Kambi ya Fisi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,462
- 21,945
Mama Tozo keshatoboa siri, kwamba wadada wa leo wengi ni wacheza football hivyo hawana mvuto kwa wanaume, yaani ni vijeba kama kina Morrison na Dilunga tu, sasa mwanaume gani ataoa mdada wa hivyo š¤£š¤£