Kwanini Wayahudi wanachukiwa na jamii nyingi duniani?

Kwanini Wayahudi wanachukiwa na jamii nyingi duniani?

Mimi sifurahii kuona Wapalestina wananyanyaswa maana nao ni binadamu. Labda tujiulize Wayaudi kwao ni wapi kama hata Israel wanaonekana wavamizi. Nadhani wanatakiw wagawane ile nchi kwa usawa na kila mtu aridhike na kwake. Tatizo hatujui nini kilitokea wakati walipoondoka huko Israel na kuanza kuzagaa ovyo kwingine.

Kuhusu kuwa intelligence iko wazi ukilinganisha na idadi yao mfano hapa

Jews farmous scientists

Albert Einstein -- One of the most famous and influential scientists since Isaac Newton
Carl Sagan -- astronomer and popular science author; made book and TV series 'Cosmos'
Niels Bohr -- Nobel prize-winning Physicist: atomic structure
Roald Hoffmann -- Nobel prize winner in Chemistry: field of electronic structures
Fritz Haber -- winner of the Nobel Prize of Chemistry in 1918, for the synthesis of ammonia from its elements
Edward Teller -- Physicist, father of the hydrogen bomb
Leo Szilard -- Physicist, proved the possibility of a nuclear chain reaction in 1933.
Jonas Salk -- Developed the first polio vaccine. Scientists and inventors who are not Jews

None Jews

Galileo Galilei - Telescope, Kinematics, Astronomy
Isaac Newton - Calculus, Prism, laws of motion, gravity
Leonardo Da Vinci - Anatomy, Optics
Guglielmo Marconi - Telegraphy, Radio
Michael Faraday - Electromagnetism, Faraday effect
Daniel Benoulli - Thermodynamics, Bernoulli's principle
Alfred Nobel - Dynamite
Alexander Graham Bell - Telephone
Archimedes - Archimedes Principle
Aristotle - Hexis, syllogism
Carl Bosch - Chemical high pressure methods
Henry Ford - Assembly line technique

Hapo nakubaliana na wewe Mkuu. Wayahudi wana haki ya kuishi katika eneo hilo kama ambavyo Wapalestina walivyo na haki. Tatizo ni pale wanapotaka kuwafurusha wenzao kana kwamba hawana haki ya kuwa hapo. Kama imeshindikana kuishi pamoja basi nchi igawanywe kila mtu akae sehemu yake.
 
Naunga mkono hoja, Hawa watu sio watu wa kawaida na huo ukweli watu wachache kama marehem Hugo aliyekuwa rais wa Venezuela amekufa wakiwa na siri nyingi saana kwa mfano.. Bush alipo maliza kuutubia akaenda yeye kisha akasema, Nasikia harufu ya Shetani.


Kwan chaves n muyahudi??
 
kuna nchi nyingine jirani na israel wanaongea lugha ya kihebrew?.

Kama hakuna jua israel imechomekwa hapo ,haikupaswa iwepo hapo

bahati nzuri biblia za kwanza zilitokea maeneo hayo hayo..Israel, syria, lebanon n.k..ebu kachunguze zilikua zinatumia lugha gani..ndio lugha ya asili ya watu wa maeneo hayo..na bado wapo ingawa wachache...kuna watu wanaongea old aramaic languages including hebrew sio israel tu mpaka iran
 
Ushahidi ni kuwa Wapalestina wamekuwa wakiishi hapo tangu kabla ya Kristo (1150 BC to be exact). Nimeshakutajia ilikuwa inaitwa Palestine sasa sijui unataka jina gani. Mahali ilipo leo ndio hapo hapo ilipokuwa kipindi hicho.

Nikikuambia wewe huyo unaejua sio mama yako na alikuiba hospital halafu huko unakodhani ni kwenu sio kweli kuwa ni kwenu na kwenu ni Congo na nikakuambia uliishihuko kwa miaka minne ya mwanzo utakubali?

Kama hautakubali kwanini?
 
Hao ni wavamizi tu wa kiarabu..(wamevamia nchi nyingi sio israel tu)..asili yao pande za SAUDIA...palestina hawana hata lugha yao ya asili...wanaongea kiarabu...ila wao ndo wanalalamika wamevamiwa...
beefinjector hebu njoo hapa uniambie kama na huyu unamuamini maana nae ameleta maneno tu kama yako!
 
Last edited by a moderator:
Nobel Prizes: Since 1950, 29% of the awards have gone to Ashkenazim,even though they represent only a small fraction of humanity. Ashkenaziachievement in this arena is 117 times greater than their population. This pace isn’t slowing down; it is accelerating. In the 21[SUP]st[/SUP]century, they’ve received 32% of the total, and in 2011, five of the thirteenNobel Prize winners were Jewish – 38.5%.
Hungary in the 1930s: Ashkenazim were 6% of the population, but theycomprised 55.7% of physicians, 49.2% of attorneys, 30.4% of engineers, and59.4% of bank officers; plus, they owned 49.4% of the metallurgy industry,41.6% of machine manufacturing, 72.8% of clothing manufacturing, and, ashousing owners, they received 45.1% of Budapest rental income. Jews weresimilarly successful in nearby nations, like Poland and Germany.
“Significant Figures”: In “Jewish Genius” by Charles Murray, theauthor tallies up important contributing individuals in a variety of vocations,noting how immensely over-represented Jews are compared to what could beexpected due to their small population. His conclusion in variouscategories is: Biology – “significant” Jews appear 5 times greater their population,Chemistry 6X, Physics 9X, Literature 4X, Music 5X, Visual Arts 5X, Math 12X,Philosophy 14X.2
USA (today): Ashkenazi Jews comprise 2.2% of the USA population, butthey represent 30% of faculty at elite colleges, 21% of Ivy League students,and 25% of the Turing Award winners. Plus, “Jews have made up 50% of the toptwo hundred intellectuals… 40% of partners in the leading law firms in New Yorkand Washington… 59% of the directors, writers, and producers of the fiftytop-grossing motion pictures…”
Israel: In 1922 this swamp-and-desert land had an impoverishedpopulation of 752,000 inhabitants. Today there are 7,746,000 residents, with alarge Ashkenazi population (3 million, and 60% of the workforce) that haselevated it into a high-tech entrepreneurial nation with the highest per capitaincome in the region. Israel rates 1[SUP]st[/SUP]in the world ingraduate degrees, 1[SUP]st[/SUP] in museums, 1[SUP]st[/SUP] in home computers,and 1[SUP]st[/SUP] in publishing scientific papers.
 

Attachments

  • Ashekazi Jews.jpg
    Ashekazi Jews.jpg
    28.1 KB · Views: 64
Mtu wenye matunda mazuri hupigwa mawe..TAIFA TEULE LA MUNGU.
 
Wayahudi si watu wazuri,ni wakatiri,dharau,kebehi kujiona wao ndo bora,wezi,majigambo,etc.
Hawa jamaa hata mungu wao walimsumbuaga sana wakati anawatoa misri utumwani kwenda nchi ya caanan.

Kwani Mungu wao na wako ni tofauti ama hebu niweke wazi mkuu
 
wale wamebarikiwa kuliko taifa lolote na imeandikwa kwenye biblia atakayewalaani atalaaniwa...! na atakayewabariki atabarikiwa ndo mana mmarekani amewakumbatia sana....! halafu hata mtoto mmoja kwenye familia moja anapopendwa sana na Baba yake lazima wengine wachukie...!
 
Nikikuambia wewe huyo unaejua sio mama yako na alikuiba hospital halafu huko unakodhani ni kwenu sio kweli kuwa ni kwenu na kwenu ni Congo na nikakuambia uliishihuko kwa miaka minne ya mwanzo utakubali?

Kama hautakubali kwanini?

Ukinipa ushahidi kwa nini nisikubali. By the way sijaona argument yako inahusiana nini na tunachojadili hapa.
 
Ukinipa ushahidi kwa nini nisikubali. By the way sijaona argument yako inahusiana nini na tunachojadili hapa.

Mnafurahisha sana nyie watu

Unashindwa kuona uhusianao wa nilichosema na mada kwasababu wewe mwenyewe hujui unajadili nini na unajibu nini

Tazama hapo ilipo bold halafu uone nilichokudai na kile ulichonijibu baada ya mimi kukudai nilichokudai kisha ujijibu wewe mwenyewe!
 
Soma vizuri alichoandika, anachosema ni tofauti na mimi.

Suala sio ulichoandika wewe ndugu yangu ni kile alichokisema na nilichokisema mimi

Unashindwaje kuunganisha dots na kupata majibu?
 
Mnafurahisha sana nyie watu

Unashindwa kuona uhusianao wa nilichosema na mada kwasababu wewe mwenyewe hujui unajadili nini na unajibu nini

Tazama hapo ilipo bold halafu uone nilichokudai na kile ulichonijibu baada ya mimi kukudai nilichokudai kisha ujijibu wewe mwenyewe!


Mkuu narudia, sijaona uhusiano wa mfano huo ulioutoa na wayahudi kuchukiwa.
 
Suala sio ulichoandika wewe ndugu yangu ni kile alichokisema na nilichokisema mimi

Unashindwaje kuunganisha dots na kupata majibu?

Kama unasema kuwa alichosema yeye ni mimi ni maneno tu, I have no problem with that, its your opinion.
 
Back
Top Bottom