Kwanini wanawake wengi smart kichwani, hawako romantic?

Kwanini wanawake wengi smart kichwani, hawako romantic?

Halafu wanawake wa style hii, usiombe akushtukie umechepuka. Aisee atakuchukia milele. Kusamehewa sahau.

Na kma ndo mmepanda tu kitandani, au akakwambia "WE NEED TO TALK", na labda jana yke tu ulizingua kitu, daaah, utatamani ujikojolee. Wanapenda uwe straight to the point, na hata ukiadmit kosa bado atakomaa tu. Yan haelewi kwann ukosee.

Wakishajijua kwmb sehemu fulan WANA HAKI, au kitu fulan ni HAKI YAO, hata kma sio, atakomaa mpk utajjuta. KUBISHANA NA MUME WAKE ITS NOT AN ISSUE KABISA YAN.
 
Nampenda sana Mungu
Huwa hatoagi vyote ili kubalance nature....
 
Wengi wa hawana wanawake, ndoa zao zimewashinda. Kwasababu ya kua bize kusoma sana au kufanya kazi sana.
Na wengi wao hawana mvuto, hila ni wanawake wazuri kufanya nao kazi zaidi ya kumuweka ndani.
Hawana muda wa fashion wala Brazilian hair
 
Inashauriwa na inapendeza sana, kwa mwanaume yeyote anapotafuta mwenza wa maisha, basi aoe mwanamke smart kichwani na sio hopeless, ili pamoja na kuwa na familia nzuri na bora, mnaweza pia kusaidiana kupambana na changamoto mbalimbali za maisha. And of course kuna faida nyingi tu, kuwa na mwanamke aliye smart upstairs.

Tatizo lililopo kwa hawa wanawake smart kichwani ni kwamba wengi wao sio romantic. Huchukulia mapenzi kwao kama ni kitu cha tatu after maendeleo yao binafsi, na kuwa bize na other issues kma kusoma kila wakati na ikitokea kuna mabishano au kupishana kidogo tu, they never go down, na ni wachache mno kukuta wanaomba samahani, regardless kosa ni la nani. Atapambana mpaka mwisho hata kama kakosea yeye.

Na kwakuwa mapenzi kwa wengi wao hawayapi kipaumbele, basi kitandani wanachojua wao dushelele likiingia basi, ndo washamaliza. Hakuna utundu wowote. Hapa sasa mume akijaribu tu kuchepuka kwa kina Mwajuma Sinanoma, Aisha, etc, watoto ambao ni wa uswazi, lazima apagawe.

Maneno yangu sio sheria!
Noted
 
Mapenzi ni overrated... sio ya kuendekeza sana na kuyawaza kila saaa.....

ulaya, asia na north america wanaendelea sana sababu mapenzi kwao sio kitu cha kuwasumbua akili sana

na ndoa zao kuvunjika sio ishu
mkuu hao nikama mimi tu ...mapenzi kwangu ni sec .preority ""

dahhghh hii scenario asije kuiona mwafulani
 
Mtu smart lazima kila kitu ajiulize 'why '. Hata akipata genye atajiuliza why? Ukimbusu atajiuliza why? Ndio maaa utakuta wee uko busy balaa...kumbe mwenzako anajiuliza why. Watu smart hawalegei hovyohovyo. Ukikuta mtu analegea hovyohovyo eti yuko romantic, chunguza vyeti vyake.
HAHAAAA
 
Back
Top Bottom