Kwanini watu wanakula Kasa licha ya wengine kufa kwa sumu waliyonayo?

Katika pita pita zangu nikakutana na taarifa ya kuwa watu wa nne wamefariki na wengine 40 kulazwa hospitalini baada ya Kula samaki Aina ya Kasa huko Tanzania visiwani ..

Na hii inakuja baada ya takriban mwez mmoja watu Saba kufa na wengine kadhaa kulazwa baada ya Kula samaki huyo huyo aitwaye kasa

Kwa wenye uelewa huyu samaki ana sumu ya aina gani?

Na kwanini watu wanaendelea kumla ilhali madhara yake yanaonekana pindi unapomla? Au ni mtamu sana kias kwamba wanazengo they don't care kuhusu sumu yake?

View attachment 2057990

Kwanini watu wanakula uyoga na kisamvu huku vikiua wengine!
 
Katika pita pita zangu nikakutana na taarifa ya kuwa watu wa nne wamefariki na wengine 40 kulazwa hospitalini baada ya Kula samaki Aina ya Kasa huko Tanzania visiwani ..

Na hii inakuja baada ya takriban mwez mmoja watu Saba kufa na wengine kadhaa kulazwa baada ya Kula samaki huyo huyo aitwaye kasa

Kwa wenye uelewa huyu samaki ana sumu ya aina gani?

Na kwanini watu wanaendelea kumla ilhali madhara yake yanaonekana pindi unapomla? Au ni mtamu sana kias kwamba wanazengo they don't care kuhusu sumu yake?

View attachment 2057990

Huyu ni Kobe wa baharini,wanamkosea namna ya kumchinja hivyo wanashindwa kuondoka sumu
 
Hawa Kasa wana bacteria wa salmonella
Ndio maana unakuta watu wanapomla wengine hudhurika na sumu hiyo na kufa na wengine huugua tu na kupona

Ila wapemba wabishi sana wanahitaji kuelimishwa na hata kupiga marufuku kuwauwa hawa viumbe na walindwe

Mbona nchi nyingi ni marufuku kuwauwa?
Tena kuna nchi zingine ni marufuku hata kuwagusa
 
Katika pita pita zangu nikakutana na taarifa ya kuwa watu wa nne wamefariki na wengine 40 kulazwa hospitalini baada ya Kula samaki Aina ya Kasa huko Tanzania visiwani ..

Na hii inakuja baada ya takriban mwez mmoja watu Saba kufa na wengine kadhaa kulazwa baada ya Kula samaki huyo huyo aitwaye kasa

Kwa wenye uelewa huyu samaki ana sumu ya aina gani?

Na kwanini watu wanaendelea kumla ilhali madhara yake yanaonekana pindi unapomla? Au ni mtamu sana kias kwamba wanazengo they don't care kuhusu sumu yake?

View attachment 2057990

Njaa haina baunsa.
 
Kasa mtam sana akipikwa anakua kama supu ya nyama ya ng'ombe aliyenonaaa sana! Ukija kwangu nikakupa kasa wala hutojua labda utofautishe ladha!

Na siye wavuvi tunajua kasa mwenye sumu ni yup! Pwan tunamla saana! Ukisikia watu wamekufa jua ni bahat mbaya tu! Kama ambavyo unaweza sikia watu wamekufa kutokana na food poison. Karibu pwan
Masa mtamu sana, nilikuwa sijawahi kumla, siku niliyomla ni ana Nyama tamu...acheni Tu watu wafe
 
kwanza kabisa kassa hana sumu ila yupo samaki ana fanana sana na kassa anaitwa ng,amba kama sio mjuzi unaweza ukadhani wote sawa ng,amba ana sumu tena kali tofauti yao nyama ya ng,amba ikiwa mbichi inawasha mikononi ila kasa haina muwasho huku kwetu hao waliopewa ulinzi kuwalinda kasa ndio tuna kula nao
 
Katika pita pita zangu nikakutana na taarifa ya kuwa watu wa nne wamefariki na wengine 40 kulazwa hospitalini baada ya Kula samaki Aina ya Kasa huko Tanzania visiwani ..

Na hii inakuja baada ya takriban mwez mmoja watu Saba kufa na wengine kadhaa kulazwa baada ya Kula samaki huyo huyo aitwaye kasa

Kwa wenye uelewa huyu samaki ana sumu ya aina gani?

Na kwanini watu wanaendelea kumla ilhali madhara yake yanaonekana pindi unapomla? Au ni mtamu sana kias kwamba wanazengo they don't care kuhusu sumu yake?

View attachment 2057990

Ni uroho tu na kudanganyana kuwa alikosea kutoa nyongo wengine alikosea kutoa maini n.k
 
Back
Top Bottom