1. Msosi hasa nyama choma, kiti moto, bia, chips yai, kuku. Kwa wasiofanya haya ni kutokana na kuzaa pia wengine hawajazaa kabisa ila wanamatumbo makubwa hiyo inatokana na maumbile ya mwanamke nature.
2. Idadi ya mashoga imeongezeka hivo upungufu lazima uonekane na upande wa pili kuonekana imezidi.
3. Tunafaham sana ila kwa tulioolewa wanaume wachache sana wanaruhusu wake zao kwenda gym kupunguza vitambi kutokana na sababu hapo juu kwa ajili ya wivu kutokana na mavazi ya gym na kuwa na mchanganyiko wa wanawake na wanaume kule gym. Ila designers wamewasaidia kinadada wenye shida hiyo kwa kuwaletea nguo za kuficha tumbo na mvuto unakuwa palepale ila usiku ili usione unazima taa kabla ya kuvua nguo na mwiko kuoga pamoja.
NB; waschana wengine baada ya kuzaa wanawanyima watoto haki yao ya kunyonya na kuacha kula kujaza maziwa kwa kuanza kufanya diet, ili wasiharibike shepu na wengine hupata vidonda vya tumbo. Warembo ukipata mwanaume anayekuumiza kichwa juu ya umbo lako huyo hajakupenda ulivo au utakavobadilika utakujaumia hata kutafuta vya wachina kansa yako bibi bora usizaa na ukipu figa-hili ni angalizo langu tuu usinifuate
Sijui nimejibu maswali yako pole kwa kuumia kichwa lol!