Olumolongez
JF-Expert Member
- Dec 19, 2015
- 818
- 299
Condom hupunguza sana utamu wa mambo yetu.
Jamani si mnaongezea na mafuta kidogo zitakuwa haziwashi wala kuumazinauma/kuwasha
hasa kwa wale wenye mikebe mikavu...[emoji30]
yani watu kama sisi ni tabu tupuJamani si mnaongezea na mafuta kidogo zitakuwa haziwashi wala kuuma
Ndom sio tamu kweli,mtu unataka kusikilzia utelezi unavopiaNdom haina stimu asee..n bora utembelee rim tu..ila take care
Ina maana wewe hujawahi kupigwa na ndom?Aise hakuna haja kujibanabana kwenye hilo
Hizo ndom tuwaachie wanafunzi
NimewahiIna maana wewe hujawahi kupigwa na ndom?
Mi nlitest siku moja nkaona ni ushantaa tuu ....n bora npige puli tuNdom sio tamu kweli,mtu unataka kusikilzia utelezi unavopia
Mara ngapi,Nimewahi
Moja,hata sikupata utamuMara ngapi,
Come on.............Moja,hata sikupata utamu
Ungetumia lubricants ingesaidia piaMoja,hata sikupata utamu
MmhUngetumia lubricants ingesaidia pia
Sio kutekenya badala ya kuleta asali?Zinawasha ee
Sio hivyo NIMPENDE bhaana,tatizo zinawasha bhaaana ,hata mimi demu mmoja alinambia hivo hivoo,tena alisema anawashwa mpaka kwenye tigo.Hao watakua wanajijua kama maiti watarajiwa,na hata mwanamme mwenye akili zake akimuona mwanamke mwenye style hiyo jiulize kabla yako wewe amesha wavulia wangapi na hao kwenye wangapi wazima wangapi?