TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,534
Habari wadau..!!
Wiki hizi mbili tatu nimekuwa busy sana na kuzunguka kwenye hizi taasisi za kiserikali.
Katika mizunguko yangu nimejifunza kwamba hawa watumishi wa halmashauri ni viburi,nyodo nyingi tofauti kabisa na wale watumishi wa ofisi za wizara.
Kibaya zaidi unaenda ofisi za halmashauri unakikuta kidada kiba sura mbaya lakini kina nyodo kibajifanya kijuaji wakati hakijui hata mtu anayemuongelesha ni nani.
Ila ukifika wizarani kuna heshima ya hali ya juu kwa watumishi wake,sio siri kuna tatizo la kimfumo kwenye hzi halmashauri zetu ziangaliwe upya.
Wiki hizi mbili tatu nimekuwa busy sana na kuzunguka kwenye hizi taasisi za kiserikali.
Katika mizunguko yangu nimejifunza kwamba hawa watumishi wa halmashauri ni viburi,nyodo nyingi tofauti kabisa na wale watumishi wa ofisi za wizara.
Kibaya zaidi unaenda ofisi za halmashauri unakikuta kidada kiba sura mbaya lakini kina nyodo kibajifanya kijuaji wakati hakijui hata mtu anayemuongelesha ni nani.
Ila ukifika wizarani kuna heshima ya hali ya juu kwa watumishi wake,sio siri kuna tatizo la kimfumo kwenye hzi halmashauri zetu ziangaliwe upya.