Kwanini watanzania wanamlaumu mwalimu Nyerere kwa kukosa elimu?

Reasons for not expanding secondary education at rapid parce during Nyerere's period
(i)There was delibarate rationing of secondary schooling as part of the government effort to coordinate student enrollment with the nation’s man power development
-But remember education was competitive for the poor and the rich. The government paid all the costs for schooling even for community schools the goverment subsdized heavily
(ii) The was expansion of Technical schools andvocational training
(iii) Need for man power to revolutionalize agriculture however many Tanzanias were not ready to work in farms, all wanted to be employed!
(iii) There were also other social need to deal with at the time

Please find attached file and try to look on the figures and continue debating


Andindile:

Nimeshasema sana hapa ukumbini. Katika kipindi cha 1960-1980, nadharia iliyokuwepo kwenye nchi zilizoendelea ni kutoa misaada kwa nchi masikini hili nchi hizo zitumie misaada hiyo kukuza uchumi katika nchi zao.

Kuna misaada iliyotoka Bank ya dunia na mashirika mengine kwa wanachama wa vyombo hivyo. Misaada ya nchi tajiri ilitolewa kwa upendeleo kutokana na siasa za nchi hiyo.

Lakini nchi kama Sweden, Denmark, Norway, Finland na Netherland zilikuwa ni nchi Neutral katika kutoa misaada. Na nchi hizo zilitumia pesa nyingi sana kusaidia Tanzania. Katika kipindi cha miaka 1968-1981 zaidi ya billion 3 zilitumika kuisaidia Tanzania. Na mwaka 1981, misaada ilikuwa ya 600 Millioni.

Nia wahisani ilitaka kuona Tanzania inajitegemea. Lakini kila siku zikiendelea ndio nchi masikini zilivyoendelea kuomba misaada.

Tukirudi kwenye mada, mafanikio katika sekta ya elimu, afya, na huduma za jamii katika kipindi cha 1968-1980 hakikutokana na siasa safi, uongozi bora, mipango mizuri au fikra sahihi. Mafanikio yalitokana na misaada kutoka nje.

Kuanzia mwanzo wa 80s. Wahisani wamebadilisha jinsi ya kutupa misaada. Hata wachumi wengi ambao wanaunga mkono misaada kwa nchi masikini; wanakubali kuwa literacy rate has got nothing to do with economic growth.

Hivyo ongezeko la kujua kusoma na kuandika, huduma za hospitali vijijini na maji ya bomba. Ilikuwa ni Nadharia ya nchi zilizoendelea na World Bank kuwa kusoma na kuandika, maji safi na zahanati zinaweza kufanya uchumi kukua. Nadharia hiyo sasa ni invalid.

SAPs zilizotajwa katika paper uliyoleta hapa reinforce ambayo nayasema hapa. Wahisani wanaotupa misaada wana nadharia zao. Nia kubwa ya nadharia hizo ni nchi kama masikini kufikia economic growth ambayo itaondoa umasikini.
 
- By the way: In the near future jaribu kuwa na heshima na dini zisizokuhusu au za wananchi wengine, ndio maana sasa ninasema hivi either wewe ni limbukeni au huna elimu kabisa, kwa sababu kama ungekua na elimu japo kidogo, basi kwanza ungeheshimu dini za wengine, na pili ungekua unajua kuwa masomo yanayohusu Madrasa, Kipa imara na Sunday School huwa yanafundishwa kwa dataz za Either Yesu au Mtume Mohamed na Mungu mwenyewe, kwa hiyo hapa sio tu kwamba huna hoja ila hata elimu yako ni ya wasi wasi kama unayo kweli,

- Lakini one thing next time jaribu sana kuheshimu dini za wananchi wengine, mimi ni Christian na I am offended, ni matumaini yangu kwamba utaliona hilo na kufanya the right thing.




- Tizama sasa, unasema shule zilijengwa na wahisani na sio Mwalimu, yaani huwezi hata ukaelewa kwamba kama sio Mwalimu kuwa rais tusingepewa ile misaada? Hivi hujui kwamba under Mwinyi hao wahisani waliikata hiyo misaada na mpaka sasa bado wanasita kuielta kwa sababu ya kutowaamini viongozi wetu? Muheshimu Mwalimu mkuu, achana na hizi data zilizoandikwa na haters wake, mlaumuni Mwalimu kwa mengine lakini sio la elimu.

Respect.

FMES!

Ndio maana nasema unafanya thread nzima kuwa kama Madrasa, mafunzo ya kipa imara au Sunday school. Ni kwenye shule hizo unapokea mafundisho bila kuwa na intellectual curiosity.

Kunyimwa kwa Mwingi misaada hakutokani kabisa na wahisani kutokuwa na imani za viongozi wetu.

Katika miaka 1960-1980 wakati Nadharia ya kutoa misaada kwa nchi masikini ilikuwa ni kuongeza literacy rate, huduma za maji na matibabu, viongozi wa nchi mbalimbali walikuwa corrupt au walitumia misaada kuendelea miradi ambayo ilikuwa ni fantasy tu.

Kuanzia 1980 hata nchi zilizoendelea zilikumbwa na economic crisis. Katika miaka ya 1990s kutokana nchi za Scandinavia zilikumbwa na matatizo ya kiuchumi kutokana na kuvunjika kwa Soviet Union na hao walikuwa wafadhiri wetu wakubwa.

Kwa mfano kuanzia 1991-1994 Sweden ilikuwa kwenye recession na inaongozwa na conservative Carl Bildt, na bado watanzania mlitaka Sweden iendelee kutoa misaada kama olof Palme yupo madarakani.

Kuhusu mimi kuwa limbukeni nakubaliana na wewe lakini numbers don't lie.
 
The push to get all children into school has seen spectacular successes in Tanzania. But with up to 70 pupils to a class, and global aid faltering in the recession, can progress be sustained?

mail
Young girls at Makuyuni primary school in the Monduli district of Tanzania. Photograph: Graeme Robertson

A hungry girl presses against her classroom's smashed window to look outside. Surely maths is over and it is time for lunch, she seems to say. As if her thoughts had been read, an older pupil darts into the courtyard to sound the bell, a steel cylinder that hangs from a tree. Hundreds of pupils sprint out of classrooms to stand in line for their makande. The mix of beans and maize will be the only meal of the day for most of the children here at Makuyuni village primary school in northern Tanzania.
It is for Zainab Athumani. The 16-year-old started primary school five years late at the age of 11, because her mother, an occasional cleaner, could not afford the 81p-a-year lunch fee or the uniform.
Since Zainab started classes, she has taught her mother to write her name and repeated to her what teachers have told the class about how to protect against HIV. But school is tough. "It can be difficult to concentrate when you are hungry," she says.
"Hunger? We've never had a serious problem with people going hungry here in Tanzania," says the deputy education minister, Oliver Mhaiki, when asked what the ministry of education and vocational training is doing for children like Zainab. As his government sees it, Tanzania is an education success story. And in some ways, for a country where 18.7% of the population live on less than $1 (71p) a day, it is.
Primary school fees were dropped in 2005 and the number of pupils who have enrolled since has doubled, to what the government says is now 97.3% of the primary-school-aged population (seven- to 13-year-olds). Unicef says Tanzania reduced its primary-aged out-of-school population from 3 million to fewer than 150,000 between 1999 and 2006.
If you take what the Tanzanian government says to be true, the country is well on its way to achieving universal primary education by 2015 - a target set by international leaders in Senegal in 2000 as part of the Education for All goals, and the second of the millennium development goals (MDG). The ministry of education is so confident of this, it states in its statistics book published in June that by this year "all children aged seven to 13 can be enrolled".
But look deeper than the official statistics and education in Tanzania is an altogether different story.
There are 73 pupils in Zainab's maths lesson. They sit in a dank classroom with holes in the ground and cracks in the ceiling. Samwel Sarakikya, the maths teacher and the school's headteacher, uses a broken protractor to teach Pythagoras's theorem.
The school has a ratio of one teacher to 63 pupils. Unesco says a "good quality learning environment" should have no less than one teacher for 40 students. The charity ActionAid estimates that class sizes in Tanzania have risen to one teacher for every 53 students now, from one teacher to 40 pupils in 1997. The ratio is worse in rural areas.
While Mhaiki says each primary school receives $10 (£7.11) per pupil, Sarakikya had just $5.30 (£3.78) to spend on each of his 1,010 students in 2008. So far this year he has received nothing.
Joseph Kisanji is director of the Tanzania Education Network (Tenmet), an umbrella group of more than 200 Tanzanian and international community-based and non-governmental organisations (NGOs). He says the real enrolment figure for primary-aged children is closer to 77%. Of these, he estimates as few as 20% will complete their primary education.
Some, like Sophia Lairumbe, will not even start it. The 15-year-old from the semi-nomadic Masai tribe has never been to school, although she lives 6km from Zainab's primary school.
Dressed in a torn "shuka" (Masai women's sari-like dress), she explains how she once wandered into a school on her way to church to see what it was like. "I would have liked to have gone to study and play with others," she says.
But her father forbids it, especially now she is engaged to a Masai man 10 years older. Sophia's daily life will continue to consist of fetching firewood, cooking and helping with the cattle. Soon, she hopes, she will be looking after children, too. If she has daughters, she wants them to go to school. Only very recently have some Masai started to send their girls to primary school.
Domestic chores and family illness keep others, like Nastura Jonas, from school. The 11-year-old lives with her grandmother and twin brother in a dark hut made of mud and branches.
This is her uncle's home and he is away. Water has leaked into Nastura's home, a much smaller hut, turning the floor to mud. She is in broken sandals and a school uniform so torn you can see her underwear. She is playing hopscotch by carving out squares into the dusty earth with a branch.
She explains that she must look after her grandmother, "Tatu", who is ill with kidney troubles. Her parents are dead. Before school, Nastura must fetch clean water and brush down the ground outside her home with straw. She is often late for class because of this. Three or four days a month, when her grandmother takes a turn for the worse, she misses school to look after her. The chances of Nastura completing her primary education are slim.
While primary school tuition fees have been scrapped, Tanzanian parents are expected to contribute to other costs, such as uniform, a cooker for lunch, the cost of the school guards and, in some schools, a donation to the Aids bereavement fund for pupils who have lost one or more parents. In Zainab's school this amounts to 2,500 Tanzanian shillings a year (£1.35). Costs like these keep some children from completing - or starting - their education.
Girls here face a number of extra obstacles. Many pupils walk 10km or more to school. They must look out for rapists who sit and wait for them, Tanzanian charities and the government admit. If pregnant, under Tanzanian law, girls are thrown out of school as punishment. They cannot come back later. Toilets are mixed and often without doors, causing girls embarrassment, particularly as they hit puberty.
This is the real picture of Tanzanian education, says Gloria Minja, from ActionAid Tanzania. She is highly sceptical about her country meeting the MDG and the Education for All targets set for 2015.
The third MDG is to "eliminate gender disparity in primary and secondary education". The second Education for All target is to "ensure that all children, particularly girls, children in difficult circumstances and those belonging to ethnic minorities, have access to a complete, free and compulsory primary education of good quality".
"Good quality? Ha!" says Minja. "The government is very proud of its enrolment figures, but enrolment is not enough. It is the quality of education and the completion of primary school that matter. To me, the attainment of the MDGs is unrealistic." Minja cares about longer-term change, beyond 2015, she says.
The Tanzanian charity sector is working hard to achieve this. The NGO Maarifa ni Ufungo ("Knowledge is the key") works with ActionAid in northern Tanzania to convince parents to send their children to school and tries to make schools more "girl-friendly". It has set up after-school clubs and is setting up a club for girls who do not attend school.
Charities send women who have spent several years in education to talk to communities and pupils in the hope that they will see them as role models.
Naishiye Johnson, 34, is one of these. The primary school teacher started school at 10 and left at 17. She is a Masai and had a hard job convincing her community elders that she should be sent to school.
"My education means I can teach my four children about nutrition and be a better mother to them," she says. She has begun to change the minds of her own community. Her two daughters, Gladnees, 10, and Pendaele, 12, started school aged six.
The Tanzanian government acknowledges that some improvements could be made. Next year it is expected to make it legal for pregnant girls and young mothers to attend school. It has started to set up boarding schools for girls to ensure they are not preyed on by men on their way to and from classes, and plans to build an extra secondary school in each district.
But if Tanzania is to get anywhere near the targets international leaders have set for it, it will need more international aid.
Mhaiki says that although his government has reduced its dependency on foreign aid from 40% of the country's budget to 30% this year, it "can't do without it".
But where are extra funds to be found when big donors such as the UK are in economic turmoil? Unesco, in its Global Monitoring Report for this year, says: "The most recent data tell of a slowdown in aid for education and even more so in aid for basic education."
The enthusiasm with which billions of dollars were pledged across the world four years ago seems to be dissipating. Back then, international leaders pledged to increase foreign aid from an estimated $80bn (£57bn) in 2004 to $130bn in 2010.
In 2005, it was $110bn. For the last two years, the figure has fallen to under $97bn. Will the UK live up to its promises? If it does not, the consequences could be catastrophic. The UK is the second largest donor to basic education in low-income countries such as Tanzania.
Last week, in his speech to the US Congress, Gordon Brown reiterated his commitment to the MDG. "Perhaps the greatest gift our generation could give to the future," he said, "the gift of America and Britain to the world could be, for every child in every country of the world, the chance millions do not have today: the chance to go to school."
Janet Convery, ActionAid's head of schools and youth, believes the UK government is "strongly committed" to maintaining international aid, despite the recession. But she is worried by the plummeting value of sterling, which has reduced by up to a third the worth of some of ActionAid's contributions.
Minja believes Tanzanian charities and NGOs will start to suffer next year from the recession in the developed world.
In the 1970s, a global oil crisis meant Tanzania borrowed a large amount from the International Monetary Fund. The money was given on condition that the public sector was cut to stop rising inflation. Teachers lost their jobs, and money for textbooks and teacher training was almost wiped out.
In the 1980s, Tanzania almost achieved universal primary education, but it had accumulated a crippling debt burden and by 2000 the proportion of pupils enrolled for primary school had dropped to 57%.
Education in Tanzania has been a series of near-misses. Many now fear the next decade could be another one.
Young campaigners

There are two very good reasons why those working to improve education in low-income countries can be optimistic: Bethany Law and James Simmonds.
They are students at Stantonbury Campus secondary school in Milton Keynes and have just returned from a fact-finding trip to Tanzania, accompanied by ActionAid and Education Guardian.
Bethany, 15, and James, 14, were winners of the Steve Sinnott award for young global education campaigners, which was launched by a group of major overseas aid agencies that believe education is the key to escaping poverty.
Bethany and James are passionate about keeping the UK and world leaders to their promises on international aid. Now they are back in the UK, they will be using MySpace and YouTube to tell their peers about the problems faced by children trying to get an education in low-income countries.
James says: "If the UK misses a couple of years of aid because of the recession, the projects we have seen could stop. The situation is so delicate. We have seen that if students drop out of school, it's very hard to get them back."


 
The Tanzanian government says that it is well on the way to achieving universal primary education by 2015. But classrooms remain overcrowded and many children, especially girls, struggle to get access to school

Young girls stand in class at Makuyuni school in the Monduli district of Tanzania, which has just one teacher for every 63 pupils



Samwel Sarakikya, the school's maths teacher, had only $5.30 (£3.78) to spend on each of his 1,010 students last year

Young girls at Makuyuni school in the Monduli District having their lunch, called makande

In most cases, the school lunch is the only meal the children will have all day

Girls in Tanzanian schools face many obstacles: many must walk 10km or more to go to school, and some risk sexual assault

Children play in the dusty playing fields at lunchtime

Skipping after school

Girls look out of the windows of their classroom. Next year, the Tanzanian government is expected to make it legal for pregnant girls and young mothers to attend schools

A young girl's schoolbag at Makuyuni school. In order to achieve its goal of universal primary education, the Tanzanian government will have to rely heavily on international aid

 
1.
Zakumi;

Ndio maana nasema unafanya thread nzima kuwa kama Madrasa, mafunzo ya kipa imara au Sunday school. Ni kwenye shule hizo unapokea mafundisho bila kuwa na intellectual curiosity.

- Kama intelectual curiocity ni kuponda dini za member wengine unaojadili nao siasa, basi mimi ninakubali kwamba sihitaji hiyo intelectualism curiocity ambayo kwa maneno yako ndio muhimu kuwa nayo ili kuelewa kwamba Mwalimu aliharibu elimu, yaani Q'uran na Bible kwako hazina dataz na zina lack intelectualism curiocity what a joke!

2.
Kunyimwa kwa Mwingi


- Mwingi ni nani? Au ndio intelectual curiocity hizi?


3.
misaada hakutokani kabisa na wahisani kutokuwa na imani za viongozi wetu Katika miaka 1960-1980 wakati Nadharia ya kutoa misaada kwa nchi masikini ilikuwa ni kuongeza literacy rate, huduma za maji na matibabu, viongozi wa nchi mbalimbali walikuwa corrupt au walitumia misaada kuendelea miradi ambayo ilikuwa ni fantasy tu.

- Sasa ungeeleza jinsi Mwalimu alivyokuwa corrupt na jinsi alivyotumia misaada kuendeleza fantasy, kwa sababu hapa hoja yako nini hasa?

4.
Kuanzia 1980 hata nchi zilizoendelea zilikumbwa na economic crisis. Katika miaka ya 1990s kutokana nchi za Scandinavia zilikumbwa na matatizo ya kiuchumi kutokana na kuvunjika kwa Soviet Union na hao walikuwa wafadhiri wetu wakubwa.

- Eti zilikumbwa na matatizo in the 80s na 90s, ya kiuchumi kuliko sasa? Mbona sasa wanatusaidia tena kuliko hata under Mwalimu? Halafu ni lini uchumi wa Sweeden ulitegemea Soviet for its survival? Labda sijakuelewa naomba unifafanulie kidogo bro hapa!

4.
Kwa mfano kuanzia 1991-1994 Sweden ilikuwa kwenye recession na inaongozwa na conservative Carl Bildt, na bado watanzania mlitaka Sweden iendelee kutoa misaada kama olof Palme yupo madarakani.

- Kwanza naomba kukusahihisha kwamba Tanzania tulikuwa tunapewa misaaada na Scandnavians as a block, not Sweeden individually as a nation, mimi nimesoma shule ya meli iliyokuwa akisimamiwa na hawa jamaa, pamoja na kwamba Norway ndio waliokuwa in front kusimamia hii misaada ya meli, ilikuwa ikija under Scandnavians,

- Hapa ulitaka kuonyesha kwamba unawajua Palme na Bilt kwa hiyo una hoja, that is absurd, huhitaji kujua majina ya viongozi wa Sweeden kujua kwamba as a block Scandnavians walimuambia Mwinyi point blank kwamba wanakata misaada kwa sababu ya corruption ya viongozi wetu, na the next thing wakaanza kuwasaidia Upinzani, ndio maana Mrema akashinda ubunge Temeke, na Cheyo akashinda ubunge Bariadi, ilikuwa ni hasira yao hao wazungu kutokana na kuliwa kwa hela zao na serikali ya Mwinyi, na mpaka leo wao ndio nguzo hasa ya Upinzani bongo kama ulikuwa hujui mkuu.
The next thing, wakaanza kumtayarisha Mama Mongella na urais, CCM wakamkimbiza AU haraka sana baada ya kugundua mapema. Infact wao walikuwa ni wahisani wa mwisho kutukatia misaada baada ya kuambiwa sana na wazungu nchi zingine kwa muda mrefu sana,


- Ya economic crisis sio ya kweli, kwa sababu yangekua basi wangetukatia misaada sasa, mkuu nenda usome tena vitabu vyako vya intelectualism curiocity maana somehow vimekudanganya mkuu.


5.
Kuhusu mimi kuwa limbukeni nakubaliana na wewe lakini numbers don't lie.

- Kama kumjua Olof Palme kunakufanya uwe na intelectual curiocity, basi bongo nzima wananchi wote wanayo, kwani nani asiyekumbuka kwamba huyu mkulu aliwahi kuja bongo na kupokewa kwa heshima kubwa sana pale Airport?

Kama wewe ni msomi kama unavyodai, basi tuonyeshe jinsi Mwalimu alivyoharibu education as opposed to Mwinyi, Mwalimu alivyoharibu elimu as opposed to Mkapa, au Mwalimu alivyoharibu elimu as opposed to Kikwete, mtu mwenye elimu akishajumlisha na kutoa through hizi hoja ndio ana conclude kwamba Mwalimu aliharibu elimu, lakini sio kwa sababu ya kumjua Olof Palme na Bilt tu, mkuu vipi hatukwenda shule lakini we have an idea na hoja za compare and contrast, au?

Wazee wa sauti ya umeme FMES
 
1.

- Kama intelectual curiocity ni kuponda dini za member wengine unaojadili nao siasa, basi mimi ninakubali kwamba sihitaji hiyo intelectualism curiocity ambayo kwa maneno yako ndio muhimu kuwa nayo ili kuelewa kwamba Mwalimu aliharibu elimu, yaani Q'uran na Bible kwako hazina dataz na zina lack intelectualism curiocity what a joke!

2.


- Mwingi ni nani? Au ndio intelectual curiocity hizi?


3.

- Sasa ungeeleza jinsi Mwalimu alivyokuwa corrupt na jinsi alivyotumia misaada kuendeleza fantasy, kwa sababu hapa hoja yako nini hasa?

4.

- Eti zilikumbwa na matatizo in the 80s na 90s, ya kiuchumi kuliko sasa? Mbona sasa wanatusaidia tena kuliko hata under Mwalimu? Halafu ni lini uchumi wa Sweeden ulitegemea Soviet for its survival? Labda sijakuelewa naomba unifafanulie kidogo bro hapa!

4.

- Kwanza naomba kukusahihisha kwamba Tanzania tulikuwa tunapewa misaaada na Scandnavians as a block, not Sweeden individually as a nation, mimi nimesoma shule ya meli iliyokuwa akisimamiwa na hawa jamaa, pamoja na kwamba Norway ndio waliokuwa in front kusimamia hii misaada ya meli, ilikuwa ikija under Scandnavians,

- Hapa ulitaka kuonyesha kwamba unawajua Palme na Bilt kwa hiyo una hoja, that is absurd, huhitaji kujua majina ya viongozi wa Sweeden kujua kwamba as a block Scandnavians walimuambia Mwinyi point blank kwamba wanakata misaada kwa sababu ya corruption ya viongozi wetu, na the next thing wakaanza kuwasaidia Upinzani, ndio maana Mrema akashinda ubunge Temeke, na Cheyo akashinda ubunge Bariadi, ilikuwa ni hasira yao hao wazungu kutokana na kuliwa kwa hela zao na serikali ya Mwinyi, na mpaka leo wao ndio nguzo hasa ya Upinzani bongo kama ulikuwa hujui mkuu.
The next thing, wakaanza kumtayarisha Mama Mongella na urais, CCM wakamkimbiza AU haraka sana baada ya kugundua mapema. Infact wao walikuwa ni wahisani wa mwisho kutukatia misaada baada ya kuambiwa sana na wazungu nchi zingine kwa muda mrefu sana,


- Ya economic crisis sio ya kweli, kwa sababu yangekua basi wangetukatia misaada sasa, mkuu nenda usome tena vitabu vyako vya intelectualism curiocity maana somehow vimekudanganya mkuu.
5.

- Kama kumjua Olof Palme kunakufanya uwe na intelectual curiocity, basi bongo nzima wananchi wote wanayo, kwani nani asiyekumbuka kwamba huyu mkulu aliwahi kuja bongo na kupokewa kwa heshima kubwa sana pale Airport?

Kama wewe ni msomi kama unavyodai, basi tuonyeshe jinsi Mwalimu alivyoharibu education as opposed to Mwinyi, Mwalimu alivyoharibu elimu as opposed to Mkapa, au Mwalimu alivyoharibu elimu as opposed to Kikwete, mtu mwenye elimu akishajumlisha na kutoa through hizi hoja ndio ana conclude kwamba Mwalimu aliharibu elimu, lakini sio kwa sababu ya kumjua Olof Palme na Bilt tu, mkuu vipi hatukwenda shule lakini we have an idea na hoja za compare and contrast, au?

Wazee wa sauti ya umeme FMES

Hakuna posti niliyodai kama mimi ni msomi. Na hakuna sehemu nilisema kuwa Koran au Biblia hazina data. Na sita-back down kusema kuwa mafundisho ya madrasa, kipa imara au sunday school ndio unayoleta hapa. Unataka watu tuamini bila kuwa na intellectual curiosity yoyote.

Katika miaka ya 90s kuna ukweli kuwa nchi za Scandinavia zilikuwa kwenye recession. Na recession hiyo iliwafanya wananchi kuchagua vyama vya ki-conservative ambavyo vilikuwa vina siasa kali kwenye matumizi ya misaada. Hawa walianza ku-question kila kitu walichotoa na walipunguza misaada.

Nyerere hakuwa corrupt lakini aliishi kwenye fantasy land. Industralization aliyofanya Tanzania ilipoteza pesa sawa na nchi kuwa corrupt (period). Na yeye sio pekee yake, Kwame Nkrumah, Kenneth Kaunda na nk.

Kuhusu hayo ya mambo ya Mama Mongella kuwa rais, i am not interested in kitchen talk za CCM. Jimama lenyewe Jizi. Ingawaje nipo offensive lakini that's the way it's.
 
Andindile:


Kuanzia mwanzo wa 80s. Wahisani wamebadilisha jinsi ya kutupa misaada. Hata wachumi wengi ambao wanaunga mkono misaada kwa nchi masikini; wanakubali kuwa literacy rate has got nothing to do with economic growth.

Lakini kulikuwepo na uongozi uliohakikisha kuwa usimamizi wa hiyo misaada unakuwa mzuri. Hive nae Nyerere angelimbikiza vijisent huko uswisi si ndio hali ingekuwa mbaya zaidi. Kama yeye mwenyewe aliamua kuishi kifkara ili angalau watu wake mpate chochote bado mnamlaumu. Je angefisidi?
 
Wanaomlaumu Nyerere kwa kuwakosesha elimu hawana sababu yoyote ya msingi ya kufanya hivyo ila walaumu mazingira wliyokuwa nayo wakati huo, ikiwa ni ujinga wa wazazi wao kukataa kuwapeleka shule, pingamizi za kutokana na itikadi za kidini au mila na desturi za makabila yao.

Nyerere hakubagua elimu apewe nani na nani asipate. ilikuwa haki ya kila mwenye uwezo na asiyekuwa na pingamizi lolote la kidini au kimila kupata elimu bure bila kujali asili yake. Wengi wetu tuliosoma enzi zile hatukulipia elimu bali tulikuwa tukigharimiwa na serikali kutokana na kodi za Wananchi, lakini hakukuwa na kigezo chochote zaidi ya kufaulu mitihani ambayo kila aliyekuwa na uwezo wa kufaulu aliendelea na masomo. Kama kulikuwa na upendeleo basi ni sababu ya watekelezaji wenyewe ambao walipotosha maana ya elimu hiyo kutolewa bure.
 
Wanaomlaumu Nyerere kwa kuwakosesha elimu hawana sababu yoyote ya msingi ya kufanya hivyo ila walaumu mazingira wliyokuwa nayo wakati huo, ikiwa ni ujinga wa wazazi wao kukataa kuwapeleka shule, pingamizi za kutokana na itikadi za kidini au mila na desturi za makabila yao.

Nyerere hakubagua elimu apewe nani na nani asipate. ilikuwa haki ya kila mwenye uwezo na asiyekuwa na pingamizi lolote la kidini au kimila kupata elimu bure bila kujali asili yake. Wengi wetu tuliosoma enzi zile hatukulipia elimu bali tulikuwa tukigharimiwa na serikali kutokana na kodi za Wananchi, lakini hakukuwa na kigezo chochote zaidi ya kufaulu mitihani ambayo kila aliyekuwa na uwezo wa kufaulu aliendelea na masomo. Kama kulikuwa na upendeleo basi ni sababu ya watekelezaji wenyewe ambao walipotosha maana ya elimu hiyo kutolewa bure.

Statiscs zitakujibu:

Selection of Std.VII Pupils to Form I in Dar es Salaam Region 1978 -1981

Year 1978
Total Selected 956
Muslims 216
Percentage of Muslims Selected 23


Year 1979
Total Selected 903
Muslims 194
Percentage of Muslims Selected 22


Year 1980
Total Selected 1071
Muslims 247
Percentage of Muslims Selected 23


Source: Dar es Salaam City Council, Department of Education.

NB: In 1967 census Muslims in Dar es Salaam Region were 67%, therefore the number of Muslim students in Dar es Salaam Primary Schools is greater than that of Christians. This should have reflected in the selection.


Jee, unajuwa kwamba wakati huo wanafunzi walikuwa selected kwa majina na si kwa namba?
 
..watu wakizungumza bila data mnawalaumu. wakiamua kuleta data mnageuza kibao mnasema zimeandaliwa na 'haters' wa Mwalimu.

..tufike mahali tukubali ukweli kwamba mfumo wetu wa elimu tangu enzi za Mwalimu unapoteza wanafunzi wengi sana kabla hawajafika chuo kikuu.

..enrollment ktk primary schools ni nzuri, lakini tuna wanafunzi wachache sana ktk shule za sekondari, chuo kikuu, pamoja na vyuo vingine vya elimu ya juu.



FMES,

..Tanzania ilikatiwa misaada kwa mara ya kwanza wakati wa utawala wa Mwalimu Nyerere.

..baada ya kuingia Mzee Mwinyi na kukubaliana na masharti na maelekezo ya IMF na WB wahisani wakarudisha tena misaada.

..ikafika mahali Mzee Mwinyi akajisahau. yeye na serikali yake wakajitumbukiza kwenye ufisadi na uzembe wa kutokukusanya kodi. wahisani wakaamua kutukatia tena misaada wakimshinikiza Mzee Mwinyi amuondoe waziri wake wa fedha Prof.Malima.

..Mkapa ndiye aliyekuja kurudisha tena imani ya wahisani kwa serikali yetu kwa juhudi zake za kulipa madeni, kudhibiti mfumuko wa bei, na kuruhusu wawekezaji wa nje.

Je, Kuruhusu 'wawekezaji' wa nje (mimi nawaita ni wachukuaji kwa sababu katika mikataba ya uchimbaji dhahabu wachukuaji hao huondoka na 97% ya mapato ya dhahabu huku si kuwekeza huu ni wizi wa mchana kweupe) kulikofanywa na Mkapa kumewasaidiaje Watanzania!?

Nyerere alipinga sana kudevalue shilingi yetu baada ya kushinikizwa kufanya hivyo na IMF na WB na alisimplify maelezo yake kwamba kama unadevalue pesa yako ni kuwaongezea mzigo wananchi wako. Mfano kama tulikuwa tunanunua trekta moja kwa maguni 10 ya kahawa baada ya devaluation trekta lile tungelinunua kwa magunia 15 ya kahawa. Je Watanzania tulifaidika vipi na devaluation ya shilingi yetu?

Mkapa nitampa crediti kwa kuongeza makusanyo ya kodi, lakini asilimia kubwa aliishia kulipa madeni na kuwaacha Watanzania bila maendeleo yoyote. Kwa ongezeko kubwa la kodi angeweza kufanya mambo mbali mbali kama kuboresha mashule yetu, mahospitali, kuongeza ajira n.k. lakini pamoja na ongezeko la makusanyo ya kodi waliofaidika ni wadeni wa Tanzania maana kiwango cha kulipa madeni hayo kiliongezeka sana na IMF na WB wakaanza kummwagia sifa kem kem Mkapa ambazo hakustahili wakatia Watanzania walio wengi wakiishi maisha ya ufukara wa kutisha.

Hakuna mahali popote duniani sera zinazopigiwa debe na WB na IMF zimewaletea mafanikio Wananchi wa nchi hizo na Tanzania imekuwa ni moja ya nchi hizo ndiyo maana tunaona siku za karibuni migomo ya wafanyakazi na wanafunzi katika vyuo vyetu vikuu mbali mbali kuongezeka maana Wananchi wanaona wakati wao wanaendelea kuishi katika umaskini wa kutisha mafisadi akina Mkapa, Mramba, Lowassa, Rostam, Chenge na wengineo wengi wakiwa mabilionea kwa kutuibia mali na rasilimali zetu.

Sera hata za kibepari zimeanguka katika nchi zinazofuata sera hiyo. Tunaona uchumi wa nchi kama Marekani, UK, Germany, France n.k. ulivyotetereka na hali hii haikusababishwa na Ujamaa pia sera za Elimu za nchi hiyo zinawaacha mamilioni ya watoto ambao wanakosa nafasi za kuendelea na elimu ya juu kutokana na kutokuwa na uwezo wa kumudu gharama hizo, kitu ambacho hakikutakiwa kitokee ukichukulia utajiri mkubwa wa nchi hizo na mabilionea wengi ndani ya nchi hizo. CCM pamoja na kufuata sera za kibepari lakini inaogopa kutamka hivyo hadharani lakini ukaingalia kwenye web site yao utadhani kwamba bado wanafuata siasa za ujamaa na kujitegemea. Pia tumeona juzi katika mkutano wa G20 jinsi Waingereza walivyondamana kupinga sera ambazo zimewafanya wengi wao wapoteze ajira zao na maandamano kayo yalifanyika pia Italy na France na kama uchumi wa dunia haukutengemaa haraka basi maandamano hayo yataongezeka kwa kasi sana katika nchi za magharibi na huu ni ushahidi mwingine wa kutosha wa kushindwa kwa sera za kibapari.

Kama alivyosema Mwalimu, UBEPARI NI UNYAMA na hadi hii leo bado naamini hivyo na kuna ushahidi chungu nzima wa kuonyesha kwamba ubepari ni unyama.
 
Lakini kulikuwepo na uongozi uliohakikisha kuwa usimamizi wa hiyo misaada unakuwa mzuri. Hive nae Nyerere angelimbikiza vijisent huko uswisi si ndio hali ingekuwa mbaya zaidi. Kama yeye mwenyewe aliamua kuishi kifkara ili angalau watu wake mpate chochote bado mnamlaumu. Je angefisidi?

Andindile:

Ni kweli kuwa Nyerere hakuwa fisadi. Kwenye kiSwahili tunatumia neno misaada. Lakini kwenye circles za wanaUchumi wanaoshughulikia misaada wanaweka misaada kwenye makundi mawili: Aid na Relief.

Aid ina lengo la nchi kuongeza economic growth na baadaye kujitegemea. Lakini kwetu imetufanya kuwa dependency.

Kwa upande Relief inatolewa kwa nchi zilizokumbwa na maafa lakini relief haina nia ya kuongeza shughuli za uchumi.

Kila mtu ana lawama zake au sababu zake kuhusu sera za Mwalimu. Kwa upande wangu mimi, sera zake hakuzi-drive economic growth (period).
 
Je, Kuruhusu 'wawekezaji' wa nje (mimi nawaita ni wachukuaji kwa sababu katika mikataba ya uchimbaji dhahabu wachukuaji hao huondoka na 97% ya mapato ya dhahabu huku si kuwekeza huu ni wizi wa mchana kweupe) kulikofanywa na Mkapa kumewasaidiaje Watanzania!?

Nyerere alipinga sana kudevalue shilingi yetu baada ya kushinikizwa kufanya hivyo na IMF na WB na alisimplify maelezo yake kwamba kama unadevalue pesa yako ni kuwaongezea mzigo wananchi wako. Mfano kama tulikuwa tunanunua trekta moja kwa maguni 10 ya kahawa baada ya devaluation trekta lile tungelinunua kwa magunia 15 ya kahawa. Je Watanzania tulifaidika vipi na devaluation ya shilingi yetu?

Mkapa nitampa crediti kwa kuongeza makusanyo ya kodi, lakini asilimia kubwa aliishia kulipa madeni na kuwaacha Watanzania bila maendeleo yoyote. Kwa ongezeko kubwa la kodi angeweza kufanya mambo mbali mbali kama kuboresha mashule yetu, mahospitali, kuongeza ajira n.k. lakini pamoja na ongezeko la makusanyo ya kodi waliofaidika ni wadeni wa Tanzania maana kiwango cha kulipa madeni hayo kiliongezeka sana na IMF na WB wakaanza kummwagia sifa kem kem Mkapa ambazo hakustahili wakatia Watanzania walio wengi wakiishi maisha ya ufukara wa kutisha.

Hakuna mahali popote duniani sera zinazopigiwa debe na WB na IMF zimewaletea mafanikio Wananchi wa nchi hizo na Tanzania imekuwa ni moja ya nchi hizo ndiyo maana tunaona siku za karibuni migomo ya wafanyakazi na wanafunzi katika vyuo vyetu vikuu mbali mbali kuongezeka maana Wananchi wanaona wakati wao wanaendelea kuishi katika umaskini wa kutisha mafisadi akina Mkapa, Mramba, Lowassa, Rostam, Chenge na wengineo wengi wakiwa mabilionea kwa kutuibia mali na rasilimali zetu.

Sera hata za kibepari zimeanguka katika nchi zinazofuata sera hiyo. Tunaona uchumi wa nchi kama Marekani, UK, Germany, France n.k. ulivyotetereka na hali hii haikusababishwa na Ujamaa pia sera za Elimu za nchi hiyo zinawaacha mamilioni ya watoto ambao wanakosa nafasi za kuendelea na elimu ya juu kutokana na kutokuwa na uwezo wa kumudu gharama hizo, kitu ambacho hakikutakiwa kitokee ukichukulia utajiri mkubwa wa nchi hizo na mabilionea wengi ndani ya nchi hizo. CCM pamoja na kufuata sera za kibepari lakini inaogopa kutamka hivyo hadharani lakini ukaingalia kwenye web site yao utadhani kwamba bado wanafuata siasa za ujamaa na kujitegemea. Pia tumeona juzi katika mkutano wa G20 jinsi Waingereza walivyondamana kupinga sera ambazo zimewafanya wengi wao wapoteze ajira zao na maandamano kayo yalifanyika pia Italy na France na kama uchumi wa dunia haukutengemaa haraka basi maandamano hayo yataongezeka kwa kasi sana katika nchi za magharibi na huu ni ushahidi mwingine wa kutosha wa kushindwa kwa sera za kibapari.

Kama alivyosema Mwalimu, UBEPARI NI UNYAMA na hadi hii leo bado naamini hivyo na kuna ushahidi chungu nzima wa kuonyesha kwamba ubepari ni unyama.


Unasema Ubepari ni Unyama, wakati nchi hiyo haiwezi kulipa mishahara ya wafanyakazi wake bila misaada ya kutoka mabepari.

Then unamsifu Mkapa kwa kukusanya kodi. Hizo kodi alikuwasanya kwa watu wanao-practise ubepari.

Son ubepari rocks.
 
Statiscs zitakujibu:

Selection of Std.VII Pupils to Form I in Dar es Salaam Region 1978 -1981

Year 1978
Total Selected 956
Muslims 216
Percentage of Muslims Selected 23


Year 1979
Total Selected 903
Muslims 194
Percentage of Muslims Selected 22


Year 1980
Total Selected 1071
Muslims 247
Percentage of Muslims Selected 23


Source: Dar es Salaam City Council, Department of Education.

NB: In 1967 census Muslims in Dar es Salaam Region were 67%, therefore the number of Muslim students in Dar es Salaam Primary Schools is greater than that of Christians. This should have reflected in the selection.


Jee, unajuwa kwamba wakati huo wanafunzi walikuwa selected kwa majina na si kwa namba?


Hebu angalia tena hiyo statement highlighted in red and dark green.....halafu naomba nieleweshe.......maana i don't see any relation statistically..........kujustfy the green statement nafikiri ungetumia enrollment numbers.....and not %ge population ya dar es salaam......my few cents
 
Unasema Ubepari ni Unyama, wakati nchi hiyo haiwezi kulipa mishahara ya wafanyakazi wake bila misaada ya kutoka mabepari.

Then unamsifu Mkapa kwa kukusanya kodi. Hizo kodi alikuwasanya kwa watu wanao-practise ubepari.

Son ubepari rocks.


Ha ha grandson, unasema ubepari rocks halafu huna any evidence ya kusupport arguments zako. Kama ubepari rocks ilikuwaje hadi nchi zinazofuata sera hizo kutetereka kiuchumi? Ni akina nani hao ambao wanapractice ubepari Tanzania? Wakulima na Wafanyakazi wanaolipwa mishahara na siku tano tu kwa mwezi na kulaliwa katika bei zao za mazao wanayozalisha ndiyo wanaopractice ubepari? Je hujui uchumi wa nchi zote zilizokumbatia mfumo wa kibepari dunia uchumi wao umeanguka? Au walibadilisha mfumo hu na kuanza kupractice ujamaa!? Acha alinacha zako!!!!
 
Ha ha grandson, unasema ubepari rocks halafu huna any evidence ya kusupport arguments zako. Kama ubepari rocks ilikuwaje hadi nchi zinazofuata sera hizo kutetereka kiuchumi? Ni akina nani hao ambao wanapractice ubepari Tanzania? Wakulima na Wafanyakazi wanaolipwa mishahara na siku tano tu kwa mwezi na kulaliwa katika bei zao za mazao wanayozalisha ndiyo wanaopractice ubepari? Je hujui uchumi wa nchi zote zilizokumbatia mfumo wa kibepari dunia uchumi wao umeanguka? Au walibadilisha mfumo hu na kuanza kupractice ujamaa!? Acha alinacha zako!!!!

Evidence gani unataka? Ni nani ameshika bakuli la kuombaomba? Ubepari uli-survive great depression, cold war na uta-survive current crisis.

Endelezeni emotional appeals zenu hapa.
 
Dar - Es - Salaam,
Mkuu wangu hapa ndipo tunapokosana.. Watu tunapoanza kuitazama elimu au huduma yoyote kwa rangi zake..
Sasa sijui kwa mtazamo wako, asilimia ya Wanawake kuendelea na masomo ilikuwa ngapi? na vipi Wakerewe asilimia yetu ilikuwa ngapi? sii tunataka kutafuta ukweli wa elimu kutokana na tabaka zetu....
Haya, miaka hiyo hiyo wakati Dar wamechaguliwa ktk wastani ya watoto 900 kila mwaka, Mkoa wa Mara ambao una asilimia kubwa ya Wakristu walichaguliwa watoto 200 (wastani) kwa mwaka..Ina maana Nyerere pia alipendelea mkoa wa Dar es Salaam akasahau kwao Mara!..

Mkuu tunaweza kulaumu hata Mungu mwenyewe muumba kama tutapenda kulaumu..ndio asili ya maskini LAWAMA always kuna mkono wa mtu ktk mafanikio yake..Na kwa nini Mungu katupa Nyerere kuwa rais wetu! sii ndio dini inawafundisha hivyo kuwa kila kinachotokea ni kwa rehma zake!.. sasa wewe unapingana na rehma ya Mungu alokupa?..

Mkuu wangu, yawezekana kulikuwepo hakuna usawa lakini ni vizuri sana unapowakilisha hoja kuambatanisha na pass mark za Waislaam.. mathlan kati ya waislaam waliopata mark.. blaa blaa blaa blaa walikuwa selected kuendelea na masomo ni asilimia kadhaa ukilinganisha na Watu wasiokuwa Waislaam wenye mark hizo hizo..
 
Evidence gani unataka? Ni nani ameshika bakuli la kuombaomba? Ubepari uli-survive great depression, cold war na uta-survive current crisis.

Endelezeni emotional appeals zenu hapa.

Ushahidi kwamba ubepari rocks, mimi nimekuonyesha ushahidi kwa kuanguka kwa ubepari. Deni la nje 10 Triilion dollars Budget deficit almost 2 Trillion Dollars, Unemployment 8.5% and rising halafu bado unasema ubepari rocks!!!! Ha ha ha ha grandson wewe kweli bado!!!! Unatetea vitu ambavyo havistahili kutetea maana kuna ushahidi wa kutosha kwamba ubepari umeshindwa siyo katika nchi moja tu nchi chungu nzima sasa wengine wameshaanza kelele za kuubadilisha mfumo huo, lakini wewe na alinacha zako bado tu unaupigia debe!!!!
 
statiscs zitakujibu:

selection of std.vii pupils to form i in dar es salaam region 1978 -1981

year 1978
total selected 956
muslims 216
percentage of muslims selected 23


year 1979
total selected 903
muslims 194
percentage of muslims selected 22


year 1980
total selected 1071
muslims 247
percentage of muslims selected 23


source: Dar es salaam city council, department of education.

Nb: In 1967 census muslims in dar es salaam region were 67%, therefore the number of muslim students in dar es salaam primary schools is greater than that of christians. This should have reflected in the selection.


jee, unajuwa kwamba wakati huo wanafunzi walikuwa selected kwa majina na si kwa namba?

kutoka 1967 mpaka 1978 watu wangapi wameamia kutoka mikoani kuja dar? Najua una acess na jiji watakupa statistics waulize

halafu ujasema 1978 waislamu walikuwa ni % ngapi.

Lazima uwelewe kuwa watu wengi waliosoma ni wachaga, wasukuma, wanyakyusa na wahaya na hawa wengi ni wakristu na hii kwa ajili ya sababu za kihistoria na sio dini.

Inaonekana dar es salaam umekasirishwa na nyerere kutaifisha shule zenu(wahindi). Ndio maana unaweka statistics nusu nusu ili kuleta uchochezi na watu wamchukie nyerere.
 
Hebu angalia tena hiyo statement highlighted in red and dark green.....halafu naomba nieleweshe.......maana i don't see any relation statistically..........kujustfy the green statement nafikiri ungetumia enrollment numbers.....and not %ge population ya dar es salaam......my few cents

Soma juu ya hiyo mistari uliyoiweka rangi enrollment number should be nearest to population. Kama hujaziona itakuwa shida kubwa kukuonyesha kitu kilicho wazi.
 
kutoka 1967 mpaka 1978 watu wangapi wameamia kutoka mikoani kuja dar? Najua una acess na jiji watakupa statistics waulize

halafu ujasema 1978 waislamu walikuwa ni % ngapi.

Lazima uwelewe kuwa watu wengi waliosoma ni wachaga, wasukuma, wanyakyusa na wahaya na hawa wengi ni wakristu na hii kwa ajili ya sababu za kihistoria na sio dini.

Inaonekana dar es salaam umekasirishwa na nyerere kutaifisha shule zenu(wahindi). Ndio maana unaweka statistics nusu nusu ili kuleta uchochezi na watu wamchukie nyerere.

Nyerere hakutaifisha shule za wakiristo, ametaifisha za waIslam, ikiwa ni moja ya hila zake za kuwauwa waIslam kielimu, ya wahindi hayo utajaza wewe.

Au huijui sababu ya nyerere kutaka kupewa utakatifu ni nini?
 
Back
Top Bottom