Mkwawe
JF-Expert Member
- Jun 10, 2016
- 2,345
- 4,168
Wadau mtakubaliana na Mimi haya mazoea yamekuwa Kama uhalali na Sheria kwamba ukiingia kwenye ofisi ya afisa mtendaji au mwenyekiti lazima uandae sh 2000-5000-20000 kwa ajili ya kupata huduma (mara nyingi huwa muhuri tu wa ofisi)
Miaka nenda miaka rudi haya mazoea hutendeka sijui imeidhinishwa au ni utashi wa watu, na mara nyingi inapotokea madogo wakitaka kuomba mkopo ya elimu ya juu kwenye kuidhinisha taarifa za muombaji hukumbwa na kadhia hiyo wengine ni hawa vijana wanaoenda JKT yaani lazima watozwe hela sijui kwanini ( sio wote ila ni wengi)
Mamlaka tunaomba mtutolee ufafanuzi
Miaka nenda miaka rudi haya mazoea hutendeka sijui imeidhinishwa au ni utashi wa watu, na mara nyingi inapotokea madogo wakitaka kuomba mkopo ya elimu ya juu kwenye kuidhinisha taarifa za muombaji hukumbwa na kadhia hiyo wengine ni hawa vijana wanaoenda JKT yaani lazima watozwe hela sijui kwanini ( sio wote ila ni wengi)
Mamlaka tunaomba mtutolee ufafanuzi