Kwanini wanawake wengi smart kichwani, hawako romantic?

Kwanini wanawake wengi smart kichwani, hawako romantic?

inategemea...
wapo walio smart na wanayajua mapenzi...japo sio sana
 
yani swali lako lina jibu hapo hapo.. “kwann kusipokua na mwanga kuna giza”
 
Mara nyingi huwa wamejaza mafile kichwani, hawana time na maniaje kabisa.
 
Katika hali ya kawaida lazima mwanamke msomi aolewe na chizi,hapo ndo inakuwa sawa
 
Aissee hiyo kitu ni kweli kabisa. Kuna dada mmoja oficn hapa kama uzuri Mungu aliumba akaumbika, dada hatumii makeup lakini anawaka kama jua,simply she is beautiful. Alaf kasoma, she is smart, ukikaa ukamsikiliza ana ideas nzuri kweli za maendeleo. Ila sasa kwenye pande za love ni zero kabisa. Sijui ni kuwa hajui au muda mwingi anawaza maendeleo.
Ameolewa mkuu? Ndio naotaka hao
 
Unawasema wanawake wa K/Koo??

Ila ney wa mitego alisema.....Mungu hawezi kukupa vyote dem ana sura mbaya ila na bonge la tako.
 
Back
Top Bottom