Wengi ni single mother kwa sababu ya tabia zao.Unakuta binti tabia zake ni za umalaya na hawezi kutulia na mwanaume mmoja hata mimba ya mtoto aliyenaye hakujua mhusika ni yupi kutokana na tabia zake hivyo ikapelekea akataliwe na mbaya zaidi ni pale akiongeza mtoto wa pili naye akakataliwa,Hiyo ndiyo inakuwa tiketi ya forever single mother
ukishakuwa single mather wewe sahau watu kuweka kambi watu wanataka kusasambua mbususu na kusepa zao. value yako kama mwanamke ilishashuka.