Caroline Danzi
JF-Expert Member
- Dec 19, 2008
- 3,713
- 1,269
Asante kwa kutukumbusha, inakera sana ukiwa na kitambi.
Jamani kwa nini ongezeko la wanawake wenye vitambi limekuwa kubwa?
Idadi ya wanaume inapungua lakini ya wanawake inaongezeka!
Kitambi kwa mwanamke kinapunguza mvuto au hamlijui hilo nyie wanawake?
Kinakumaliza nini sasa .............................................!:A S 39:
Mkuu Kimbweka Wanawake wengi siku hizi wantoka kitambi kwa sababu ya Wanatumia Dawa za uzazi wa mpango. Madhara ya uzazi wa mpango w a kisasa ni hatariJamani kwa nini ongezeko la wanawake wenye vitambi limekuwa kubwa?
Idadi ya wanaume inapungua lakini ya wanawake inaongezeka!
Kitambi kwa mwanamke kinapunguza mvuto au hamlijui hilo nyie wanawake?
Mkuu Kimbweka Wanawake wengi siku hizi wantoka kitambi kwa sababu ya Wanatumia Dawa za uzazi wa mpango. Madhara ya uzazi wa mpango w a kisasa ni hatari
kwa afya, haswa kwa nduguzetu wenye jinsia ya kike miongoni mwa madhara kwa watumiaji wa Vidonge, Sindano n.k ni;
- Kansa ya kizazi na matiti
- Kuvurugika kwa kalenda
- Kushindwa kushiriki vyema tendo la ndoa (kwa wanandoa) au uzinifu (kwa wasio wanandoa)
- Kutokwa na tumbo (mithili ya kitambi) kwa wanawake.
- Kupata ujauzito kwa kubahatisha.
- Mengineyo...
Jamani kwa nini ongezeko la wanawake wenye vitambi limekuwa kubwa?
Idadi ya wanaume inapungua lakini ya wanawake inaongezeka!
Kitambi kwa mwanamke kinapunguza mvuto au hamlijui hilo nyie wanawake?
Hii ya vitambi iko hasa kwa wanawake wa ki iraqw(wambulu) karatu.Utakuta binti mdogo tu ana kakitambi,sijui tatizo ni nini.
mimi navipenda!!
Mkuu Kimbweka Wanawake wengi siku hizi wantoka kitambi kwa sababu ya Wanatumia Dawa za uzazi wa mpango. Madhara ya uzazi wa mpango w a kisasa ni hatari
kwa afya, haswa kwa nduguzetu wenye jinsia ya kike miongoni mwa madhara kwa watumiaji wa Vidonge, Sindano n.k ni;
- Kansa ya kizazi na matiti
- Kuvurugika kwa kalenda
- Kushindwa kushiriki vyema tendo la ndoa (kwa wanandoa) au uzinifu (kwa wasio wanandoa)
- Kutokwa na tumbo (mithili ya kitambi) kwa wanawake.
- Kupata ujauzito kwa kubahatisha.
- Mengineyo...