careenjibebe
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 1,604
- 1,646
Kuna aina ya samak hatuli mkuuKinachowaponza wakazi wa pwani ni kuwa, kila kiumbe wa baharini wao wanachukulia kama Samaki na wanakula!!!
Hao Kobe Wana sumu kali !
Kuna aina ya samak hatuli mkuuKinachowaponza wakazi wa pwani ni kuwa, kila kiumbe wa baharini wao wanachukulia kama Samaki na wanakula!!!
Hao Kobe Wana sumu kali !
Kwanini watu wanakula uyoga na kisamvu huku vikiua wengine!Katika pita pita zangu nikakutana na taarifa ya kuwa watu wa nne wamefariki na wengine 40 kulazwa hospitalini baada ya Kula samaki Aina ya Kasa huko Tanzania visiwani ..
Na hii inakuja baada ya takriban mwez mmoja watu Saba kufa na wengine kadhaa kulazwa baada ya Kula samaki huyo huyo aitwaye kasa
Kwa wenye uelewa huyu samaki ana sumu ya aina gani?
Na kwanini watu wanaendelea kumla ilhali madhara yake yanaonekana pindi unapomla? Au ni mtamu sana kias kwamba wanazengo they don't care kuhusu sumu yake?
View attachment 2057990
Kobe maji sioHuyo ni kobe
Huyu ni Kobe wa baharini,wanamkosea namna ya kumchinja hivyo wanashindwa kuondoka sumuKatika pita pita zangu nikakutana na taarifa ya kuwa watu wa nne wamefariki na wengine 40 kulazwa hospitalini baada ya Kula samaki Aina ya Kasa huko Tanzania visiwani ..
Na hii inakuja baada ya takriban mwez mmoja watu Saba kufa na wengine kadhaa kulazwa baada ya Kula samaki huyo huyo aitwaye kasa
Kwa wenye uelewa huyu samaki ana sumu ya aina gani?
Na kwanini watu wanaendelea kumla ilhali madhara yake yanaonekana pindi unapomla? Au ni mtamu sana kias kwamba wanazengo they don't care kuhusu sumu yake?
View attachment 2057990
Samaki ni amphibia? Kweli kazi ipo.Huyo Ni reptile wakati samaki Ni amphibians
Njaa haina baunsa.Katika pita pita zangu nikakutana na taarifa ya kuwa watu wa nne wamefariki na wengine 40 kulazwa hospitalini baada ya Kula samaki Aina ya Kasa huko Tanzania visiwani ..
Na hii inakuja baada ya takriban mwez mmoja watu Saba kufa na wengine kadhaa kulazwa baada ya Kula samaki huyo huyo aitwaye kasa
Kwa wenye uelewa huyu samaki ana sumu ya aina gani?
Na kwanini watu wanaendelea kumla ilhali madhara yake yanaonekana pindi unapomla? Au ni mtamu sana kias kwamba wanazengo they don't care kuhusu sumu yake?
View attachment 2057990
Tukumbushane ivi samaki Ni Nini?Samaki ni amphibia? Kweli kazi ipo.
Kwani Mamba sio samaki?Samaki ni amphibian! How? Do they sustain both in land and water?
Ya UDSMHii ni biology ya wapi?
Masa mtamu sana, nilikuwa sijawahi kumla, siku niliyomla ni ana Nyama tamu...acheni Tu watu wafeKasa mtam sana akipikwa anakua kama supu ya nyama ya ng'ombe aliyenonaaa sana! Ukija kwangu nikakupa kasa wala hutojua labda utofautishe ladha!
Na siye wavuvi tunajua kasa mwenye sumu ni yup! Pwan tunamla saana! Ukisikia watu wamekufa jua ni bahat mbaya tu! Kama ambavyo unaweza sikia watu wamekufa kutokana na food poison. Karibu pwan
Ya UDSM
Ni uroho tu na kudanganyana kuwa alikosea kutoa nyongo wengine alikosea kutoa maini n.kKatika pita pita zangu nikakutana na taarifa ya kuwa watu wa nne wamefariki na wengine 40 kulazwa hospitalini baada ya Kula samaki Aina ya Kasa huko Tanzania visiwani ..
Na hii inakuja baada ya takriban mwez mmoja watu Saba kufa na wengine kadhaa kulazwa baada ya Kula samaki huyo huyo aitwaye kasa
Kwa wenye uelewa huyu samaki ana sumu ya aina gani?
Na kwanini watu wanaendelea kumla ilhali madhara yake yanaonekana pindi unapomla? Au ni mtamu sana kias kwamba wanazengo they don't care kuhusu sumu yake?
View attachment 2057990
🤣 Kwa staili hii vifo vitaendelea Jana juzi na kesho!Nimeshamla ....mtamu sana