Kwanini wanawake wengi hawapendi kutumia condom?

Kwanini wanawake wengi hawapendi kutumia condom?

Hao watakua wanajijua kama maiti watarajiwa,na hata mwanamme mwenye akili zake akimuona mwanamke mwenye style hiyo jiulize kabla yako wewe amesha wavulia wangapi na hao kwenye wangapi wazima wangapi?
Mda huo wengi hawana control over their minds. Hataiweje sigusi pakavu umeme unaua [emoji724]
 
Kuna ukweli hapa hawa wanawake hawapendi kuvaa kondomu. Zipo za kwao lady pepeta lakini ukiwauliza ni nani amewahi hata kuinunua unaweza usimpate hata mmoja. Na kama kuna mwanaume amewahi kukutana na mwanamke aliyevaa lady pepeta asema. Hawapendi kondomu wanawake sisi ndo tuna uamuzi juu ya kutumia au kutotumia. Nafikiri wengi hawaamini kama kuna ngoma wanajua ni masihara au uongo wa wazungu hadi yawakute ndo wanakimbilia kuokoka
Mpaka manufacturing ya lady pepeta imeplumet.
 
kuna demu alishawi kulia saa nane usiku nimgonge bila Ndomu nikakataa kata eti hapati utamu kila nikitafakari sipati jibu mpaka leo,



wanawake wengine ukiwauliza nitumie condom wanajibu hapana au wewe tu uamuzi wako,

kubwa eti itapotea kwenye dushelele,inawasha au wanaumia,

basi mwanaume mwenzangu tafuta mafuta ya kulainishia lubrication oil( hapo wanaweza kusema yanaathari pia) dawa kuwa hata na condom 15 ikikauka mafuta unavua una vaa nyingine
 
kuna demu alishawi kulia saa nane usiku nimgonge bila Ndomu nikakataa kata eti hapati utamu kila nikitafakari sipati jibu mpaka leo,



wanawake wengine ukiwauliza nitumie condom wanajibu hapana au wewe tu uamuzi wako,

kubwa eti itapotea kwenye dushelele,inawasha au wanaumia,

basi mwanaume mwenzangu tafuta mafuta ya kulainishia lubrication oil( hapo wanaweza kusema yanaathari pia) dawa kuwa hata na condom 15 ikikauka mafuta unavua una vaa nyingine
Aise hakuna haja kujibanabana kwenye hilo

Hizo ndom tuwaachie wanafunzi
 
WANAWAKE HUPENDA KAVUKAVU KWAKUWA HUJISIKIA UTAMU PALE BAO LINAPOPATIKANA NA SHAHAWA KUINGIA UKENI
 
Back
Top Bottom