Kwanini wanawake wengi smart kichwani, hawako romantic?

Kwanini wanawake wengi smart kichwani, hawako romantic?

Huyo anaogopa asije akaidaka ingine .......angekuwa hataki kweli msingekuwa na mawasiliano ,hapo ni wewe unatakiwa kumbrainwash kidogo aondoe anachokiwaza atakubali tuuu

Sometime a girl anataka kuwa pushed wewe ndo unamaamuz ya do’s na don’t na sio kusikiliza kila anachokwambia .....mpe maneno ikishindikana mwambie amlete mtoto umuone au mtoke out na mtoto lazima aingie king siku ingine atajileta mwenyew .
Owky ntatumia hizo njia
 
Kuna mmoja nilimpa mimba akiwa form five akakatisha masomo ili ajifungue baada ya kujifungua aliendelea na masomo na sasa yupo mwaka pili UD na mtoto wetu ana mitatu
cha ajabu toka nimempa mimba hatukuwai kusex hadi hii leo na anaishi kwa na tunawasiliana fresh tu ......wanawake wa dizain hii inataka moyo kua nao
Wazazi wake ilikuaje???? Sidhan kama unamuoa huyo
 
Wazazi wake ilikuaje???? Sidhan kama unamuoa huyo
Wazazi nilishirikiana nao mpaka akajifungua na huduma nlikua napeleka ila kwasasa wanataka niende na wazee ili tukafamiane vizuri nafkiri nakupigana fine maana wanasema nisiende pale mpaka waje wazee wangu sijajua nifaini au kuna ishu kupeana mke binafsi nipo tayari kua naye coz tayari tumezaa mtoto
 
Wazazi nilishirikiana nao mpaka akajifungua na huduma nlikua napeleka ila kwasasa wanataka niende na wazee ili tukafamiane vizuri nafkiri nakupigana fine maana wanasema nisiende pale mpaka waje wazee wangu sijajua nifaini au kuna ishu kupeana mke binafsi nipo tayari kua naye coz tayari tumezaa mtoto
Duu!!!! Kwa hiyo game haupigi Naye??? Huyo ni mke wako tayar
 
umeongea ukwel mtupu,
Ukifanya kosa lazma ujieleze na maelezo yatosheleze ueleweke,lakn mara nying anakuwa anapotezea makosa siku akiliamsha unalo maana swal juu ya swal mwanaume muongo hapo lazma uhame au ubadilike..ila ni waaminifu sana weng wao hawana mambo mengi.
Usiwe smart sn. Kuwa smart ni vizuri, ila hasara ni nyingi sn kwa sababu umezungukwa na watu almost 90% ambao sio smart. So u have to change. Your smartness cannot be applie to all issues.
 
Halafu wanawake wa style hii, usiombe akushtukie umechepuka. Aisee atakuchukia milele. Kusamehewa sahau.

Na kma ndo mmepanda tu kitandani, au akakwambia "WE NEED TO TALK", na labda jana yke tu ulizingua kitu, daaah, utatamani ujikojolee. Wanapenda uwe straight to the point, na hata ukiadmit kosa bado atakomaa tu. Yan haelewi kwann ukosee.

Wakishajijua kwmb sehemu fulan WANA HAKI, au kitu fulan ni HAKI YAO, hata kma sio, atakomaa mpk utajjuta. KUBISHANA NA MUME WAKE ITS NOT AN ISSUE KABISA YAN.
Hahaaaa nimechekaa, duuh!!
 
Aissee hiyo kitu ni kweli kabisa. Kuna dada mmoja oficn hapa kama uzuri Mungu aliumba akaumbika, dada hatumii makeup lakini anawaka kama jua,simply she is beautiful. Alaf kasoma, she is smart, ukikaa ukamsikiliza ana ideas nzuri kweli za maendeleo. Ila sasa kwenye pande za love ni zero kabisa. Sijui ni kuwa hajui au muda mwingi anawaza maendeleo.
Naomba namba zake mkuu
 
Tatizo jingine la hawa WANAWAKE SMART UPSTAIRS, hata kuwatoa OUT tu, utaboreka..!! Labda zile outings za nyie wawili tu au muwe na watoto wenu tu. Na hata hizo, kwa sababu wewe haupo smart kma yeye, atakuboa.

Ukisema umpeleke mazingira ya kama bar hv (cz sio lazima kila siku mtoke wawili), ukishakutana na washkaji ukajichanganya nao kwa story za hapa na pale, labda na wao pia wapo na wake zao, ikishafika muda story ndo zimenoga balaa, yeye anakubonyeza au anakutext TUONDOKE...!!

Club ndio hata usiwaze. HAMUWEZI KWENDA
 
Back
Top Bottom