Magoya2000
JF-Expert Member
- May 7, 2017
- 641
- 1,265
Habari za Sikukuu! Niende kwenye maada, katika pita pita zangu nimegundua wanaume wengi wanapenda Wadada wenye Mizigo.
Tena wkt mwingine hata wakipita barabarani wanyabi wanashusha vioo Ili kuangalia Kwa uzuri.
Sasa najiuliza Kwa Nini mizigo Yako haiwafanyi watoboe kimaisha maana wengi mwishowe wanaangukia kuwa wauza Samaki na kuwa chakula Cha wavuvi.
Tena wkt mwingine hata wakipita barabarani wanyabi wanashusha vioo Ili kuangalia Kwa uzuri.
Sasa najiuliza Kwa Nini mizigo Yako haiwafanyi watoboe kimaisha maana wengi mwishowe wanaangukia kuwa wauza Samaki na kuwa chakula Cha wavuvi.