Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 7,238
- 12,753
Wakuu sana ni nini kinafanya watu waezeke nyumba na paa linaenda juu kama piramidi?
Kuna faida gani? Standard zinasemaje?
Kuna faida gani? Standard zinasemaje?
Kila kitu kina sababu yake. Umewahi kuishi nyumba yenye paa la chini sehemu kama Dar ukaona khabari yake?Wakuu sana. ni nini kinafanya watu waezeke nyumba...
Hapana, zimekaa muonekano wa kitoto sana.Mwonekano mzuri aseeee...ata mm nazielewaga sana
Wazungu huwa wanajenga hivyo kuzuia barafu kukwama na kushusha paa.Wengi watasema ni mwonekano ila faida ni kutiririsha unyevu kwa haraka na kusaidia bati kutokushika kutu kirahisi pia husaidia kuzuia joto.
Pia nafikiri kwenye mambo ya ujenzi kuna standard ya umbali wa paa na dari ili kukinga nyumba na joto.Nyingi sababu zinakuwa kutoruhusu matope ya maji kukaa hata sekunde ili kupunguza kuntu..
Kuna paa niliiona njia ya pugu mnadani, nikajisemea moyoni labda litakuwa cathedral!Wakuu sana. ni nini kinafanya watu waezeke nyumba na paa linaenda juu kama piramidi? kuna faida gani? standard zinasemaje?
View attachment 2414305
View attachment 2414306
View attachment 2414308
Watu wengi wanajenga ivyo hata vile nyumba unakuta mtu anahamia bila hata ya ceiling boards unakuta akiweka paa la ivyo kama anapunguza jotoPia nafikiri kwenye mambo ya ujenzi kuna standard ya umbali wa paa na dari...
Kuna moja niliona Uyole, Mbeya. Paa linatakaka kulingana urefu na ghorofa la pembeni yake.Kuna paa niliiona njia ya pugu mnadani, nikajisemea moyoni labda litakuwa cathedral!
Makanisa nayo ni majengo, ila waumini ndio kanisa lenyeweUtafikiri makanisa