Baadhi.ya wanaume wakitka kukuvutia kamba wakiona wanashindwa hutuambia.tunadharau kumbe wengine wala.... wengine tuna aibu hatuwez salimu au kuchat na mtu every time...
Yani mwanaume unalalamika loh.. kufanikiwa ni kushikana mkono na kuvutana no matter what ni mwanaume au mwanamke .. we kalia kupiga domo utaisoma namba tu
Hahaha umeongea kwa uchungu yamekukuta poleeee
Sio wote ila halafu tabia ya mtu hujui mpaka apate hela so juwa hilo
Mwanamke ili afanikiwe ni juhudi zake tu ndizo zinazohitajika and nothing else....
Hakuna mwanaume anayeweza kumfanya mwanamke akaendelea. Kama ulimuhonga gari ni lako sio lake na kuita ni maendeleo ni sawa na wale wanaokaa barabarani usiku ili wale.
Kuwa so proud na maendeleo ambayo mwanamke ameyaleta mwenyewe ni vema ila kujiona usababishwa na ushamba wa ivo vitu.
umesema mwanamke hawajiwezi? maskini wee pole.. nasjhindwa kuandika mengi nimekupa pole kwa mara ya pili
Kwa vyovyote vile nilijua tu lazima wanawake mmshambulie mleta mada.. Haiwezekani mkakubaliana Na alichokilenga.. Hahaha
Nadhani mleta mada kaona mbali sana
Nilikuwa nasubiri kwa hamu comment yako kwny mada hii we mtoto...kwani amekalia kupiga domo au kasema ukweli? Labda Kama wewe huringi ringi
Wenzio wakishakuwa na Vitz kinachofuata ni miwani kubwa kama wale mabwana shamba wa zamani,Vimini na ufunguo umening'inia mkononi bila kusahau smartphone yake mkono mwingine masaa 24.
Halafu route za kwenda kwenye ATM,bank na supermarkets haziishi hata kama ana buku ya vocha kwny pochi,na akikuona njiani ni kujifanya hajakuona kabisa.
Wanajidai sana maana papuchi imewalipa
Mwanamke huyo-huyo akikushobokea utamuita malaya.
Mimi ninapoishi mtu kama hakujui hakusalimii kwasababu hamjuani.
Kuna watu ni wachokozi sijapata ona!kila nikikuona nakumbuka habari za kufika home mwepesiiiii baada ya foleni
Mimi siringi kabisa