Kwanini wanawake wengi hawapendi kutumia condom?

Kwanini wanawake wengi hawapendi kutumia condom?

Hamna kitu sikipendi kama condom... Zinaniumiza haswaa. Ni bora nisigegedane kuliko kutumia hayo madude
Kwa dem asiye na majimaji inasumbua sana, inakuwa ni karaha, ila kwa mwenye maji afadhali mtelezo unakuwepo
 
Nunueni hizi high quality condoms, acheni hizi za 500TSH

We mkaka hizo za high quality ndio zikoje.
Mbona mie kila nikienda pharmacy kuagiza condoma napewa hizi salama tu. Saaana labda nitakuta dume. Basi.

Hizo za gharama ndio zinaitwaje, yaan zinauzwa kwenye hizi hizi pharmacy ama???
Na nikifika niseme nataka condom gani ili wanipe hizo.. Bei gani kaka zinauzwa.
Love you so so so much.

Nataka nim suprize baba Debo jaman.
 
We mkaka hizo za high quality ndio zikoje.
Mbona mie kila nikienda pharmacy kuagiza condoma napewa hizi salama tu. Saaana labda nitakuta dume. Basi.

Hizo za gharama ndio zinaitwaje, yaan zinauzwa kwenye hizi hizi pharmacy ama???
Na nikifika niseme nataka condom gani ili wanipe hizo.. Bei gani kaka zinauzwa.
Love you so so so much.

Nataka nim suprize baba Debo jaman.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mama debora una vituko, lov u too, mbona zipo aiseeehhh nenda hata supermarket kubwa zipo.... Kuna mdau kasaidia kuweka picha hapo juu
 
We mkaka hizo za high quality ndio zikoje.
Mbona mie kila nikienda pharmacy kuagiza condoma napewa hizi salama tu. Saaana labda nitakuta dume. Basi.

Hizo za gharama ndio zinaitwaje, yaan zinauzwa kwenye hizi hizi pharmacy ama???
Na nikifika niseme nataka condom gani ili wanipe hizo.. Bei gani kaka zinauzwa.
Love you so so so much.

Nataka nim suprize baba Debo jaman.
Kumbe mzigo unanaufataga mwenyewe?
 
We mkaka hizo za high quality ndio zikoje.
Mbona mie kila nikienda pharmacy kuagiza condoma napewa hizi salama tu. Saaana labda nitakuta dume. Basi.

Hizo za gharama ndio zinaitwaje, yaan zinauzwa kwenye hizi hizi pharmacy ama???
Na nikifika niseme nataka condom gani ili wanipe hizo.. Bei gani kaka zinauzwa.
Love you so so so much.

Nataka nim suprize baba Debo jaman.
Uyo baba debo ni mumeo au..? Km ni mumeo condom ya nini ..Badala yaku m suprise na new styles una m surprise na condom au ndio humuamini??
 
We mkaka hizo za high quality ndio zikoje.
Mbona mie kila nikienda pharmacy kuagiza condoma napewa hizi salama tu. Saaana labda nitakuta dume. Basi.

Hizo za gharama ndio zinaitwaje, yaan zinauzwa kwenye hizi hizi pharmacy ama???
Na nikifika niseme nataka condom gani ili wanipe hizo.. Bei gani kaka zinauzwa.
Love you so so so much.

Nataka nim suprize baba Debo jaman.

Maelezo yanajitosheleza kwa ubora

Extra safe, extra lubricated slightly thicker,
Easy on shape for greater comfort
tapatalk_1545835022131.jpeg
 
Sotumii condom sababu naweza fanya masaa 4 bila kupizi aisee kuliko kutumia heri nikapime na mchuchu then tukapige show
 
Kondom zinabana kwa sie wenye mizigo ni mateso
 
Uyo baba debo ni mumeo au..? Km ni mumeo condom ya nini ..Badala yaku m suprise na new styles una m surprise na condom au ndio humuamini??
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Kuna watu you are so funny so mchepuko wako haku**mb bila kupima, na bwana wako anakula mkavu bila kupima wat if yeye akulete
Mi dem akiniambia eti tupime kwanza nakosa uaminifu kwake, inaweza onyesha negative kumbe iko kwenye kipindi virusi havijasambaa kuonekana(window period) akawa anapigwa kavu kisa kamuamini kumbe wadudu wanasambaa.
 
Kaka hizi Durex mbona sizionagi.
Zinapatikana maeneo au maduka ya aje.
Nazihitaji sana. Nisaidie. I love you.
Unaujua uzuri eti eeeh!! Ok cjajui unaishi wapi, but nenda supermarket kubwa, au maduka ya dawa makubwa sio hivyo vya uswazi
 
Badala yaku m suprise na new styles una m surprise na condom au ndio humuamini??

Kwanini nimuamini mtu anae kutana na watu wengine mtaani, ofisini, sokoni, safarini, hospitalini, kanisani.
Unadhani mwanaume akishakutolea mahari basi anakua kipofu kwa wanawake wengine wote?????
Amka shoga yangu.
 
Back
Top Bottom