Kwanini watu wanaezeka paa linaenda juu hadi nyumba inakuwa kama piramidi?

Nakataa paa refu kushinda ukuta Wala huwa sio nzuri kimuonekano..

Ukitaka muonekano mzuri paa liwe na urefu pungufu ya ukuta..

Ukuta mita 3 afu paa mita 6 Kuna uzuri gani hapo zaidi ya kuwa Kama kitu kimefunikwa? Shepu ya Uyoga.
Paa likizidi ukuta haipendezi lazima pia uzingaie hiyo. Nyumba iko bondeni then utie paa refu unakuwa kama mwamvuli😆😆
 
Niwekee nyumba yenye paa refu afu tulinganishe na hizi zenye paa la wastani yaani ukuta mrefu kuliko kingpost 👇
sat2.jpg
 
Braza angu kaweka la mueleleo huo, na kule juu amepaweka chumba..
Sebuleni unapanda ngazi kadhaa kufikia mlango wake
 
Mnazi huo...unazuia joto na nyumba zinapendeza...
Ukikuta mtaa wameezeka hvyo majiran karibia wote..lazima ujipange maana pesa yake si kitoto
 
Back
Top Bottom