Kwanini wanawake wengi hawapendi kutumia condom?

Kwanini wanawake wengi hawapendi kutumia condom?

mm nikivaaga huwa siskii ladha kabisa, nakua kama namuweka mtu kidole tuu
Wakati mwingine watu huita Puchu iliyoboreshwa.

Sasa ukatane na manzi mtata mkazinguana anaweza kukurushia maneno makali.
Anasema
"Wewe Hujanit*mba bali umet*mba Condom"

Ni kazi kweli Kweli.
 
Wakati mwingine watu huita Puchu iliyoboreshwa.

Sasa ukatane na manzi mtata mkazinguana anaweza kukurushia maneno makali.
Anasema
"Wewe Hujanit*mba bali umet*mba Condom"

Ni kazi kweli Kweli.
ha haaaa!! kwa kweli hata mm nikitomba dem na kondom huwa naona kama sijamtombaa
 
Raha kwanini usipate, mimi naamini maandalizi yanatosha, ukiandaliwa vizuri ndivyo utamu unakolea haijalishi itaingia imevalishwa condom so talk to your partner akufanye uwe legelege, kwenye uwanja apige chenga za kutosha ili aje kufunga goli tamu
Mi kwa sasa situmii aisee
 
Akili zetu wanaume hatuwezi kushindana na hisia, chini kukishaamka hata akili haiwezi ingilia maamuzi... So tufike chumbani umeshakaa mkao wa kula halafu umekataa kutumia kondom sidhani kama zoezi litasitishwa ni ngumu kuliko
Mi hata kama nishakuvua na nipo kifuani ukighairi nakuacha na tutalala hata siku tatu salama kabisa
 
Condom, imeaminika kuwa na uwezo mkubwa wa kumkinga mtu na maambukizi yatokanayo na magonjwa ya Ngono.. lakini kwa Uzoefu wangu,

IDADI KUBWA YA WANAWAKE HATA PALE MNAPOKUTANA SIKU YA KWANZA, WAMEKUWA HAWANA MSISITIZO KWA MWANAUME KUVAA KONDOM. Hii ina maanisha, ni wanawake wachache watakaokataa kufanya mapenzi na Mwanaume kwa kukosa Condom!! Wengj wao husisitiza kuwa Makini na Mimba na sio Magonjwa!!
Kondom inawachubua hasa wale ambao ni wakavu.
 
All in all lazima tujue UKIMWI upo na ni hatari japo siku hizi watu fulani ktk jamii wasiofikirisha vichwa vyao vizuri wanaiaminisha jamii kwamba huu ugonjwa ni kama malaria tu.

Ukiwa mtu hujaupata utasema hivi ila jiulize ule mchecheto unaoupata unaposubiria majibu ukienda kupima kwa hiyari unatoka wapi then ndo ujikute unao utakuwa ktk hali gani?
Kwa Kweli Mkuu! Watu wanapaswa kuchukua tahadhari! AIDS kills! Watu wasichukulie poa! [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Back
Top Bottom