Unknown philosopher
Member
- Sep 3, 2022
- 38
- 86
Habari wana jamii.
Huwa nashindwa kuelewa kwanini unakubali kupigwa picha za utupu na mpenzi wako wakati wa kufanya ngono.
Je, hufikirii kuwa mkiachana yaweza kuwa kama ndo fimbo ya kukuchapia pindi akizivujisha?
Tubadlikeni jamani tusiige ulimbukeni
Huwa nashindwa kuelewa kwanini unakubali kupigwa picha za utupu na mpenzi wako wakati wa kufanya ngono.
Je, hufikirii kuwa mkiachana yaweza kuwa kama ndo fimbo ya kukuchapia pindi akizivujisha?
Tubadlikeni jamani tusiige ulimbukeni