Kwanini wanawake wengi smart kichwani, hawako romantic?

Kwanini wanawake wengi smart kichwani, hawako romantic?

Wewe mkuu haumo kabisa ktk group hilo

Lbd kama unatoa tangazo tu

Hili jukwaa wanachunguliaga tu na kusepa

Ila vinanihii ndo vipenzi vya huku


Samahani lkn

Teh
Atleast umeandika point
 
Aissee hiyo kitu ni kweli kabisa. Kuna dada mmoja oficn hapa kama uzuri Mungu aliumba akaumbika, dada hatumii makeup lakini anawaka kama jua,simply she is beautiful. Alaf kasoma, she is smart, ukikaa ukamsikiliza ana ideas nzuri kweli za maendeleo. Ila sasa kwenye pande za love ni zero kabisa. Sijui ni kuwa hajui au muda mwingi anawaza maendeleo.
 
Halafu wanawake wa style hii, usiombe akushtukie umechepuka. Aisee atakuchukia milele. Kusamehewa sahau.

Na kma ndo mmepanda tu kitandani, au akakwambia "WE NEED TO TALK", na labda jana yke tu ulizingua kitu, daaah, utatamani ujikojolee. Wanapenda uwe straight to the point, na hata ukiadmit kosa bado atakomaa tu. Yan haelewi kwann ukosee.

Wakishajijua kwmb sehemu fulan WANA HAKI, au kitu fulan ni HAKI YAO, hata kma sio, atakomaa mpk utajjuta. KUBISHANA NA MUME WAKE ITS NOT AN ISSUE KABISA YAN.
Thats why nikishaona hizo trait huwa nakwepa mapema coz i know mbeleni mambo yatakuwa magum.
 
Kuna mmoja nilimpa mimba akiwa form five akakatisha masomo ili ajifungue baada ya kujifungua aliendelea na masomo na sasa yupo mwaka pili UD na mtoto wetu ana mitatu
cha ajabu toka nimempa mimba hatukuwai kusex hadi hii leo na anaishi kwa na tunawasiliana fresh tu ......wanawake wa dizain hii inataka moyo kua nao
 
Hayo mambo tuwaachie kina Mwajuma ndala ndefu watoto wa uswazi wanakunyonya mpaka pumbu
 
walishafundishwa toka awali na wakawa waaminifu kuwa mapenzi hayana maana katika maisha na wakati mwingine hupoteza dira na mipango ya mbele.
hivyo akili yao ilishazoea na kuamini hivyo. wengi wa hawa wanawake sio mazinzi kabisa kwa kweli ni waaminifu sana tatizo tu wanakabiliwa na changamoto ya wanaume mazinzi wasio tulia ambao hawako tayari kuwaeleza wanataka nini kwa wapenzi wao na wao wajifunze huitaji wao matokeo yao wanaamua kutafuta wanawake wengine.
Kuna wanawake hawabadiliki hata kwa mafunzo au uvumilivu. Ukiwa na mwanamke wa hivyo maana yake hukujipanga na labda mapenzi yenu yalikuwa ya juu juu tu. Sasa upo ndani ya ndoa unagundua mengi na kushindwa kufanya maamuzi.
 
Kuna mmoja nilimpa mimba akiwa form five akakatisha masomo ili ajifungue baada ya kujifungua aliendelea na masomo na sasa yupo mwaka pili UD na mtoto wetu ana mitatu
cha ajabu toka nimempa mimba hatukuwai kusex hadi hii leo na anaishi kwa na tunawasiliana fresh tu ......wanawake wa dizain hii inataka moyo kua nao

Wewe ndo hukutaka kuliendeleza mkuu
 
Hiyo ndio maana ya balance of nature, its diversive
 
Halafu wanawake wa style hii, usiombe akushtukie umechepuka. Aisee atakuchukia milele. Kusamehewa sahau.

Na kma ndo mmepanda tu kitandani, au akakwambia "WE NEED TO TALK", na labda jana yke tu ulizingua kitu, daaah, utatamani ujikojolee. Wanapenda uwe straight to the point, na hata ukiadmit kosa bado atakomaa tu. Yan haelewi kwann ukosee.

Wakishajijua kwmb sehemu fulan WANA HAKI, au kitu fulan ni HAKI YAO, hata kma sio, atakomaa mpk utajjuta. KUBISHANA NA MUME WAKE ITS NOT AN ISSUE KABISA YAN.
Kuna mdada mmoja ni medical doctor kichwa kinoma,aliolewa akiwa bikra kabisa sasa kwenye ndoa Mume wake alizaa na beki 3,yule Dada mpaka Leo amegoma kumsamehe mumewe na alivyojeuri aliwaachia Nyumba akaanza maisha Yake na wanawe ,Mungu amemsaidia amejenga ghorofa mbweni Mara baada ya kuachana na Mume wake,yaani wanawake bright ukicheat hakusamei milele
 
Hapana mwanzo kutokana na situation za mimba akiwa dent nlijiweka pembeni kidogo ila nw yupo busy na masomo na dini tu kila ukigusia anasisitiza mpaka amalize masomo

Huyo anaogopa asije akaidaka ingine .......angekuwa hataki kweli msingekuwa na mawasiliano ,hapo ni wewe unatakiwa kumbrainwash kidogo aondoe anachokiwaza atakubali tuuu

Sometime a girl anataka kuwa pushed wewe ndo unamaamuz ya do’s na don’t na sio kusikiliza kila anachokwambia .....mpe maneno ikishindikana mwambie amlete mtoto umuone au mtoke out na mtoto lazima aingie king siku ingine atajileta mwenyew .
 
Halafu hawa smart tatizo lao jingine ni kwamba HATA ULE UTANI UTANI WA KIMAPENZI HAWATAKI. Na ndio maana hata kuwaandaa kwny mgegedo kazi sana kwa sababu they dont respond positively hata ukianza kumchezea chezea. Yan ni kama hawana genye kabisa. Hata kissing kwao shida. Aaaarggh...!!!

Wanamatch sana wakikutana na mwanaume cool, ila wanaboa sn wakikutana na kina sisi wapenda utani kila dakika..!! Yan utafikir umekaa na msukule.

RAHA YA MPENZI AJIBEBISHE BANA, hapo hata dudu linashtuka. Unavuta ndani, unapiga kimoko au viwili fasta, maisha yanaenda.....!!!
 
Huyo anaogopa asije akaidaka ingine .......angekuwa hataki kweli msingekuwa na mawasiliano ,hapo ni wewe unatakiwa kumbrainwash kidogo aondoe anachokiwaza atakubali tuuu

Sometime a girl anataka kuwa pushed wewe ndo unamaamuz ya do’s na don’t na sio kusikiliza kila anachokwambia .....mpe maneno ikishindikana mwambie amlete mtoto umuone au mtoke out na mtoto lazima aingie king siku ingine atajileta mwenyew .
. We mwanamke nimekupenda ghafla. Trick zako tamu sn. We inaelekea ndo walewale romantic, sio smart hata kdg.

UNAFAA KWA MATUMIZI YA BINADAMU WEWE...!!!
 
Back
Top Bottom