikua hamna waafika tumeletewa tu hizi dini babu zetu walikua waabudu nini?mbona wahindi wanaabudu wanyama wachina nao wazungu walituhalibu sana kifikra walipoamua kututawala hivi kuna myahudi mlokole.
MUNGU aliweka mwenyewe adhabu hiyo ya kuteketeza wanadamu wote kwani ilikua lazima atolewe yesu asulubiwe ili hiyo adnabu isiwepo aiomdoe TUJIULIZE hivi katika maandiko mengi ya kiroho afrika haipo inamaana wakati wa nuhu kulikua hamna wa Afrika enzi za sodoma na gomora afrika ilikua wapi?au kulikua hamna waafika tumeletewa tu hizi dini babu zetu walikua waabudu nini?mbona wahindi wanaabudu wanyama wachina nao wazungu walituhalibu sana kifikra walipoamua kututawala hivi kuna myahudi mlokole.
hizo huwaga ni story tu,huo ukombozi wa kuua mtu ili watu wapate ukombozi ni ukombozi wa aina gani huu?.
Afterall nani sasa kakombolewa hapo ikiwa tena ukitaka ukombolewe sharti uache kufanya dhambi.
Sasa faida ya kumuua yesu iko wapi hapa,kama lazima utubu na uende kusari kila weekend?
lakini hakuna mtu aliomba life after death.FAida ni hii,kiimani adhabu ilikuwa ni kufa milele lakini baada ya kifo cha Yesu kumekuwa name tumaini lijulikanalo kama Life after death!
Isingekuwa Yesu kufa,Kusingekuwa na tumaini la life after death
Hawana ubinafsi. Wanalinda maslahi ya nchi yao na watu wao. Na wanaweza kujitosheleza kwa kila kitu technologically,military and economically
Bila kuwa na IQ kubwa utagundua? Hapa naangalia uchache wao duniani lakini wameweza kuonekana katika ugunduzi soma link hii Jewish Inventors
Jibu ni Simple. Hawa jamaa wamejaliwa akili, wako smart. Popote wanakokwenda huwa wakifanya jambo wanafanikiwa. Hivyo kwa mafanikio yao wanaonewa wivu. Hata kisa cha Hitler kuwaua ni baada ya kuona wanakuja juu. Ni wivu tu
Mkuu unatufanya kama watoto. Mimi naamini Mungu aliumba binadam katika hali ya miujiza, habari ya kusema eti alichukua damu, akachukua maji, akachukua sperm ni utata mtupu. Hiyo damu aliitoa wapi?, hiyo sperm aliitoa wapi?. Hizi ni evidence kuwa QURAN ni man made, yaani makanjanja waliona kuwa mtu ana mabonge ya damu wakasema Mungu kaumba kwa mambonge ya damu, wakaona mtu anatoka jasho, wakasema kaumbwa kwa maji, wakaona mtu anamwaga sperm, wakasema Mtu kaubwa kwa sperm. Wangeendelea wangesema kaumbwa kwa utumbo.
Hizo ni contradiction za Quran, ziko nyingi tu, ninazo nyingi sana, hizi ni baadhi tu
Hii nyingine inaonesha Miungu wako wengi, yaani Mungu si mmoja
How many gods are there?
Mungu mmoja
Such is Allah, your Lord. There is no God save Him, the Creator of all things, so worship Him. And He taketh care of all things.
Qur'an 40:62
Wengi-Ona pekundu hapo-inaonesha miungu inayoumba ni mingi
Then fashioned We the drop a clot, then fashioned We the clot a little lump, then fashioned We the little lump bones, then clothed the bones with flesh, and then produced it as another creation. So blessed be Allah, the Best of creators!
Qur'an 23:14
Wengi
One day shall We gather them all together. Then shall We say to those who joined gods (with Us): "To your place! ye and those ye joined as 'partners'" We shall separate them, and their Partners shall say: "It was not us that ye worshipped!"
Qur'an 10:28-29
Wengi
More than 1 (note plural WE)
And We sent not (as Our messengers) before thee other than men, whom We inspired. Ask the followers of the Reminder if ye know not?
Qur'an 21:7
Yaani unatest grammar ya kurani!!, Do you know that Kuran is text book of Grammer? ask arabs wapo wakristo huko misri na sehemu nyingine watakushangaa sana kwani hiyo lugha ya kiarabu grammer yake imetoka kwenye Kuran,language iliyotumika ni tofauti je unalijua hili.unajalibu kupima urefu kutumia futi na kulinganisha iwe sawa na centimeters ni kitabu pekee kilichojinadi litafutwe kosa kama litaonenekana hizo zako ni repetions sitokujibu kwani nimeshakuelewa lakini hakuna hoja hapo. uliza kistaarabu nikufahamishe
Yaani unatest grammar ya kurani!!, Do you know that Kuran is text book of Grammer? ask arabs wapo wakristo huko misri na sehemu nyingine watakushangaa sana kwani hiyo lugha ya kiarabu grammer yake imetoka kwenye Kuran,language iliyotumika ni tofauti je unalijua hili.unajalibu kupima urefu kutumia futi na kulinganisha iwe sawa na centimeters ni kitabu pekee kilichojinadi litafutwe kosa kama litaonenekana hizo zako ni repetions sitokujibu kwani nimeshakuelewa lakini hakuna hoja hapo. uliza kistaarabu nikufahamishe
Wadau nimeona niulize swali hili,
Kihistoria wayahudi wamekuwa wakichukiwa na jamii mbalimbali duniani.
Jana tu Museum yao imeshambuliwa huko Ubelgiji.
Wayahudi wamekuwa wakipokea vitisho katika nchi nyingi duniani, waliuawa kama mbu huko ujerumani, pia kuna pozi spesho kwa ajili ya kuwabagua (anti Semitic gesture).
Baada ya kuona wanabaguliwa, Marekani waliapa kuwalinda popote walipo duniani.
Kwanini wanachukiwa kiasi hicho?
Wayahudi wanaonekana "kuchukiwa" kwa sababu wanajua propaganda. Wamekuwa wakipaza sauti kulalamika kuwa wanateswa na kuchukulia Holocaust kama poster child ya mateso yao. Anti semitism propaganda imekuwa perpetrated duniani na wao ili kila anayetaka kusema kitu ambacho wao wanaona si sawa ajulikane kuwa anawachukia (anti semitic).
Kuwa wao ni taifa teule la Mungu is just another bullshit that has been perpetrated by Jews themselves and Christianity. Hili suala la kuwa wao ni smart kuliko wengine kama wachangiaji wengine walivyoandika ni ujinga mwingine tulionao kuamini kuwa intelligence has something to do with ethnicity.
Marekani kuwalinda ni kwa sababu ya ushawishi mkubwa wa kiyahudi (Jewish lobby) uliopo huko US unaotokana na Jews kushikilia sekta muhimu za kiuchumi pamoja na Media hivyo wanakuwa na uwezo mkubwa wa kuhakikisha kuwa interests zao zinalindwa. Vile vile madhehebu ya Walokole (Evangelicals) wa huko US wamekuwa wakiwatetea kupitia dini kama nilivyosema hapo juu.
Kila jamii hapa duniani imeshawahi kuwa persecuted wakati mmoja au mwingine. Mifano michache ni Waafrika na slavery, Mauaji ya Waarmenia yaliyofanywa na Waturuki, Wakurdi huko Iraq na Turkey, Wachina walipotawaliwa na Wajapan, Ethnic cleansing huko Bosnia etc lakini hatujasikia watu hao wakilalamika mpaka leo kuwa waonewe huruma na dunia, shit happens but life should go on. Wao kila siku ni kulialia tu kana kwamba hakuna watu wengine waliowahi kuteswa.
Cha ajabu ni kuwa pamoja na kulialia kuwa wanaonewa tazama wanachowatendea Wapalestina, halafu unategemea nani atakupenda?
Hivi Wapalestina walikuwa wakiishi wapi miaka ya 100?
Una maana gani unaposema miaka ya 100?