Kwanini wanawake wengi smart kichwani, hawako romantic?

Kwanini wanawake wengi smart kichwani, hawako romantic?

Mi mgeni tu wa hizi mambo wacha nianze research
 
walishafundishwa toka awali na wakawa waaminifu kuwa mapenzi hayana maana katika maisha na wakati mwingine hupoteza dira na mipango ya mbele.
hivyo akili yao ilishazoea na kuamini hivyo. wengi wa hawa wanawake sio mazinzi kabisa kwa kweli ni waaminifu sana tatizo tu wanakabiliwa na changamoto ya wanaume mazinzi wasio tulia ambao hawako tayari kuwaeleza wanataka nini kwa wapenzi wao na wao wajifunze huitaji wao matokeo yao wanaamua kutafuta wanawake wengine.
 
mhn! wewe utakuwa afadhali kwa kuwa angalau unaangalia mitandao ninaye boss wangu hapa hana muda hata wa kuingia huko yeye ni maendeleo na kumtafuta MUNGU basi hana muda wa kukufatilia.
 
Wanaochkua mechanical engneering, electrical engneering, hii inawahusu hasaaa yani wako seriously mpaka kumeza mate yake anaona anapoteza Muda Muda wote solving tuu


Hawa dawa yao una muanzia huko huko chuoni kabla madesa hayajawa mengi Anakuwa romantic tu
 
Mtu smart lazima kila kitu ajiulize 'why '. Hata akipata genye atajiuliza why? Ukimbusu atajiuliza why? Ndio maaa utakuta wee uko busy balaa...kumbe mwenzako anajiuliza why. Watu smart hawalegei hovyohovyo. Ukikuta mtu analegea hovyohovyo eti yuko romantic, chunguza vyeti vyake.

hahaha aisee umenikumbusha movie ya marehemu kanumba Mungu amulaze mahali pema peponi.
 
Mtu smart lazima kila kitu ajiulize 'why '. Hata akipata genye atajiuliza why? Ukimbusu atajiuliza why? Ndio maaa utakuta wee uko busy balaa...kumbe mwenzako anajiuliza why. Watu smart hawalegei hovyohovyo. Ukikuta mtu analegea hovyohovyo eti yuko romantic, chunguza vyeti vyake.

hahaha aisee umenikumbusha movie ya marehemu kanumba Mungu amulaze mahali pema peponi.
 
Ndoa ku
Mapenzi ni overrated... sio ya kuendekeza sana na kuyawaza kila saaa.....

ulaya, asia na north america wanaendelea sana sababu mapenzi kwao sio kitu cha kuwasumbua akili sana

na ndoa zao kuvunjika sio ishu

Ndoa kuvunjika sio ishu kivipi unamaanishawa kuwa doa kuvunjika ni kawaida?
 
Aisee hio kitu ni true kinoma, ongezea hapo usipoomba game hatakaa aulizie hilo swala kabisa. Ye mapenzi kwake sio priority kabisa. Ila trust me ukitaka kupata watoto smart upstairs zaa na mwanamke wa hivyo.
Sure...!! Usipoomba game, hatakaa aulizie hata siku moja.
 
Back
Top Bottom