Kwisimla
Senior Member
- Apr 15, 2011
- 190
- 89
!!!!????Huyo Ni reptile wakati samaki Ni amphibians
!!!!????Huyo Ni reptile wakati samaki Ni amphibians
Kobe Bryant?Huyo ni mjomba wake kobe
We jamaa banaKasa mtam sana akipikwa anakua kama supu ya nyama ya ng'ombe aliyenonaaa sana! Ukija kwangu nikakupa kasa wala hutojua labda utofautishe ladha!
Na siye wavuvi tunajua kasa mwenye sumu ni yup! Pwan tunamla saana! Ukisikia watu wamekufa jua ni bahat mbaya tu! Kama ambavyo unaweza sikia watu wamekufa kutokana na food poison. Karibu pwan
Inashangaza, maana wanaokufa,na watu wa maeneo ya uvuvi/bahari inakujae wasijue kuwatofautisha?..kwanza kabisa kassa hana sumu ila yupo samaki ana fanana sana na kassa anaitwa ng,amba kama sio mjuzi unaweza ukadhani wote sawa ng,amba ana sumu tena kali tofauti yao nyama ya ng,amba ikiwa mbichi inawasha mikononi ila kasa haina muwasho huku kwetu hao waliopewa ulinzi kuwalinda kasa ndio tuna kula nao
Unavulia wapi!?Kasa mtam sana akipikwa anakua kama supu ya nyama ya ng'ombe aliyenonaaa sana! Ukija kwangu nikakupa kasa wala hutojua labda utofautishe ladha!
Na siye wavuvi tunajua kasa mwenye sumu ni yup! Pwan tunamla saana! Ukisikia watu wamekufa jua ni bahat mbaya tu! Kama ambavyo unaweza sikia watu wamekufa kutokana na food poison. Karibu pwan
BahariniUnavulia wapi!?
kama kweli eenh?Kasa anauaga wapemba tu...
AiseeKasa mtam sana akipikwa anakua kama supu ya nyama ya ng'ombe aliyenonaaa sana! Ukija kwangu nikakupa kasa wala hutojua labda utofautishe ladha!
Na siye wavuvi tunajua kasa mwenye sumu ni yup! Pwan tunamla saana! Ukisikia watu wamekufa jua ni bahat mbaya tu! Kama ambavyo unaweza sikia watu wamekufa kutokana na food poison. Karibu pwan
Mhhh kisamvu kinaua pia?Kwanini watu wanakula uyoga na kisamvu huku vikiua wengine!
Samaki ni class yao .Ni samaki au fish.Tukumbushane ivi samaki Ni Nini?
Chura huyo ?Amphibians ni vyura mkuu